Recent content by Tutanota

  1. T

    Oktoba 29, 2025 Vyombo vyote vya ulinzi vilikuwa vinapokea maagizo ya Majaliwa

    MAGUFULI HAKUWA MNAFIKI (KUMBE MNASHANGILIANA KWA KUPANGA. HATA MIMI NILIJUA HII NI PROJECT). Nimeona alichoandika Godbless Lema leo. Niseme tu, nami niliifuatilia siku ya kuzikwa Pengo, tukayaona makofi akishangiliwa Philip Mpango na Kasimu Majaliwa. Mbaya zaidi watu wakataka kufanisha na...
  2. T

    Mwigulu ni tumaini jipya la Watanzania

    1) Watu wanabishana iwapo Mwigulu ni Magufuli mpya? Wengine wanasema ndio, wengine wanasema bado. Ukichambua kwa haki utaona MWIGULU ni Magufuli mpya kwa sababu hizi: moja, Magufuli alikuwa Rais, alikuwa na mamlaka ya mwisho akafanya kama haya anayofanya MWIGULU na mengine makubwa kuliko haya...
  3. T

    Namuunga mkono pm mwigulu, haki bila wajibu ni uasi uliovalishwa suti ya Demokrasia

    Mimi kama Mtanzania wa kawaida, ninasema bila woga: mjadala wa “haki” unaoendelea hivi sasa si mjadala wa haki—ni jaribio la makusudi la kuyumbisha misingi ya Taifa kwa kutumia lugha tamu ya kisiasa. Kauli ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, aliyotoa Bunju B tarehe 29 Desemba 2025, imegonga...
  4. T

    CCM Taifa shitukeni, Mbowe amewategea mtego hatari, ameanza kuvunja maridhiano

    CCM TAIFA AMKENI, MBOWE ANAWAZUNGUKA, ANAJITAPA KUPEWA MAJIMBO 20, 2025 Wasalaam wanajamvi, Nichukue fursa hii kuwatakia wikiendi njema wanaccm na watanzania wote duniani kote mnaosoma thread hii, kwanza kabisa niweke wazi kuwa Uzi huu ushauri wa wazi kwa chama changu cha Mapinduzi CCM ukiona...
  5. T

    TAKUKURU mchunguzeni Mbunge wa Hai, Saashisha Mafuwe

    Wewe na James Mbowe mmepewa kazi iliyowazidi kimo dogo, Saashisha Mafuwe ni level nyingine kabisa Kwa sasa, wananchi wanamuunga mkono sana.
  6. T

    Rasmi: Mpango wa kumchafua Mbunge Saashisha Mafue waanza Mwezi Juni, Wapambe wa Mbowe wahusishwa

    Ndugu wanajamvi Ililetwa nyuzi humu ikitaadharisha mpango mchafu wa kuleta taharuki na sintofahamu dhidi ya Mbunge wa hai unaoratibiwa na Mstaafu Freeman Aikael Mbowe Kwa kuwatumia wapambe wake James Mbowe, Samson Kwayu, Aikande Clemence Kwayu na Lilian Ericsson Leo asubuhi umeletwa Uzi huu na...
  7. T

    Wananchi wa Hai tumemchoka Saashisha Mafue, analeta migogoro ya kutugawa

    MPANGO WA KUMCHAFU MBUNGE WA HAI SAASHISHA MAFUWE WANASWA, RAIA WA SWEDEN AHUSISHWA Anaandika Eliamini Lema, Katibu wa Chadema Narumu. Baada ya kupata mapokezi hafifu kutoka Kwa wakazi wa wilaya ya Hai, aliekuwa Mbunge Wa Jimbo hilo freeman Mbowe ameanza mkakati Mpya wa kumchafua Mbunge wa...
  8. T

    Mpango wa kumchafua Mbunge Saashisha Mafuwe wanaswa, Mbowe na Raia wa Sweden wahusishwa

