Recent content by TUTYIANNA

  1. T

    Maji ya kisima kutoa mafuta

    Duh asanteni wakuu maana nimefatilia zaidi nimeambiwa crude oil ni nyeusi tii! Na kisima cha mita65 ni kifupi kutoaa mafuta!
  2. T

    Maji ya kisima kutoa mafuta

    Kisima kilichimbwa mita 65 kwenda chini! Msaada wenu tafadhali
  3. T

    Maji ya kisima kutoa mafuta

    Habari za mchana! Naomba kujuzwa na wenye uelewa zaidi! Kaka yangu ana eneo huko Pwani ambapo amechimba kisima pia kwaajili ya matumizi yake ya nyumbani hapo! Sasa kumekuwa na hali ya maji hayo yakichotwa then yakalala kwenye ndoo au chombo chochote yanatoa layer ya mafuta! Je ni hali ya...
  4. T

    Mjadala wa Ushauri na tiba ya maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi (dysmenorrhea)

    Habari za kutwa! Naombeni msaada, nimekuwa nikiumwa sana tumbo la hedhi linaniuma mnoo siwezi kufanya kitu chochote likiniuma. Nimetumia sana diclofenac na buscopan ila hazinisaidii sana nikitaka kupona kabisa nisisikie maumivu kabisa basi nichome sindano ya diclofenac. Nilishawahi tumia...
Back
Top Bottom