Recent content by Tusajo

  1. T

    Historia ya Rais Magufuli na fikra za kujilisha bila kuombaomba!

    Hakuna kitu kama hicho na nadhani huko nyuma ulikuwa mfaidika sasa umebanwa fanya kazi kijana dunia haipo hivyo hakuna madili siku hizi.
  2. T

    Takwimu za Deni la Taifa kwa sasa

    Leta source ya ya habari za deni hili usilete porojo.
  3. T

    Kuna siku Magufuli atavuna mabua kwa sababu ya kucheka na haya manyani aliyoamua kuyafuga!

    Watu wengine Watu wengine bwana mnaenda kuvuta bangi chooni mnakuja kulialia hapa fanya kazi hakuna hela rahisi duniani.
  4. T

    Kwanini yasemwayo mitandaoni na wachache ndio iwe msimamo wa watanzania wote?

    Kweli wajinga hawataacha kuzaliwa kama akili zenyewe ndo hizi
  5. T

    Zitto: Magufuli anakutana na Maafisa watendaji ili kulazimisha CCM ishinde uchaguzi Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu

    Uzushi huachi mzee wa kutunga tunga , acha kuishi kwa hisia , umezidi na ndoto zako.
  6. T

    Moja ya ndege za ATCL Bombardia iko Zanzibar wiki ya pili sasa inatengenezwa

    Kama huna cha kusema si ukae kimya .Kila kitu mnakosoa na kusema vibaya mtendewe kitu gani?Hata dunia inawashangaa, watu wa nje wanaona mazuri yanayofanyika eti nyie mnanjifanya vipofu , Mungu anawaona na mtaadhibiwa tu.Na yote kwa kuwa mmebanwa kwa mlivyokuwa mnaila nchi.Hiyo haipo tena na...
  7. T

    Morogoro: Lori la Mafuta lapata ajali na kulipuka, watu 104 Wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa...(Picha zinaogofya)

    Sio kweli maana watanzania hata kama wakisikia risasi zikinguruma upande fulani watakimbilia huko wakashuhudie ,hii ni tabia tulionayo.
  8. T

    Ukweli wa Erick Kabendera ndio huu

    PAYE- Unaitambua hii sheria ?
  9. T

    Zitto adai ripoti ya TISS yaonyesha Rais Magufuli hawezi kushinda 2020

    Kutunga tunga amauongo haaminiki hata kidogo ndio maana alitimuliwa CHADEMA kwa unafiki wake na Umbeya
  10. T

    Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Jeshi la Polisi wajitafakari, watanzania sio wajinga

    Tuache sheria ifuate mkondo kama amekosa atahukumiwa kwa makosa aliyotenda na kama hajatenda kosa atakuwa huru.Tusijifikirishe kwa mambo tusiyoyajua undani wake.Pia Usalama ni taaluma za watu.
  11. T

    Tusiruhusu wanasiasa wakajiona bila wao akili zetu hazina akili

    Mungu awasamehe kwa akili hizi za ajabu sijawahi kuona watu au binadamu mwenye mawazo ya ajabu kama hizini heri muokota makopo kama umesoma elimu haina faida yoyote kwa mawazo haya.
  12. T

    Tusizunguke mbuyu kuhusu wasiojulikana

    Sema umemchoka baada ya kubnwa kwa sababu tabia zako ovu tunamhitaji sana Magufuli kuliko unavyowaza.
  13. T

    Kutekwa Mo Dewji: Mahakama yatoa hati raia watano wa kigeni kukamatwa

    Usijifanye unajua kumbe hujui lolote Huyo jamaa wa South Africa ni Mhalifu mkubwa tu . soma hiyo document uone mavitu yake sio kila jambo mnapinga.
  14. T

    Kutekwa Mo Dewji: Mahakama yatoa hati raia watano wa kigeni kukamatwa

    Fraudster fined for possession of skimming device 2015-04-29 17:11 Bert van Hees, News24 (Shutterstock) Multimedia · User Galleries · News in Pictures Send us your pictures ·...
  15. T

    Uzinduzi hifadhi ukiendelea wakati wanahabari wakiagwa, imenisikitisha sana..

    Uwanja unajengwa kwa fedha ya wafadhili binafsi na wala sio serikali , wapi wameandika serkali ndio inajenga uwanja Chato acha uzwazwa.
Back
Top Bottom