    Utendaji kazi wa Saashisha Mafuwe umekuwa tishio na umewafungua wananchi upofu waliokuwa nao juu ya majukumu halisi ya Mbunge Kwa wapiga kura, Leo tunaandika hapa tukiwa tunashuhudia ujenzi wa lami katika Barabara ya Dorcas, Mradi mkubwa wa Maji utaohudumia kata 7 unaogharimu bilioni 3 tayari...
  9. T

    Mwana-CHADEMA nguli ampinga Malisa GJ, amtaka amwombe Radhi Mbunge wa Hai Saashisha Mafuwe

    Nimeitazama clip ya Saashisha hakuna mahali kaongea jambo baya, naona Malisa kaamua kutumia hisia kuandika bila kufikiri, kakosea sana Mwanahabari Huru Yericko Nyerere
  10. T

    Wachungaji wamkingia Kifua Meya wa Moshi anayedaiwa kushiriki sherehe ya mashoga

    WACHUNGAJI NCHINI WAMKINGIA KIFUA MEYA WA MOSHI - Waonya vikali vikosi vya majungu vinavyomchafua Meya huyo Kijana - Wakanusha vikali Meya Raibu kuhusidhwa na Mashoga, wahoji uhalali wa shekhe wa Mkoa Wa Kilimanjaro kiuingizwa mkenge na wahuni kisha anatoa kauli bila kupata ushahidi -...
  11. T

    Pepo mchafu katikati ya mtu mwema

    PEPO MCHAFU KATIKATI YA MTU MWEMA Ukisoma Katika Biblia Kitabu cha Mathayo 2 Utakutana na Mtu mmoja aloyeitwa Herode. Wakati Mungu akiwa na Mipango yake Hakuna mtu yeyote anaweza Kuzuia. Herode kwa Nguvu zake, Ufalme wake na jeshi lake ila aliposikia Mtoto Yesu kazaliwa na atakuja kuwa mfalme...
  12. T

    Umoja wa Majeshi Afrika wapongeza amani ya Tanzania, Meya Raibu atunukiwa nishani ya Uongozi shirikishi katika kulinda amani

    JESHI LA WANANCHI LATAMBUA MCHANGO WA VIONGOZI WA KILIMANJARO •Meya Juma Raibu atunukiwa tuzo ya uongozi na huduma za kijamii Moshi,Kilimanjaro Mnamo tarehe 9.01.2022 Viongozi wa majeshi mbalimbali barani Africa walikutana katika mkoa wa Kilimanjaro kujadili masuala ya amani na ushirikiano...
  13. T

    Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

    MOSHI: BINTI AMUUA MAMA YAKE MZAZI ILI ARITHI MALI, MWILI WAGUNDULIWA BAADA YA MWAKA MMOJA • Meya Juma Raibu ashindwa kujizua amwaga machozi na kulaani vikali, awaasa vijana kuacha tamaa na starehe •Meya Raibu ampongeza Rpc Kilimanjaro ACP Simon Maigwa na timu Yake Kuendelea Kusikiliza Na...
  14. T

    Hiki alichofanya Meya Raibu kinapaswa kuigwa nchi nzima, watumishi wapewe hamasa.

    Katika pitapita yangu huko twitani nimeona habari nyingi lakini ilionikonga nyoyo ni hii ya Meya wa Moshi Juma Raibu kutoa mbuzi kama hamasa Kwa watumishi wa umma kadhaa waliosimamia ujenzi wa Madarasa 22 na madawati zaidi ya Elfu Moja na Mia Moja. Huwa simuungi mkono Raibu Kwa u-CCM wake hapo...
  15. T

    Wachagga tukumbushane suala la kuuacha mji msafi kama tulivyoukuta.

    Leo nimefurahi kuona Meya Juma Raibu amewahi kutoa tahadhari mapema juu ya Usafi wa mji kipindi Cha sikukuu na baada ya sikukuu maana ilikuwa ni desturi yetu wachagga tunaokuja kula sikukuu mwisho wa Mwaka kutokuwa wastaarabu, tumekuwa na tabia za kuchafua mji tukidhani tuko DSM. Chonde chonde...
Back
Top Bottom