Pumbavu,tafuta kazi ufanye.Acha nyuchi.Habari za mchana ndugu zangu,
Mpaka imefikia nimekuja kuomba ushauri humu, inamaana nawakubali 100% ndugu zangu, kwani hamkuwai kuniangusha hata simu moja hasa katika matatizo yangu binafsi..
Tukienda kwenye mada
Mimi ni kijana wa miaka 23 ambaye nina mpenzi ambaye amenizidi umri kidogo yeye ana miaka 25. Ni mrembo ambaye nilisoma naye chuo kimoja mkoani dodoma. Mimi na huyu mrembo tuna uhusiano wa takriban 3 years lkni hatujawai kuingiliana(sex) hata siku moja, means haijui yangu pia siijui yake, tangu tumeingia kwenye mahusiano huwa namsaidia kifedha kwenye ishu ndogondogo, n.k
Ishu yenyewe
Huyu mrembo ananipenda pia nampenda ishu imekwepo kwenye (TUNDA). yeye anakaa kwao na mm pia ninaishi kwetu, Ni mtu wa aibu kidog, kuingia gest hajawai (anaogopa anavyodai) hvyo napata wakat mgumu kwenye hili tunda. (sio kwamba namind sana ila ishu ni kwamba nina uhusiano naye kwa mda mrefu na pia baada ya kuwa naye nikaamua kutulia naye huyuhuyu hivyo nakosa mahala pa kutimizia haja zangu) nikifikiria plan za kuanza life yngu ninazo mwakani 2012 (Mungu anijalie) je ! Nitaweza ama na yy ataweza kuvumilia kwa kipindi chote hicho???? Ama ni njia gani ya kunisaidia kutimiza hili jambo
Nipo kwenye wakati mgumu.
Naona kama ntakuja kuchapiwa na mpaka sometime naweza kumkasirikia bila sababu ,nakuwa nahc tu kwamba labda nachapiwa ila ananificha. (""yeye ni bikra"" pia huniambiaga kauli hii mara nyingi). Ushauri wenu wadau, na nikimuangalia mrembo ananipenda,pia ananiheshimu kwa kiasi kikubwa
NINACHOFIKIRIA
je! Niwe na mtu wa kuwa naye kwa ajili ya kutimiza hajazangu huku nikimsubiria yeye mpaka atakapoamua kuwa tayar kwa lolote (yaani kunipa) ama nimvumilie?
N.B. Yeye anafanya kazi sehumu fulani kwa kipindi hiki ika bado yuko kwao
Mimi pia nina shughuli zangu pia bado niko kwetu.
Naombeni ushauri wenu wadau...kuhusu jinsi ya kuishi ama kwenda sambamba na huyu mwanamke...
THANKS
Kazi ninayo nzuri tu ndugu ila maisha nilikuwa bado sijajipanga, cause nimemaliza chuo mwaka janaPumbavu,tafuta kazi ufanye.Acha nyuchi.
Kuna wenzako wanafukunyua,wewe endelea kuuza sura.Habari za mchana ndugu zangu,
Mpaka imefikia nimekuja kuomba ushauri humu, inamaana nawakubali 100% ndugu zangu, kwani hamkuwai kuniangusha hata simu moja hasa katika matatizo yangu binafsi..
Tukienda kwenye mada
Mimi ni kijana wa miaka 23 ambaye nina mpenzi ambaye amenizidi umri kidogo yeye ana miaka 25. Ni mrembo ambaye nilisoma naye chuo kimoja mkoani dodoma. Mimi na huyu mrembo tuna uhusiano wa takriban 3 years lkni hatujawai kuingiliana(sex) hata siku moja, means haijui yangu pia siijui yake, tangu tumeingia kwenye mahusiano huwa namsaidia kifedha kwenye ishu ndogondogo, n.k
Ishu yenyewe
Huyu mrembo ananipenda pia nampenda ishu imekwepo kwenye (TUNDA). yeye anakaa kwao na mm pia ninaishi kwetu, Ni mtu wa aibu kidog, kuingia gest hajawai (anaogopa anavyodai) hvyo napata wakat mgumu kwenye hili tunda. (sio kwamba namind sana ila ishu ni kwamba nina uhusiano naye kwa mda mrefu na pia baada ya kuwa naye nikaamua kutulia naye huyuhuyu hivyo nakosa mahala pa kutimizia haja zangu) nikifikiria plan za kuanza life yngu ninazo mwakani 2012 (Mungu anijalie) je ! Nitaweza ama na yy ataweza kuvumilia kwa kipindi chote hicho???? Ama ni njia gani ya kunisaidia kutimiza hili jambo
Nipo kwenye wakati mgumu.
