Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,760
Nahisi ni Md wa benki moja hapa nchini.. Hizi benki ndogo ndogo izi.
Huyo hela alionayo analisha ukoo wenu wote kwa miaka 50 kwa njaa mliyokua nayoHaya mafisadi hayana nafasi tena
Bado nalia na msambwanda wako tu dahhHaya mafisadi hayana nafasi tena
Babe la mji,
Kama unaongelea Idriss Rashid Msabaha hili jamaa lilikuwa fisadi na lihujumu uchumi la kupindukia. Lilikuwa linafungulia maji bwawa la kidatu na mtera yanaisha ili nchi inunue umeme wa mafuta wa mabeberu na IPTL kwa kushinikiza nchi itaingia gizani.
Pia linaingia deals za wauza magenerator kwa kukatakata ovyo umeme ili watu wanunue magenerator! Hili lijamaa sio la kukumbukwa kabisa!
Hahahahaaaaaa!!!Bongo hamna viwanda bana ni majengo ya wajasiria malimali wadogowadogo.
Mabeberu ndiyo wakina Nani, hebu watajeAlitutesa sana na mingurumo ya majenereta kila kona. Aliwapenda Mabeberu kama Tundu
Marehemu Idris Msabaha alikua ni mwandishi wa habari na mdogo wake Dr Ibrahim Msabaha aliyewahi kua Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu Cha Dar, Mbunge wa Kibaha Mjini na Waziri wa Nishati na Madini na kung'olewa na sakata la Richmond. Hayati Idris Msabaha alihitimu masomo yake ya uandishi pale TSJ mwaka mmoja na jamaa aliyekua TBC aitwaye Jeff Shilembi(naye sijui yuko wapi)Idrsa Msabaha=Bangusilo,Alijiuzulu kwa kashfa ya Richmond
Idriss Rashid=Former Tanesco Md
Unapenda kulishwa?Huyo hela alionayo analisha ukoo wenu wote kwa miaka 50 kwa njaa mliyokua nayo
Marehemu Idris Msabaha alikua ni mwandishi wa habari na mdogo wake Dr Ibrahim Msabaha aliyewahi kua Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu Cha Dar, Mbunge wa Kibaha Mjini na Waziri wa Nishati na Madini na kung'olewa na sakata la Richmond. Hayati Idris Msabaha alihitimu masomo yake ya uandishi pale TSJ mwaka mmoja na jamaa aliyekua TBC aitwaye Jeff Shilembi(naye sijui yuko wapi)
Idris Rashid yeye ndiye aliyewahi kua Gavana wa Benki Kuu na Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO
Jeff shilembi yupo NECTA MSEMAJI MKUUU sema kitombi sanaMarehemu Idris Msabaha alikua ni mwandishi wa habari na mdogo wake Dr Ibrahim Msabaha aliyewahi kua Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu Cha Dar, Mbunge wa Kibaha Mjini na Waziri wa Nishati na Madini na kung'olewa na sakata la Richmond. Hayati Idris Msabaha alihitimu masomo yake ya uandishi pale TSJ mwaka mmoja na jamaa aliyekua TBC aitwaye Jeff Shilembi(naye sijui yuko wapi)
Idris Rashid yeye ndiye aliyewahi kua Gavana wa Benki Kuu na Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO
Hahahahah Ila jeff shilembi Ni mtangazaji mzuri sanaJeff shilembi yupo NECTA MSEMAJI MKUUU sema kitombi sana
keshawahi kukuto.mba mkuu?Jeff shilembi yupo NECTA MSEMAJI MKUUU sema kitombi sana
Babe la mji,
Kama unaongelea Idriss Rashid Msabaha hili jamaa lilikuwa fisadi na lihujumu uchumi la kupindukia. Lilikuwa linafungulia maji bwawa la kidatu na mtera yanaisha ili nchi inunue umeme wa mafuta wa mabeberu na IPTL kwa kushinikiza nchi itaingia gizani.
Pia linaingia deals za wauza magenerator kwa kukatakata ovyo umeme ili watu wanunue magenerator! Hili lijamaa sio la kukumbukwa kabisa!
Idrsa Msabaha=Bangusilo,Alijiuzulu kwa kashfa ya Richmond
Idriss Rashid=Former Tanesco Md
[/QUOTE
Mkindika uzushi kama hivi hamuoni aibu?
Unachanganya watu wawili tofauti, Dr Msabaha alikuwa waziri wa nishati na madini na sakata la richmond ndiyo lilimng'oa na Gavana Idris Rashid alikuwaga mkurugenzi wa Tanesco pia aling'olewa na vuguvugu hilohilo la Richmond lililomuondoa mamvi uwaziri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app