Recent content by TUTITU

  1. T

    Watanzania wanaomtumia matatizo yetu Mange Kimambi kwa kujificha ndiyo njia ya kuyatatua kweli?

    Hospitali Ocean Road yajibu madai ya Mange Kimambi,yakiri mlundikano wa wagonjwa na ubovu wa mashine
  2. T

    Diamond akwaa skendo nyingine ya kutembea na Mia

    Kwa hyu msanii skendo nyingi zinakuja kwa ajili ya kufunika skendo kuu 'Mwanachama wa Freemason'
  3. T

    Watanzania wanaomtumia matatizo yetu Mange Kimambi kwa kujificha ndiyo njia ya kuyatatua kweli?

    Hii mifumo ya ku identify matatizo yetu na kupanga mikakati inawekwa na nani? Unaongea kwa hisia zaidi kuliko uhalisia Kaa ukijua huyo MANGE KIMAMBI Yuko kwenye nyoyo za watu wengi, watu wasio weza kupaza sauti
  4. T

    Asante Rais Magufuli, kumbe ni kweli mafisadi wanaishi kama shetani

    Ikumbukwe kwa miaka mingi chanzo cha utajiri wa watu wengi tanzania ni Ufisadi, Rushwa,Ukwepaji kodi,Magendo,Biashara Haramu za Madawa ya Kulevya na kuendelea. Hawa watu walikuwa ni chukizo kwa watu wengi na ndio maana wengi ufurahia pale majanga yanapo wakuta. Hivi ni matajiri wangapi wenye...
  5. T

    Shilole na Serengeti wake(Uchebe) Kimenuka

    DOGO WEKA NAMBA ZAKO ZA SIM INSTAGRAM, WENYE AHADI ZAO WAKUHAIDI.
  6. T

    Hivi TBC, huu si uzushi kweli?

    Nasikitika sana mpaka sasa mnafuatilia na kuangalia hicho kituo
  7. T

    ‪Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akamatwa na Polisi kwa madai ya kuzidisha muda wa mkutano‬

    Kuna siku atakamatwa kwa sbb amemaliza mkutano kabla ya wakati. Si akili ndio hizi hizi
  8. T

    Kimenuka: Ommy Dimpoz amjibu Diamond, amuita mwanae

    NI KWELI NI MAMAKO, LAKINI NI MKE WA KIJANA HUYO. KIJANA ANA KILA SABABU ZA KUMUELEZEA MAMAKE. MAISHA BINAFSI, KUYAFANYA KUWA YA KITAIFA NDIO HAYO SASA!!!
  9. T

    Kwa aliyemuelewa Kipanya hapa anasema nini?

    Ina saidia siku nyingine kutumia akili kwenye maamuzi ya msingi.
  10. T

    Kwa aliyemuelewa Kipanya hapa anasema nini?

    Shida sio kudaiwa, shida ni chanzo cha deni!!
  11. T

    Kwa aliyemuelewa Kipanya hapa anasema nini?

    Kichwa kikubwa cha Mwanasheria maana yake ubongo mkubwa huo, ukijaribu kushindana nao lazima udhalilike.
  12. T

    Nioneshe marafiki wa Tundu Lissu nami nitakuonesha Oligaki, Aristrokasi na Timokrasi

    Kwako wewe bwana mdogo (kumbuka ukubwa wa umri sio ukubwa wa akili), Mkataba ufanywe na wengine, uvunjwe na wengine kisha alaumiwe Lissu!! Una akili kweli wewe? mbona sijaona ukiwalaumu walio sababisha hasara hiyo? au wao wazalendo? "Mh Lissu ni mbunge angeweza kuishauri serikali akiwa bungeni...
  13. T

    Serikali yasitisha usajili wa NGO’s

    Ni kweli wapo, ndio hao wa kupinga pinga kila kitu
  14. T

    Serikali yasitisha usajili wa NGO’s

    Zipo za kutosha kabla ya hizo mpya
Back
Top Bottom