Kwa wale watumiaji wa tiktok nilikuwa naomba kuuuliza swali, upande wa kutoa mafaranga yako kwa upande wa Tanzania [emoji1241] unatumia account ipi?
Maana nimejaribu kutumia PayPal lakni imegoma, yenyewe inaruhusu kutuma pesa lakni kupokea haiwezekani.
Asante.
HEAGTON PRE AND PREMARY YAIBUKA KIDEDEA KWA WASTANI WA 296.1538 wana historia nzuri maana wao hata graduation hawanaga kwao ni MAOMBI WATOTO HUFUNGA WIKI NZIMA WAKIOMBA pia shule waliimu wamebobea kwa ufundishaji ..
huyu huaga ni kichaa..alipo shindwa uchaguzi huku tarime alichangisha kwa wananchi pesa kwa ajili kufungua kesi...alitoroka nazo ndipo tulipo mjua huaga hazimo na hata yeye alijua wananchi wamemjua huku ndo kuhamia huko aliko...ni goodplyer wa siasa hata nyie ccm mumuangalie kwa jicho la upande
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.