Ulitaka aje ajenge nyumbani kwenu,kwani alipojenga ni ardhi ya Kenya.Kumbuka TZ ardhi sio mali ya Mabwanyenye ni mali ya taifa tuna haki ya kuitumia tunavyotaka.Ni halali yake kujenga madhali kuna watu wanaishi na watz
Umekurupuka kujibu,nimemuuliza anayesema katiba yetu ni tatizo kwamba inatakiwa mtu akiwa rais pindi uchaguzi unapofika atoke madarakani.Halafu kuna mtu kamuuliza ataje nchi japo moja ambayo uchaguzi ukifika rais huwa anaondoka madarakani na anachaguliwa kiongozi wa mpito.Ndo nami nikamuuliza...
Wasomi wangapi wanajua kiingereza vizuri lkn utendaji wao maofisini ni bomu.Wewe unadhani kuongea kiingereza vizuri ndiko kutamfanya Rais kuonekana bora,isije shangaza hata wewe unaedhihaki kiingeza cha Rais ni mbumbumbu.
Ndg yangu nataka nikueleze kuhusu mafuriko unayoyapigia chapuo.Hayo mafuriko yana aina tatu au nne,nitaongelea upande wa JPM maana nikiongelea LISSU mtasena mnazi wa CCM.(1) Kuna kundi linahudguria kwa mapenzi ya kweli
(2)Kundi la pili kumuona JPM huyu RAIS yukoje kwasababu wengi wetu tumezoea...
Mnajadili mdudu gani Angekuwa mzee lowassa au sumaye ningesema mnajadili watu.Alidhani ccm ni kichaka cha watenda maovu?CCM inaangalia nidhamu ya mtu na sio mijitu isokuwa na adabu
Wengi wamezungumzia kuwa kwani mtoto hawezi kuwa na alama sawa na mama yake nami nawauliza mnajua kwa nn DNA hapimwi mama?Sipingani na hoja ya mtoa uzi huenda una ukweli ndani yake tusiogope tupende kuwa wadadisi wa mambo,tatizo ni woga wa majibu.Kuna kitu mleta uzi amenikumbusha .Kuna siku...
Sidhani kama adhabu kali zinatolewa kwa watu kama hawa. Tunatumia vibaya vyombo vyetu vya habari.Sijui watu wengine wamatumia vyombo vya habari wakiwa tayari ubongo umeshavurugika?Huyu nadhani ana agenda ya siri iliyomtuma kufanya kitendo cha kipuuzi kama hiki.Afundishwe mipaka yake.
Africa ingekuwa na viongozi watano tu kama Magu wetu.Waafrica heshima ingekuwa mbele.Lazima viongozi wetu wafike hatua wathamini uafrika wao sio kujirahisi na kujipotezea heshima zao.JPM kiongozi mfano bora Africa.Mungu ampe afya njema
Jamani nawaombeni tufike hatua tuwe na hekima na busara, sio kila kitu ni mzaha. Kuna mtu kaposti humu anawakebehi wahaya ambalo ni jambo sijalifurahia biafsi. Huu ni wakati wa majonzi sio wakati kurushiana vijembe,
kama wewe unaona huna msaada wowote nyamaza tu, sio unaanza kuposti ujinga sijui...
Tatizo king'amuzi changu kinaniletea smart card error.Mimi niko UYOLE MBEYA. NO. ya smart card ni 02035152404
Namba ya simu ni 0784860141 au 0765497494.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.