Nilimwamini sana HUSSEIN MOHAMED -BASHE, lakini kwa sasa sina tena imani na huyu kiumbe, kauli zake zilinifanya nimshushe kutoka 100 hadi 0, mhamasishaji wa vita na vurugu eti leo yanamtoka haya. Kwake CCM ndo kila kitu kuliko hata maslahi ya taifa, kuliko hata uhai na ustawi wa watanzania...
Natamani ningekuwa Elia Mtishbi, vitisho kama hivi kesho mngezika mtu na kumsahau. Jamaa alikuwa hana utani, ukicheza na Mungu wake anakunyoosha hapo hapo.
Dr. Munga, Ask Kakobe, Askofu Niwemugizi, Ask Shao, mnataka kutwambia wote wana nongwa na urais wa Magufuli? Ila wanaosifia ndio wapo sahihi. Kweli hii nchi ya VIWONDER.
biblia imeweka wazi roles za watumishi wa Mungu vs Serikali. Wakumbuke akina Nathani alivyompa makavu mfalme Daudi...
Nimeamua kuwa dikteta uchwara, nilishawaambia watoto mkiona hilo sura baya kwa TV zimeni tv haraka kabla hamjala viboko. Sura pana kama kaunta buku, amenifanya najiangalilia bbc na aljazeera 24/7
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.