Hivi Mzungu atafuata Nini whaity rose wewe ungesema cc tunao ishi huku manguruweni ndio tunateseka,lakini mbona uswahilini,Jalalani mpaka Morombo ,ngesero kote huko Ni Lami mpya? Mm ninavyojuwa mambo Ni kwa zamu
Mambo ya vyama yanatoka wapi? Huu uonevu haulizi wewe Ni chama gani kinachotakiwa tupaze sauti ili ziwafikie huko juu,sio kukatishana tamaa Na kuingiza uvyama
Leo nimepigwa faini ya uonevu kabisa sh 61,800 ,kisa nimegesha Gari pembeni kabisa ya barabara ilinpokee mzigo alie niletea nikafungua mlango Na kushuka kumpokea ile napanda kwenye Gari nakutana Na chuma kwenye Tairi,nimetafuta kila aina ya usaidizi nimekosa ,anae elewa pakupatia haki yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.