Recent content by tutsi gal

  1. tutsi gal

    Penzi la Jokate na Ommy Dimpozi lafichuka

    Nyie mnashaangaa hivyo......kuna kipindi nilikuwa nawaona sana maeneo ya kujidai...wakiwa na pembe muigizaji kwenye poz za utata
  2. tutsi gal

    Ukatili

    Ungepiga166. Inahusika na haki za watoto
  3. tutsi gal

    Simuelewi huyu baba ana maana gani

    Atakuwa anataka vijana wasikuharibu ili akuharibu yy
  4. tutsi gal

    Wanawake warefu wana raha yake.

    Duuuuh......!
  5. tutsi gal

    Utumishi imeokoa maisha yangu

    Fugees nani amekuambia hayo maneno?
  6. tutsi gal

    Utumishi imeokoa maisha yangu

    Wanauliza maswal ya kaz unayotarajia kuifanya na mengine ni general knowledge
  7. tutsi gal

    Utumishi imeokoa maisha yangu

    Mm ni mtanzania halisi wala msinifikirie vibaya
  8. tutsi gal

    Utumishi imeokoa maisha yangu

    Majina yalitoka ijumaa jaman....kuwen waelewa. Jana sikuingia humu ndani coz ulikuwa ni sabato
  9. tutsi gal

    Utumishi imeokoa maisha yangu

    Kwanza namshukuru baba mungu mpendwa kwa fadhiri zake anazonipa...Nilifanya interview Utumishi kwa mala ya kwanza tarehe 10/06 pale mwalimu nyerere . Baada ya hapo nikaitwa kwa usaili wa mazungumzo. Hatimae Leo nimeitwa kazini. Napenda kuwatia moyo wote ambao bado hamjapata ajira kuwa msikate...
  10. tutsi gal

    Wanawake wa Uswahilini wana Makalio Makubwa Sana

    Mchunguz huru!!!! Kwa hilo nimekukubali
  11. tutsi gal

    Namkumbuka lakini simtamani

    Mh...! Unamkumbuka lakini haumtamani????? Hiyo mpyaaaaa
  12. tutsi gal

    Nataka kupenda kama mjinga, nizame nipotee!

    umeamua kututenga!!!!!''
Back
Top Bottom