Naona kama ntakuja kuchapiwa na mpaka sometime naweza kumkasirikia bila sababu ,nakuwa nahc tu kwamba labda nachapiwa ila ananificha. (""yeye ni bikra"" pia huniambiaga kauli hii mara nyingi). Ushauri wenu wadau, na nikimuangalia mrembo ananipenda,pia ananiheshimu kwa kiasi kikubwa
NINACHOFIKIRIA
je! Niwe na mtu wa kuwa naye kwa ajili ya kutimiza hajazangu huku nikimsubiria yeye mpaka atakapoamua kuwa tayar kwa lolote (yaani kunipa) ama nimvumilie?
N.B. Yeye anafanya kazi sehumu fulani kwa kipindi hiki ika bado yuko kwao
Mimi pia nina shughuli zangu pia bado niko kwetu.
Naombeni ushauri wenu wadau...kuhusu jinsi ya kuishi ama kwenda sambamba na huyu mwanamke...
THANKS
Picha linaanza anataka aanze maisha yake 2012 ...yan sijui anataka arudi nyuma Tena au vpNyie wote watoto, nyege zenu zisiwafanye mkajiona mna qualify kuwa wanandoa.
Kama we uko 23 kuna possibility ya hali ya juu kuwa mwenzio yuko 20-22 ambako ndio kipindi cha drama za hali ya juu!
km Yuko tayari kusettle 2012solution ni kupanga uwe na kwako ili uwe unajilia bila tabu hapo utapata wengi zaidi ya huyo mpenzi wako na ndo utakua mda sahihi wa ku determine kama upo tayari kusettle mwaka 2012 ukifika au ni genye tu zimekuzidi.
Naunga mkono hoja ....Yani umekubali kabisa kuwa mtaji unapigwa za uso unajubali, demu kama akupi chini ni mwiko kumhudumia kama mpenz wako.
Naunga mkono hoja ....
yaani vyuo vyetu vunazalisha mambumbu wapya wafikira kama mleta uziUna Elimu gani?
XorryXorry mummy,
Nimekuelewa dadaa
Ngoja rusubiri hiyo mwakani 2012!Habari za mchana ndugu zangu,
Mpaka imefikia nimekuja kuomba ushauri humu, inamaana nawakubali 100% ndugu zangu, kwani hamkuwai kuniangusha hata simu moja hasa katika matatizo yangu binafsi..
Tukienda kwenye mada
Mimi ni kijana wa miaka 23 ambaye nina mpenzi ambaye amenizidi umri kidogo yeye ana miaka 25. Ni mrembo ambaye nilisoma naye chuo kimoja mkoani dodoma. Mimi na huyu mrembo tuna uhusiano wa takriban 3 years lkni hatujawai kuingiliana(sex) hata siku moja, means haijui yangu pia siijui yake, tangu tumeingia kwenye mahusiano huwa namsaidia kifedha kwenye ishu ndogondogo, n.k
Ishu yenyewe
Huyu mrembo ananipenda pia nampenda ishu imekwepo kwenye (TUNDA). yeye anakaa kwao na mm pia ninaishi kwetu, Ni mtu wa aibu kidog, kuingia gest hajawai (anaogopa anavyodai) hvyo napata wakat mgumu kwenye hili tunda. (sio kwamba namind sana ila ishu ni kwamba nina uhusiano naye kwa mda mrefu na pia baada ya kuwa naye nikaamua kutulia naye huyuhuyu hivyo nakosa mahala pa kutimizia haja zangu) nikifikiria plan za kuanza life yngu ninazo mwakani 2012 (Mungu anijalie) je ! Nitaweza ama na yy ataweza kuvumilia kwa kipindi chote hicho???? Ama ni njia gani ya kunisaidia kutimiza hili jambo
Nipo kwenye wakati mgumu.
Naona kama ntakuja kuchapiwa na mpaka sometime naweza kumkasirikia bila sababu ,nakuwa nahc tu kwamba labda nachapiwa ila ananificha. (""yeye ni bikra"" pia huniambiaga kauli hii mara nyingi). Ushauri wenu wadau, na nikimuangalia mrembo ananipenda,pia ananiheshimu kwa kiasi kikubwa
NINACHOFIKIRIA
je! Niwe na mtu wa kuwa naye kwa ajili ya kutimiza hajazangu huku nikimsubiria yeye mpaka atakapoamua kuwa tayar kwa lolote (yaani kunipa) ama nimvumilie?
N.B. Yeye anafanya kazi sehumu fulani kwa kipindi hiki ika bado yuko kwao
Mimi pia nina shughuli zangu pia bado niko kwetu.
Naombeni ushauri wenu wadau...kuhusu jinsi ya kuishi ama kwenda sambamba na huyu mwanamke...
THANKS
Bado hajawajua vizuri Ngoja akue kwanzaMiaka 23 bado ajakuwa wakiume anakubali maneno ya kuambiwa eti ye bado bikra na anakubali alafu mbaya zaid kapenda hana ujanja