Recent content by tupa_jr

  1. tupa_jr

    Lenovo Laptop for sale.

    SOLD SOLD SOLD Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
  2. tupa_jr

    Lenovo Laptop for sale.

    Ram: 2gb HDD: 500gb Dual-core processor. Betty capacity: 3hrs. Serious buyers only: 0716000133 Location: Mabibo_Makutano.
  3. tupa_jr

    Wauzaji wa viungo vya chakula tukutane hapa

    Habarini wanaJF, Wale wauzaji na wanunuaji wa viungo vya chakula (ILIKI, KARAFUU,MDALASI NA PILIPILI MANGA) tukutane hapa, tujue soko lake likoje, upatikanaji wake na changamoto zake. Karibuni sana..!!
  4. tupa_jr

    Project maalumu kuinua uchumi wa watanzania,Weka wazo lako la mradi hapa na ueleze umekwama wapi utafutiwe co-investor

    Kuna baadhi ya maeneo Bagamoyo yalikuwa ni mashamba, sasa serikali ya kijiji imeamuru wamiliki wa mashamba hayo ya zamani yagawiwe na kuwa viwanja vya makazi ( Makazi ya Watu). Ninacho fikiri; 1. Ni kupata mtaji wa kununua mashamba hayo toka kwa wamiliki. 2. Kuyapima mashamba hayo na kutoa...
  5. tupa_jr

    Computer4Sale Asus pc for sell

    Brand: ASUS Ram: 4GB HDD: 500GB Core: i3 CHARGE: 3 HRS+/0ea6252953ed7f3e673d2d19db8a20ef.jpg[/IMG] PRICE: 430k ( Negotiable). Good condition work perfectly. Location: mwenge-mpakani Reason for sell: i need cash to pay school fees. Contact: 0716000133/ 0738235272
  6. tupa_jr

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Ahsante mkuu, nitajaribu kufanya survey kwa hayo maeneo.!
  7. tupa_jr

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Nitangulize Shukrani zangu kwa wana JF. Nina mtaji usio pungua LAKI TANO (500,000), nimefikiria kufungua lango la Chips maeneo ya Dar es Salaam. Naombeni ushauri ni maeneo gani yako potential kwa biashara hiyo au kwa mtaji huo naweza kufanya kitu gani kingine.? Ahsanteni sana, na nakaribisha...
  8. tupa_jr

    USHAURI: Jinsi ya kuweza kuhifadhi pesa kutoka katika mshahara

    Fungua Fixed account kwenye Bank yoyote, na ulink account yako ya mshahara na hiyo fixed account yako, ili bank wawe wanakata pesa huku huku kabla hujaaenda kuzitoa zote..!! Mawazo Tu....!!!!!
  9. tupa_jr

    Kamanda Sirro awajibu waliosusia maiti ya kijana aliyeuawa akihisiwa kuwa jambazi

    kwani wanao chunguza si ndio hao hao walio muua au...???
  10. tupa_jr

    TANGA: Coaster lagonga Lori kwa nyuma maeneo ya Lusanga, watu kadhaa wapoteza Maisha

    Innalillah wainna ilaiyh raajiuun Ya Allah ,Zilaze roho za ndugu zetu mahala pema peponi...amen. Ya Allah tujaalie mwisho mwema na sisi tulio bakia...amen.
  11. tupa_jr

    Who is wife material?

    Hahahaha
  12. tupa_jr

    Who is wife material?

    Sawa mke ni mke tu, lakini muoaji anatakiwa ajue anataka mke wa aina gani.
Back
Top Bottom