Serikali yasitisha usajili wa NGO’s

Serikali yasitisha usajili wa NGO’s

Kuna NGO kazi zake zilikuwa ku promote USENGE, Ufiranaji na kugawa KY bure za kuweka njia ya haja kubwa ili usodoma na ugomora ufanywe vizuri... Serikali yetu safiii sana, ni kuwabana hao wahuni pia NGO zingine zinaweza kufadhili ugaidi na uchochezi wa kisiasa...

Vetting kali ipite kwa kila NGO..
Ni kweli wapo, ndio hao wa kupinga pinga kila kitu
 
Watu msizae kwanza tuhakiki hawa waliopo duniani sasa hivi

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Keshokutwa utasikia mifuko ya viroba(visalfeti) vimepigwa marufuku kwa sababu vinatumika kuwekea maiti na kizitupa baharini hahahahahahaha hii ndiyo Serikali ya kukurupuka
hahahahaha mkuu mkwepa kodi hii ndo tz ya viwonder
 
Back
Top Bottom