Recent content by Tutankhamuns wife

  1. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania Mara paaap Mbowe ndio Makamu wa Rais

    I need the weed you smoked
  2. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Bei ya mafuta Marekani na Ulaya ni Dola 800 na Euro 400/600 lita 1, Sisi tuko vizuri, tuna uhakika wa miezi 3

    Nadhani alimaanisha per barrel, lakini hata hivyo bado alikosea bei ni 60$ to 80$ yeye kaongeza mara kumi
  3. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania My Diary EST June 11, 2025 : "Mambo ambayo nitafanya nikiwa Raisi wa JMT

    Hizo ni experiments kaka, zikifeli madhara yake ni makubwa mno, yanaweza kuturudisha kwenye stone age kama lilivyofeli Azimio la Arusha. Ukitaka kuwa na jamii bora iliyoadvance unatakiwa kujifunza kwa waliofauli. Mfano Japan na Singapore, Japan ni nchi namba moja kwa nidhamu na tabia njema pia...
  4. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania Swali kwa Mungu (Allah)

    Hivyo vitabu vilivyopindishwa nani aliona orijino copy zake au ziko wapi?
  5. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania The hidden identity of Jesus and the Son of Man

    I believe the historical Jesus existed but much about him was lost with time, so the authors of the new testament decided to make up stories about him to make him legend. It is very likely that there existed a religious teacher around 30AD in Israel who taught unusual things about the kingdom of...
  6. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania Bora Farao kuliko Viongozi hawa Wa Afrika

    Makala nzuri lakini nikusahishe kidogo kwenye historia, wamisri sio waarabu pia Yesu alipomkimbia Herode Misri ilikuwa chini ya warumi wakiongozwa na mtukufu Caesar Augustus 2BC, wakati huo utawala wa mafarao ulikwisha koma kwa Cleopatra vii.
  7. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania CCM Mbona Mnafeli? Majibu ya NO REFORMS NO ELECTION Yanapaswa Kutolewa na NEC au Serikali na Sio CCM Maana Nanyi Ni Washindani!

    CCM ni ya wanachama wa CCM tu, NEC na Serikali ni ya watanzania wote hivyo ni kosa kwa ccm kutoa majibu ya jambo linalohusu watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama.
  8. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania Je crypto inamilikiwa na illuminati?

    Illuminati na mambo ya kucontrol dunia ni story za kahawa. Kikundi kilichojiita Illuminati(the enlightened) kilishajifia huko Bavaria Ujerumani, miaka 200+ iliyopita, kutokana na migogoro ya ndani ya kiuongozi. Lengo lao lilikuwa kudhibiti kuenea kwa ushawishi wa dini duniani.
  9. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Ajabu ni ipi Tanzania yenye ziada ya umeme kununua umeme?

    Obviously Ethiopia kabla hawajafikisha umeme Kenya na hizo nchi nyingi zinazo wapa mahela mengi,waliifikia kwanza mikoa yao yote ya ndani, swali ni je! waliwezaje na sisi tumeshindwa?
  10. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya FIC imenitapeli. Naombeni Ushauri

    Kama uliwatumia hyo pesa kwa njia ya tigo pesa, wapigie tigo wareverse muamala
  11. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania Ni kweli uwepo wa Pyramids bado ni kitendawili hapa duniani ama kuna siri imefichwa?

    Point of correction, Alexander the great alikuwa Mgiriki na sio Roman. Utawala wa kigiriki kule Misri ulifika tamati kipindi cha Cleopatra vii baada ya kuangushwa na majeshi ya warumi wakiongozwa na Caesar Augustus mtoto wa kuadapt wa Julius. Wakati huo hayo mapyramid yalikuwa na miaka zaidi ya...
  12. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tuweke hapa majina ya Wabunge ambao tuhakikishe hawarudi baada ya 2025

    Babu Tale (incompetent) Prof Kitila Mkumbo Musukuma Tulia Ackson Nape Kishimba(Huyu ukimsikiliza vizuri hanaga point ni Comedy tu) Askofu Gwajima (ameshindwa kuwapeleka vijana Japani)
  13. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania Nyerere alikuwa anamfurahisha nani kukubali huu muundo wa Muungano?

    Tanzania bara maanake Tanzania mainland, ni kama unavyoskia mainland China halafu huku Taiwan au Hong kong
  14. Tutankhamuns wife

    JamiiForums Tanzania Ili Yanga Game ya Mwisho Ashinde Goli 3 Na Mc Alger

    Ili yanga afuzu anatikwa kushinda mechi zake zilizo salia kwa idadi yoyote ya magoli
Back
Top Bottom