Recent content by tutaishi milele

  1. T

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Juvenile court wanahusika na issue ya custody ya watoto. Kila wilaya huwa zina mahakama za watoto unatakiwa kupeleka maombi ya kuomba uishi na hao watoto. Kwenye maombi yako unatakiwa kuthibitisha kuwa watoto wakiishi kwako wataishi vizuri kuliko kwa baba yao. Mahakama inazingatia maslahi ya...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Je dirisha la pili la maombi ya vyuo kwa diploma limefunguliwa kwa wanaoomba kozi za afya tu?

    Nina mdogo wangu najaribu kumuombea chuo kwa ngazi ya diploma kwakuwa alichelewa kuomba kwa awamu ya kwanza. Yeye anataka kusoma kizi za Engineering au ICT. Changamoto nayo kutana nayo kwenye mfumo kipengele cha kuchagua kozi kinaniletea kozi za afya tu kama hivi.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

    Kama yapi mkuu
  4. T

    JamiiForums Tanzania Msaada wa tiba ya ugonjwa huu kwenye uume

    Ah mi hii nimetumia nimegonga mwamba hakuna hata dalili ya kupona
  5. T

    JamiiForums Tanzania Msaada wa tiba ya ugonjwa huu kwenye uume

    Mbona kama wats hizo
  6. T

    JamiiForums Tanzania Tiba ya genital warts kwa mwanaume

    Aise huu ugonjwa umening’ang’aniaga balaa hospitali nimeenda mpaka basi nimetumia podoflin kama mara tatu naishia tu kuungua ngozi. Kuna ile pensel imeishia kunichoma tu, kuna utomvu wa papai unauma balaa lakini wapi kuna vitungu swaumu mixer asali wapi, kupandisha kinga nishakula sana vitunguu...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

    Nilinunua N100 betry mbili jumla N200
  8. T

    JamiiForums Tanzania Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

    Huu unakuwaje
  9. T

    JamiiForums Tanzania Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

    Shukran sana
  10. T

    JamiiForums Tanzania Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

    Taa watt 3 zipo tano na watt 5 zipo 4 tv ni inch 32 singsung
  11. T

    JamiiForums Tanzania Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

    Mkuu hii gharama yake shingapi kufunga system yote
  12. T

    JamiiForums Tanzania Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

    Inverter nilinunua 100000 betry 250000 kwa moja charger control ya dukani 90000 kwa hiyo ya mtumba 130000 solar 370000 pamoja na usafiri niliagiza zambia niliambiwa huko wana exemption kwahyo bei rahisi.
  13. T

    JamiiForums Tanzania Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

    Wakuu kwema, wajuzi wa mambo ya umeme msaada tafadhali. Kimsingi nyumba ninayoishi haijafikiwa na umeme wa tanesco na sababu ni mtaa ninaoishi umepitiwa na mradi wa Rea na mimi sikuwa mnufaika kwakuwa nilichelewa kuhamia hivyo nimeambiwa nisubiri miezi 18 tangu tarehe ya kukabidhiwa kwa mradi...
Back
Top Bottom