Recent content by Twaha mora

  1. Twaha mora

    Mbeya: Jeneza latelekezwa sokoni likiwa juu ya meza mbele ya duka moja

    Nikweli tamaa imesababisha kusahau mzigo
  2. Twaha mora

    Kiswahili chaanza kutumika China

    Iko poa sana hio wakija kutengeneza barabara huku waspate tabu ya kupata mademu,
  3. Twaha mora

    Kuhusu miradi mikubwa wilaya ya Chato

    Ni wivu tuuu
  4. Twaha mora

    Mkoa wa Arusha hali ni mbaya

    Hivi Mzungu atafuata Nini whaity rose wewe ungesema cc tunao ishi huku manguruweni ndio tunateseka,lakini mbona uswahilini,Jalalani mpaka Morombo ,ngesero kote huko Ni Lami mpya? Mm ninavyojuwa mambo Ni kwa zamu
  5. Twaha mora

    Wrong parking Arusha nitatizo

    Mambo ya vyama yanatoka wapi? Huu uonevu haulizi wewe Ni chama gani kinachotakiwa tupaze sauti ili ziwafikie huko juu,sio kukatishana tamaa Na kuingiza uvyama
  6. Twaha mora

    Wrong parking Arusha nitatizo

    Leo nimepigwa faini ya uonevu kabisa sh 61,800 ,kisa nimegesha Gari pembeni kabisa ya barabara ilinpokee mzigo alie niletea nikafungua mlango Na kushuka kumpokea ile napanda kwenye Gari nakutana Na chuma kwenye Tairi,nimetafuta kila aina ya usaidizi nimekosa ,anae elewa pakupatia haki yangu...
  7. Twaha mora

    Watanzania waliopo nje ya nchi watapataje vitambulisho vya Taifa?

    Nimesha tuma zaidi ya SMS 19 hakuna hata 1 ilio rudisha majibu,niwaongo nida Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Twaha mora

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Bilinganya hizi za kupikia mchuzi au? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Twaha mora

    DAR: Mwanafunzi UDOM anyongwa

    Inalilah waina ilaih rajighun Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Twaha mora

    Nawezaje kurudisha text niliyofuta

    Huwezi rudisha hio mpaka voda Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom