Recent content by Tuvue Gwanda

  1. T

    Tarimba Abass Tarimba...........

    Aisee kumbe sasa najua kuwa Jambo Forum inatumika vibaya kuwachafua watu ambao kwa hakika wanajitoa kuitumikia nchi kwa uaminifu. Na pengine THE BOSS analake jambo. Tarimba alianza kufanya kazi Bahati Nasibu, na shirika hilo lilivunjwa rasmi tarehe 30 Juni, 2003. Yeye na wenzake wote wakawa...
  2. T

    Uchunguzi wa BOMU ARUSHA jionee mwenyewe

    Very unfortunate, huyu Administrator yeye anataka kuona maoni ya CHADEMA tu post zetu mnzitoa, sasa kwanini hamtoi nafasi ya fikra mbadala, mnataka mambo yenu ya CHADEMA tu?
  3. T

    Halima Mdee na Esther Bulaya...Hivi Urafiki Gani Nyie?

    Nimekuwa nikijiuliza sana maswali mengi kichwani kuhusu Viongozi wetu hawa Halima Mdee na Esther Bulaya. Hawa ni Wabunge ambao wapo pamoja sana. Walipokwenda JKT walikuwa pamoja, Dodoma wanakaa pamoja. Juzi nilichokiona pia kinanishangaza. Mimi nakaa Mbweni Mpiji, wamenunua ardhi pale Mbweni...
  4. T

    Uchunguzi wa BOMU ARUSHA jionee mwenyewe

    Hayo ya kwako ni ya kutunga. Wadanganye watu wa Arusha wanaoswaga kama kondoo
  5. T

    Uchunguzi wa BOMU ARUSHA jionee mwenyewe

    Aisee huyu njowepo kweli MTUPU haonii na wala hajitambui. Sasa CCM katika chaguzi inashindana na vyama karibu 10, wote hawataki CCM ishinde, sasa kila Chama kina Wakala wake ndani ya chumba cha kura, sasa kama CCM wanaiba na kuwaibia wote wale 10 huku mawakala wale wakiwepo, sasa basi vyama...
  6. T

    Uchunguzi wa BOMU ARUSHA jionee mwenyewe

    Kutenga fedha hizo ni seriousness ya Serikali katika kupata information. Nchi nyingi zinatumia utaratibu huu. Lakini nasikitishwa na mwenzangu huyu junzi alivyo kilaza katika kufanya anasysis. Au mtu akisema Mtoto alisema kuwa aliyempiga risasi ni askari...hayo ni maneneo ya kulishwa na...
  7. T

    Uchunguzi wa BOMU ARUSHA jionee mwenyewe

    Jamani tumechoka, CHADEMA tuachieni Tanzania yetu, mtatuua mpaka lini? kwanini mnapenda kutumia damu za watu kujitafutia umaarufu? Kuna maswali mendi yakujiliza hapa. 1. Mkuu wa Usalama wa CHADEMA Mhe. Rwakatare amerudi uraiani. Yeye ndiye tegemezi wa kutunga na kutekeleza mipango ya kigaidi ili...
  8. T

    Kafulila: Serikali inatatua migogoro kwa kubalance matukio ya kidini

    Problem moja ndugu zangu...tumieni muda mfikiri nje wa Boksi, mmejifungia sana ndani ya Uchadema, na ikiwa hivyo si rahisi kuweza kuwa objective. Ni sawa na yule Baniani aliyeingizwa jela akiwa na Muislam. Baniani akaomba aingie jela na aruhusiwe aingie na mungu wake (Baniani huamini masanamu...
  9. T

    Bunge laahirishwa ghafla kutokanana msemaji wa upinzani kudai serikali inaua waandishi wa habari

    Hivi kuwa mpinzani ni tiketi ya kuwa mchochezi? kwani kama mna maneno na ujumbe wenu hamuwezi kuutoa hadi mtumie maneno ya kichochezi? Ni sampuli za ajabu na wabunge wa ajabu...Sugu, Mchungaji Msigwa, Lema, machemli mnatumiwa vibaya sana na Chadema. Mjimboni kwenu kila mara mnaanzisha fujo...
  10. T

    Ruzuku kwa mwezi: CCM milioni 800/-, Chadema 200/-, CUF 117/-

    Wewe si mwanaCCM...mwanaCCM hawezi akawa na muono mfupi kama wewe, wewe ni GWANDA!!
  11. T

    Kafulila: Serikali inatatua migogoro kwa kubalance matukio ya kidini

    extremely poor position, u have failed to convince us na sikuoni kama una macho ya kuona wala masikio ya kisikia ya ukweli, hili lilisemwa ndani ya Biblia kuwa mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii...Ole wenu enyi Magwanda!!
  12. T

    Kafulila: Serikali inatatua migogoro kwa kubalance matukio ya kidini

    Kafulila maana yake kwa sisi wa Kigoma ni mtu aliyefulia. Na hapa kufulia si kipesa bali ni kifikra. Sasa kama familia na wanajamii wa Kigoma wanamuona mtu kwa tabia zake kuwa amefulia, ana jipya gani la kujadili? Tuwaonee huruma WanaKigoma kwa vile Mbunge wao tayari kafulia!!
  13. T

    Kafulila: Serikali inatatua migogoro kwa kubalance matukio ya kidini

    What a poor analysis...hii ni dalili ya kutoka katika disco Billicanas na kuingia kazini kuandika mistari humu ndani.
  14. T

    Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

    Tutakoma, sasa ni kutekwa, kutobolewa macho na kuvutwa na kutolewa kucha kwa kwenda mbele. Kufutwa kwa mashtaka ua Ugaidi kutamfanya Lwakatare na Chadema waone kuwa kumbe kuteka watu na kutoa kucha zao ni vitendo vinavyokubaliwa chini ya sheria...this is a mockery to the law!!!
Back
Top Bottom