Recent content by tunie26

  1. tunie26

    Mkurugenzi Mkuu NHIF ni kati ya wanaomponza Ummy Mwalimu

    Tatizo ni kuwa unamshambulia mtu badala ya kuwasilisha hoja, kumbuka NHIF ni taasisi inaongozwa na kusimamiwa na sheria. Kama una hoja wasilisha hoja na sio mawazo binafsi.
  2. tunie26

    Huenda Kuna watu wanapanga kumwangusha Rais Samia na CCM yake kwani baada ya nauli kupanda kwa 43% sasa gharama za kumwona daktari zapanda kwa 400%

    Kuja na fact sio utudanganye watanzania kuwa gharama ya kuona daktari imepanda toka 5000 hadi 25,000. Hiyo iko kwenye
  3. tunie26

    KERO Responded NHIF imeikosesha nchi utawala wa sheria

    Sio kama unavyodhani bali mimi nilikua muhanga kama wewe wa kuilaumu serikali na NHIF kuwa mbovu inatoa huduma kwa upendeleo, ila kumbe nilikua najidanfanya mwenyewe nilikua na biashara yangu nimeikatia bima, gari nimeikatia bima na hata nyumba nimeikatia lakini sikua na elimu ya umuhimu wa kuwa...
  4. tunie26

    KERO Responded NHIF imeikosesha nchi utawala wa sheria

    Mimi kama unavyofikiri ila nimenufaika na huduma za NHIF mimi na familia yangu ndio nimekuambia kuja na hoja za kama serikali ifanye nini ili wanachi wengi zaidi wajiunge na bima na kuwa na uhakika wa matibabu. Yaani hivi kuwa na utamaduni wa kukata bima za afya kama vile tunapokata bima za gari...
  5. tunie26

    KERO Responded NHIF imeikosesha nchi utawala wa sheria

    Hapa ungekuja na hoja za namna gani watanzania waweze kujiunga na bima na sio NHIF tu, bali na bima zote. Kwa sabb hizo takwinu za wenzetu wamefanyaje kufanikiwa wananchi wao kujiunga na bima ya afya ndio ingekuwa point ili kuweza kutoka hapa tulipo kama Taifa na sio kuendelea kutoa data hapa...
  6. tunie26

    KERO Responded NHIF imeikosesha nchi utawala wa sheria

    Aisee bora tuu umueleze ukweli sabb bila NHIF watoa huduma wengi watafunga vituo vyao, yaani kuna kituo X kipo mkoa Y nilikua naenda pale kupata matibabu kilikua na foleni hatari asikuambie mtu, lakini majuzi nkawa na homa nkaenda, kufika nakuta mabenchi yako wapi nkashangaa kulikoni, akaja...
  7. tunie26

    Hasara za NHIF kila Mwaka: Sababu nyingine ni baadhi ya watendaji kujimilikisha mfuko

    Weka hoja yako ya msingi ni nini? Maelezo ni mengi alaf yanajichaganya
  8. tunie26

    Raisi Samia, NHIF inakugombanisha na wazee makusudi kabisa, kinyongo na manung'uniko yao vitakuletea mikosi kwenye uongozi wako

    Kiukweli niupongeze uamuzi wa NHIF kuanza kutumia fingerprint kwani ilikua kama shama la bibi, unakuta kadi moja inatumiwa na watu zaidi ya 10. Big up sana kwao udhibiti mzuri
  9. tunie26

    Bima ya Afya (NHIF): Dhuluma, Mateso kwa watoa huduma hadi lini? Rais Samia tusaidie

    Una hoja nzito lakini kama maoni yako ni halisi kwa nini usiwasilishe na vielelezo husika kwa mamlaka husika ili wachukue hatua kwa Mfuko. Sisi huku tunakusaidiaje?
  10. tunie26

    Rais Samia aache kulalamika, achukue hatua mara moja

    Mkiambiwa matibabu ni gharama hamsemi halafu mkisikia NHIF imelipa malipo makubwa kwa gharama hizo mnaanza kuishambulia lazima tukubali kuwa NHIF wanajitahidi sana hata hapo walipo pamoja na kwamba michango haijawahi kupanda
  11. tunie26

    Nasisitiza; Binti usizae kabla hajakuoa(Epuka kuwa single Mother)

    Hili kuna wanaoona ni tatizo lakini wengine wanazaa kwa mapenzi yao kabisa na wamekubali kuwa single mama kwa sabb hawataki shuruba za kusumbuliwa kila saa kuulizwa uko wapi au ile kuomba ruhusa mimi nataka kutoa na mengine kama hayo. Pili tatizo linaanzia katika malezi na makuzi ya mtoto toka...
  12. tunie26

    Unayeshiriki kupinga ndoa, wewe ni wakala wa shetani

    Sio utumwa ila ulitaka kuwa mtumwa utakua kwa namna ya maisha ambayo unachagua kuishi.
  13. tunie26

    Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

    Ee Mungu kwa nini unayaruhusu haya, Ee BWANA mwenye enzi
  14. tunie26

    Kumbe wanawake mnaolea watoto wachanga huwa mnateseka hivi? Poleni

    Kuna wanaopenda watoto inakua ni rahisi sana kuwalea watoto. Yaani ukienda
  15. tunie26

    Kumbe wanawake mnaolea watoto wachanga huwa mnateseka hivi? Poleni

    Pole sana, kina mama wanapaswa, kuheshimiwa sana aisee, hapo ilikua ni mchana tu vip usiku wakati mama hata lipe la usingizi halali kwa ajili ya mtoto wake. Heshima kwao kina mama wote
Back
Top Bottom