Kwa muktadha wa aliyoyasema ni mawazo sahihi yanayojenga. Kudesa na ku-plagiarise kisheria ni kosa.
Ukisoma kwa umakini "btn the lines" na kwa mapana,ni kwamba nimempongeza kwa mawazo yake chanya.
Hahahahaaaa!!!
Duu,ume-apply ajira za ualimu lakini au unaleta umbea wa dada zako humu.Wewe ni mhitimu wa chuo na huna ajira.Usije kusingizia mfumo haufunguki na Serikali haitoi ajira,wakati unaleta pumba za kijinga tu humu jamvini.
Empty head kabisa wewe!!!
Umesoma alichosema mleta mada?Ameuliza, getini unapoingia bila barakoa unakatazwa.Lakini ndani watu hawavai.Hakuna aliyekataa kuwa Muhimbili hawapo sahihi na kuwa korona haipo.
Umejibu nje ya mada.Haraka ya nini?Soma tena halafu umjibu mleta uzi
Kupitia uzi huu nimegundua kuna vijana wadogo waliomaliza shule na hawana ajira.Ndio maana huwa kuna mada za ajabu ajabu zisizo na kichwa nyingi.
Serikali imemwaga ajira kwa vijana,ombeni acheni kuzogoa. Mkichelewa na mfumo kufungwa msije anza kulia humu jamvini kwa watu wenye akili za kujenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.