Mungu anapofanya kitu kwako. NAwe wakumbuke wengine pia. Usiwe mbinafsi. Ukifanikiwa kupata usiwadharau waliokosa na kuamini kuwa wao ni wazembe.
Kupata ni Majariwa. Unamwona ng'ombe pamoja na ukubwa wake? Hana ndevu. Ila mbuzi anazo. Utashangaa kweli kupata ni majariwa ndugu yangu. Lakini na...
Chief kwa nini usiwe na duka la mambk kama haya? Maana ingekuwa rahisi sana watu kuja kwako kwa sababu unajua mambo na unatoa ushauri bila hiyana. Hujawahi kuwa mchoyo wa Elimu.
Naomba msaada please Bwana Mdogo anahitaji kubuild workstation but budget ya kuanzia anasema ana tsh 500,000. But kila after two weeks atakuwa anapata tsh 500,000. Je aanze na nini kwa hii tsh 500,000 ya kwanza.
Msaada kwa wataalamu. Akina Mwl.RCT Chief-Mkwawa na wengineo please
UTAOLEWA KIRAHISI SANA. TAFUTA KAZI USITAKE KULELEWA NA WANAUME DOGO. UNATAKA MANGI AKUTAFUTIE WANAUME NA WEWE UTEGESHE TU KIUNO CHAKO? NYIE MADOGO MNADHALILISHA SANA UANA UME. UNAJISIKIA RAHA GANI SASA KUSHIKISHWA UKUTA?
Nyie wengi hamna elimu, ni maskini, mmejawa wivu na chuki. Hapo mnaangalia maslahi ha mabwana zenu walioko Uarabuni. Chunguza watu wenu waliopata elimu hapo zamani walisoma shule zipi. Utapata majibu. Wivu, chuki, njaa na umaskini ni upofu.
André-Frank Zambo Anguissa (ANGWISA) Nimeukumbuka huu wimbo wa muimbaji mmoja aliimba alikuwa anasema Angwisa....na huyu mchezaji naona kabisa ni mnyaki sijui wa Kyela,Tukuyu au Mbozi. Mi sijui.
Hawa ndo mngewarudisha na kuwapa uraia. Zamani naambiwa alikuwapo mnaijeria mmoja wa Kinyakyusa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.