Recent content by TUSAJIGWEGE

  1. T

    Msaada kuhusu postgraduate diploma education ya udsm or duce.

    Qualification na fees za kujiunga na pgde ya duce au udism ikoje. Naomba msaada members jwa anayejua.
  2. T

    msaada kuhusu wizara ya elimu na ajira zake.

    Ok. Asante for information
  3. T

    sms ya mafua..!!

    mmm. hii kali!
  4. T

    TB Joshua....Emmanuel TV

    Ayubu alimwambia Mungu najua kuwa unaweza fanya mambo yote na makusudi yako hayawezi zuilika! hivo kazi tutapata tu!
  5. T

    msaada kuhusu wizara ya elimu na ajira zake.

    Eti ukituma barua wizara ya elim kuomba upangiwe kufundisha kwa mtu uliyosoma kozi isiyo ya ualim inawezekana kupangiwa?
  6. T

    TB Joshua....Emmanuel TV

    Kweli Mungu anajibu pale kunapokuwa na iman kamili. tatizo letu tunamuekea Mungu mipaka ktk maombi yetu but God anajibu.
  7. T

    Kazi kampun za wahindi hapa dar es salaam

    Nacikia wanatoaga sana tempo japo wage kidogo. ofisi zao zinaptikana sana wap hapa dsm na namna ya kuaply. naomba msada
  8. T

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    Tunashukuru. me nataman hata nikafundishe sa sijajua shule gan niombe nafas. HGL nilisoma, niko Tegeta. naomba msaada,
  9. T

    Natafuta kazi ya kufundisha history, civics na english.

    Nimemaliza chuo ktk degree ya utawala, naomba msaada kwa yeyote atakaye sikia shule inayohitaji mlm wa muda.niko Tegeta
  10. T

    Natafuta temporary work

    Nimehitimu chuo mwaka jana degree ktk administratio. natft tempo yoyete hapa dar . hata kufundisha km hist, Eng, civ
  11. T

    Wanafunzi wa udom (wahitimu) wakosa ajira

    huyo sizan ka kafika hata form 6. ka kafika chuo na hisi alidesa.he judge vlaza, ana uhakika? a dsplay result zake.
  12. T

    Wanafunzi wa udom (wahitimu) wakosa ajira

    He huyu jamaa tumtafutie ajira ya utafiti. anaonekana yuko deep ktk uzushi!
  13. T

    Any information about post advertized by PSRP, August 2013.

    Naomba msaada kwa anayefahamu kama kweli utumishi wametangaza tena kazi august hii.
  14. T

    Kazi by utumishi

    Nacikia utumishi wametangaza kazi tena mwezi huu wa august.je ni kweli?
Back
Top Bottom