Recent content by tungatagaga

  1. T

    JamiiForums Tanzania Imekuaje kunywa pombe dhambi

    Pombe ni mlango wa shetani akitafuta aitawale roho yako na wote tunajua tofauti ya aliyelewa na asiyelewa.Kazi ya shetani ni kumfanya mlevi afanye mapenzi yake.Pombe yenyewe siyo dhambi ni mlango wa shetani tu kwa mtumiaji.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Nakubaliana na member mmoja hapo juu kwamba ndoa nzuri haina formula; anayo Mungu mwenyewe.Ebu fikiria mume ambaye anafurahia maisha ya ndoa na mke aliyempata baa. Unasema nkeo usimhuzishe mambo yako ya mkwanja.Ebu fikiria una sh.30m benki na unafariki kwa ajali na hapo umeacha nkeo na watoto...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Labda kama hajui kusoma;kusikia ni pamoja na kusoma neno na kulipokea moyoni.viziwi wengi wanauwezo wa kusoma na wengine hutegemea alama za mikono.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Tunatakiwa kujua kwamba imani ya. Kweli huja kwa kusikia neno la Mungu na sio kuona miujiza.kwa maana hats shetani hufanya miujiza.Huu ndiyo ushuhuda wangu;Mara nyingi roho yangu inakuwa katika amani ya Bwana.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Ukitaka hela za haraka fungua kanisa kuna majinga mengi; kinachoendelea Kawe kwa Mwamposa kinasikitisha

    Ujinga unasababishwa na sisi wenyewe kwa kutokusoma neno la Mungu kujua anatuambia nini.Neno linasema tuutafute ufalme wake kwanza ili tupate mambo mengine sawasawa na mapenzi yake. Kwanzisha makanisa kwa lengo LA kujitajirisha ni utapeli pia.Tumwombee mwamposa a focus namna ya kuwashawishi watu...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Ni nani atakayerithi nafasi ya Mwalimu Christopher Mwakasege?

    Atakaye mridhi mwalimu atakapokuwa mzee ni yeyote anaipenda na kusoma neno la Mungu. ili kujua Mapenzi yake. Wengine wote wanadhani mapenzi ya Mungu ni kuonyesha miujiza na mafanikio badala ya kuwaleta watu kwenye ufalme wa Mungu.Na kwa sababu hatusomi biblia wamefanikiwa kuuteka.Mwal. hufafanua...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi ndie pekee mwanasiasa mzoefu kitaifa na kimataifa anayeaminika na kukubalika pasina chembe ya shaka ndani na nje ya CCM

    Aliyosema wakati wa misa ya kumwaga cadinali pengo,inatosha kuwa si wote huko ccm wanafurahia yanayotokea sasa,na nchimbi ni, mmoja wao bila shaka.Kwahiyo hakuna cha kushangaa .
  8. T

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Mbona mizinga ya yanga imara hukuitaja km Has an gobos,abdulhama juma,kitwana manara,Sunday manara,sicken,huseni
  9. T

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Changamoto gani wakati wengine wanatafuta hata wadawa hawapati?Mshukuru Mungu tu.Wazazi wengi ukiwauliza wapata stress nyingi kutoka watoto wa kiume kuliko watoto wa kike.Kama ni lazime uwe na mtoto wa kiume fata ushauri wa kalenda mkeo hana shida
  10. T

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Kila siku Lissu anaweka mapingamizi, ndio maana inachukua muda mrefu

    Badala ya kuwakamata waliompiga risasi nyingi mwilini mwake,mnamkamata yeye kwa kusema "no reform no election' kweli ni rafiki yako Tundu?
  11. T

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    Mwanamke kama hakupendi atafanya visa ili muachane.Tatizo LA vijana wengi wanakimbilia kamanyola kama ndiyo upendo wenyewe kwa wenzi wao.Je mnaongea vizuri na mwenzi wako na kumjali kama mboni ya jicho lako? Kamanyola ni matokeo ya upendo tena inajileta yenyewe bila shuruti bila staili.
  12. T

    JamiiForums Tanzania Natafuta mume umri kuanzia miaka 34 hadi 45 ili tumalizie pamoja maisha yetu yaliyobaki hapa duniani

    Mwanangu ungemwomba Mungu kimya kimya.Kwa sasa unaonyesha unamume umtakaye moyoni.
  13. T

    JamiiForums Tanzania Kuna maisha baada ya kifo au tukifa ndio mwisho wa kila kitu

    Ndiyo kuna maisha baada ya kifo lakini sio ktk mwili.Yesu alisema ktk yohana 11.25. "Yeye aniaminie ajapokufa atakuwa anaishi" maisha katika mwili hapa duniani ni ya kitambo:lakini ya kiroho ni ya milele kutegemea matendo ya mtu kumpeleka hukumuni au peponi
  14. T

    JamiiForums Tanzania Bila Shaka mchawi mpya wa Soka kwa sasa ni Lionel Messi

    Uko sahihi; na marachache sana kufanya rafu za kijinga
  15. T

    JamiiForums Tanzania Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

    Kama wanandoa hawana changamoto za kiafya,ni mpango wa Mungu kwamba mbegu ikipandwa ardhi iotesho mmea hali kadhalika kwa wanandoa,baba akipanda mbegu kwa mama,lazima mama ataotesha mimba kwa wakati wake.Ndo maana wengine hupata mimba bila kutegemea
Back
Top Bottom