Recent content by Tusker Bariiiidi

  1. Tusker Bariiiidi

    Manispaa ya Kinondoni imefanya jambo kubwa sana kuongeza English medium primary school za ada nafuu

    Kuna moja ipo Madale kwa jina la JOSEPHAT GWAJIMA ENGLISH MEDIUM PRIMARY SCHOOL (sijui ITABADILISHWA JINA)
  2. Tusker Bariiiidi

    Happy Birth Day Adrian Hillary Stepp - Mdau JF

    RIEP Adrian Hillary Stepp nimejaribu kufungua Uzi unagoma.
  3. Tusker Bariiiidi

    Sodoma ipo hapa Dar, usiku huu nimeshuhudia mengi

    Hayo mambo yapo sana... ila Wilaya ya Temeke yameshamiri.
  4. Tusker Bariiiidi

    Kuna Nini maeneo ya Mbezi Beach? Nasikia Sauti kama Mabomu ama Baruti

    Unakuta unampigia My wako Mtarajiwa FASHI FASHI kama hizo Mara HAMAD BALTAZAR huyooo
  5. Tusker Bariiiidi

    Ubinafsi wa Gamondi ni anguko la Yanga

    Mkuu UMUGHAKA umedadavua vizuri sana.
  6. Tusker Bariiiidi

    TANZIA Tanzia nabii Flora Peter, amefariki dunia katika Hospitali ya Kitengule Jijini Dar es salaam

    Nikikumbuka ya Mavu Mavu Mavumbi yake ya Kipilipili NACHOKA KABISA.
  7. Tusker Bariiiidi

    Napata mawazo ya kujiua. Nifanyaje yaishe?

    Wewe ni KE au ME ? Tuanzie hapo...
  8. Tusker Bariiiidi

    Nina maumivu makali ya ubavu wa mwisho na mfupa wa nyonga upande wa kushoto. Ni ugonjwa gani huu?

    Kacheck pingili za mgongo... ambapo mishapa ya fahamu inapita hasa zile za mwisho jirani na Nyonga... uje na Mrejesho.
  9. Tusker Bariiiidi

    Leo naenda Kitambaa Cheupe, nipeni ABC zake

    Mambo ya Yanga na K.Cheupe wapi na wapiiii??? Mzee mwenzangu
  10. Tusker Bariiiidi

    Guinea: Baltazar na Watumishi wa Umma walioshiriki naye Ngono ofisini kufukuzwa kazi

    Nchi iliyokuwa na UTAJIRI MKUBWA WA MAFUTA hadi (2014) nadhani imetawaliwa na Spain wao Bata juu ya Bata.... kisha wapo wachache saaana... (2M)Uchumi wake Ulipanda (GDP) Elimu bure mpaka University na ukipasua unakuwa Sponsored na Gvt. NEPOTISM ndio imekithiri hata huyu MWAMBA ni Ndugu na...
  11. Tusker Bariiiidi

    Guinea: Baltazar na Watumishi wa Umma walioshiriki naye Ngono ofisini kufukuzwa kazi

    Huyu Jamaa alikuwa anachunguzwa na PCCB ya kule kuhusu Ubadhirifu na Rushwa zilizojitokeza Ofisini kwake Sasa basi wakati wanampekua ndio kung'amua hizo S£x Tapes ... KILICHOFANYA ZIVUJE NI HAO MIAMBA WALIOKUTA WAKE ZAO NDIO WAKAZIVUJISHA.
Back
Top Bottom