Pombe ni mlango wa shetani akitafuta aitawale roho yako na wote tunajua tofauti ya aliyelewa na asiyelewa.Kazi ya shetani ni kumfanya mlevi afanye mapenzi yake.Pombe yenyewe siyo dhambi ni mlango wa shetani tu kwa mtumiaji.
Nakubaliana na member mmoja hapo juu kwamba ndoa nzuri haina formula; anayo Mungu mwenyewe.Ebu fikiria mume ambaye anafurahia maisha ya ndoa na mke aliyempata baa.
Unasema nkeo usimhuzishe mambo yako ya mkwanja.Ebu fikiria una sh.30m benki na unafariki kwa ajali na hapo umeacha nkeo na watoto...
Tunatakiwa kujua kwamba imani ya. Kweli huja kwa kusikia neno la Mungu na sio kuona miujiza.kwa maana hats shetani hufanya miujiza.Huu ndiyo ushuhuda wangu;Mara nyingi roho yangu inakuwa katika amani ya Bwana.
Ujinga unasababishwa na sisi wenyewe kwa kutokusoma neno la Mungu kujua anatuambia nini.Neno linasema tuutafute ufalme wake kwanza ili tupate mambo mengine sawasawa na mapenzi yake. Kwanzisha makanisa kwa lengo LA kujitajirisha ni utapeli pia.Tumwombee mwamposa a focus namna ya kuwashawishi watu...
Atakaye mridhi mwalimu atakapokuwa mzee ni yeyote anaipenda na kusoma neno la Mungu. ili kujua Mapenzi yake. Wengine wote wanadhani mapenzi ya Mungu ni kuonyesha miujiza na mafanikio badala ya kuwaleta watu kwenye ufalme wa Mungu.Na kwa sababu hatusomi biblia wamefanikiwa kuuteka.Mwal. hufafanua...
Aliyosema wakati wa misa ya kumwaga cadinali pengo,inatosha kuwa si wote huko ccm wanafurahia yanayotokea sasa,na nchimbi ni, mmoja wao bila shaka.Kwahiyo hakuna cha kushangaa
.
Changamoto gani wakati wengine wanatafuta hata wadawa hawapati?Mshukuru Mungu tu.Wazazi wengi ukiwauliza wapata stress nyingi kutoka watoto wa kiume kuliko watoto wa kike.Kama ni lazime uwe na mtoto wa kiume fata ushauri wa kalenda mkeo hana shida
Mwanamke kama hakupendi atafanya visa ili muachane.Tatizo LA vijana wengi wanakimbilia kamanyola kama ndiyo upendo wenyewe kwa wenzi wao.Je mnaongea vizuri na mwenzi wako na kumjali kama mboni ya jicho lako? Kamanyola ni matokeo ya upendo tena inajileta yenyewe bila shuruti bila staili.
Ndiyo kuna maisha baada ya kifo lakini sio ktk mwili.Yesu alisema ktk yohana 11.25. "Yeye aniaminie ajapokufa atakuwa anaishi" maisha katika mwili hapa duniani ni ya kitambo:lakini ya kiroho ni ya milele kutegemea matendo ya mtu kumpeleka hukumuni au peponi
Kama wanandoa hawana changamoto za kiafya,ni mpango wa Mungu kwamba mbegu ikipandwa ardhi iotesho mmea hali kadhalika kwa wanandoa,baba akipanda mbegu kwa mama,lazima mama ataotesha mimba kwa wakati wake.Ndo maana wengine hupata mimba bila kutegemea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.