Habari za mchana!
Naomba kujuzwa na wenye uelewa zaidi!
Kaka yangu ana eneo huko Pwani ambapo amechimba kisima pia kwaajili ya matumizi yake ya nyumbani hapo! Sasa kumekuwa na hali ya maji hayo yakichotwa then yakalala kwenye ndoo au chombo chochote yanatoa layer ya mafuta!
Je ni hali ya...
Habari za kutwa!
Naombeni msaada, nimekuwa nikiumwa sana tumbo la hedhi linaniuma mnoo siwezi kufanya kitu chochote likiniuma. Nimetumia sana diclofenac na buscopan ila hazinisaidii sana nikitaka kupona kabisa nisisikie maumivu kabisa basi nichome sindano ya diclofenac.
Nilishawahi tumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.