Recent content by tusipotoshane

  1. tusipotoshane

    Mabalozi wa Tanzania wanaweza kuwashawishi Diaspora kuvaa mavazi yatakayoitangaza vema nchi kila ifikapo tarehe 9 au 26 ya kila mwezi

    Kwa muktadha wa aliyoyasema ni mawazo sahihi yanayojenga. Kudesa na ku-plagiarise kisheria ni kosa. Ukisoma kwa umakini "btn the lines" na kwa mapana,ni kwamba nimempongeza kwa mawazo yake chanya. Hahahahaaaa!!!
  2. tusipotoshane

    Waalimu wengi waachishwa kazi Tusiime Sekondari

    Hahahaaa,sio kwao huko Dongobesh,bali itakuwa Madunga au Secheti.Karibu Kindabi au Balang'ida Lalu upate chumvi asili.
  3. tusipotoshane

    Wanandoa mnawezaje kuvumiliana kwenye hii hali?

    Mawazo ya kijinga sana haya!!!
  4. tusipotoshane

    Sipendi hii hali baada ya kula Mzigo. Je, na kwa upande wenu Ndivyo ilivyo?

    Duu,ume-apply ajira za ualimu lakini au unaleta umbea wa dada zako humu.Wewe ni mhitimu wa chuo na huna ajira.Usije kusingizia mfumo haufunguki na Serikali haitoi ajira,wakati unaleta pumba za kijinga tu humu jamvini. Empty head kabisa wewe!!!
  5. tusipotoshane

    Muhimbili wanasisitiza kuvaa barakoa wakati unaingia getini, ukifika wodini hupati bugudha. Hili lipoje?

    Umesoma alichosema mleta mada?Ameuliza, getini unapoingia bila barakoa unakatazwa.Lakini ndani watu hawavai.Hakuna aliyekataa kuwa Muhimbili hawapo sahihi na kuwa korona haipo. Umejibu nje ya mada.Haraka ya nini?Soma tena halafu umjibu mleta uzi
  6. tusipotoshane

    Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Kupitia uzi huu nimegundua kuna vijana wadogo waliomaliza shule na hawana ajira.Ndio maana huwa kuna mada za ajabu ajabu zisizo na kichwa nyingi. Serikali imemwaga ajira kwa vijana,ombeni acheni kuzogoa. Mkichelewa na mfumo kufungwa msije anza kulia humu jamvini kwa watu wenye akili za kujenga...
  7. tusipotoshane

    Huyu mrembo ananipenda na mimi pia nampenda, ishu imekuwepo kwenye Tunda

    Kuna wenzako wanafukunyua,wewe endelea kuuza sura.
  8. tusipotoshane

    Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

    Hiyo ya kukata hedhi ni ujinga.Damu zisipotoka na kubaki tumboni/njia za uzazi ni hatari zaidi.
  9. tusipotoshane

    Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

    Daaaaahh,huwa unazichunguza hizo ke?Wewe ni mtaalamu wa nyuchi?Au wewe ni wale wanaoitwa mwanaume mashine?Hahahahaaaa!!
  10. tusipotoshane

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

    Hahahaaaa"noted",mjini Shule.
  11. tusipotoshane

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

    Kweli mkuu,anadhani wana jamvi humu ni wajinga,hehehehee!!!
Back
Top Bottom