Recent content by tungatagaga

  1. T

    JamiiForums Tanzania Polisi form four failure wanataka kumuua Daktari Bingwa

    Mbona dr kasambara Rip alikuwa anapita bila kujali taa nyekundu walikuwa hawafanyi kitu.Nadhani walikuwa wanamfahamu kuwa ni mtu wa majukumu
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa inawaomba CCT,TEC,BAKWATA waunde Kamati ya suluhu na uapatanisho ili kusaidia juhudi za Maridhiano nchini

    Mtu pekee aliyetegemewa kupunguza joto kati ya wananchi na Serikali ni huyo ambaye ameonekana adui wa Chama na kumdhalilisha kiutumishi.Labda tumkimbilie Mungu kwani serkali haitaki kukiri makosa yaliyosababisha wasio na hatia kuwawa
  3. T

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu nilimtukana matusi ya nguoni tukiwa bar na nikiwa nimelewa, kanishtaki. Je, nina kesi ya kujibu?

    Kuna watu wanaaibu ya kutongoza au kumtukana mtu hadi awe amekunywa na kulewa.Kama ulikusudia na kumtukana ulipasa pia kwenda kwake na kumwomba msamaha ili aifute kesi yake.LLakini akitambua kwamba ulikusudia anaweza asisamehe.kubali matokeo ili usijerudia tena
  4. T

    JamiiForums Tanzania CHADEMA itisheni kikao cha dharura haraka sana tembeeni na upepo huu huu wa CCM kumalizana na Mbowe

    Kwa mtazamo wangu,Nchimbi ndiye aliyebaki ccm kama grisi kati ya serkali na wananchi.Maneno aliyoyatoa hivi karibuni ni ya matumaini kwa taifa zima.Pengine mama kapokea kauli hizo kama dharau,hapana; ni Chama kuliponya taifa(Nchimbi ametumia falsafa za chama kupunguza joto LA kisisa nchini) Kama...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Imekuaje kunywa pombe dhambi

    Pombe ni mlango wa shetani akitafuta aitawale roho yako na wote tunajua tofauti ya aliyelewa na asiyelewa.Kazi ya shetani ni kumfanya mlevi afanye mapenzi yake.Pombe yenyewe siyo dhambi ni mlango wa shetani tu kwa mtumiaji.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Nakubaliana na member mmoja hapo juu kwamba ndoa nzuri haina formula; anayo Mungu mwenyewe.Ebu fikiria mume ambaye anafurahia maisha ya ndoa na mke aliyempata baa. Unasema nkeo usimhuzishe mambo yako ya mkwanja.Ebu fikiria una sh.30m benki na unafariki kwa ajali na hapo umeacha nkeo na watoto...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Labda kama hajui kusoma;kusikia ni pamoja na kusoma neno na kulipokea moyoni.viziwi wengi wanauwezo wa kusoma na wengine hutegemea alama za mikono.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Tunatakiwa kujua kwamba imani ya. Kweli huja kwa kusikia neno la Mungu na sio kuona miujiza.kwa maana hats shetani hufanya miujiza.Huu ndiyo ushuhuda wangu;Mara nyingi roho yangu inakuwa katika amani ya Bwana.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Ukitaka hela za haraka fungua kanisa kuna majinga mengi; kinachoendelea Kawe kwa Mwamposa kinasikitisha

    Ujinga unasababishwa na sisi wenyewe kwa kutokusoma neno la Mungu kujua anatuambia nini.Neno linasema tuutafute ufalme wake kwanza ili tupate mambo mengine sawasawa na mapenzi yake. Kwanzisha makanisa kwa lengo LA kujitajirisha ni utapeli pia.Tumwombee mwamposa a focus namna ya kuwashawishi watu...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Ni nani atakayerithi nafasi ya Mwalimu Christopher Mwakasege?

    Atakaye mridhi mwalimu atakapokuwa mzee ni yeyote anaipenda na kusoma neno la Mungu. ili kujua Mapenzi yake. Wengine wote wanadhani mapenzi ya Mungu ni kuonyesha miujiza na mafanikio badala ya kuwaleta watu kwenye ufalme wa Mungu.Na kwa sababu hatusomi biblia wamefanikiwa kuuteka.Mwal. hufafanua...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi ndie pekee mwanasiasa mzoefu kitaifa na kimataifa anayeaminika na kukubalika pasina chembe ya shaka ndani na nje ya CCM

    Aliyosema wakati wa misa ya kumwaga cadinali pengo,inatosha kuwa si wote huko ccm wanafurahia yanayotokea sasa,na nchimbi ni, mmoja wao bila shaka.Kwahiyo hakuna cha kushangaa .
  12. T

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Mbona mizinga ya yanga imara hukuitaja km Has an gobos,abdulhama juma,kitwana manara,Sunday manara,sicken,huseni
  13. T

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Changamoto gani wakati wengine wanatafuta hata wadawa hawapati?Mshukuru Mungu tu.Wazazi wengi ukiwauliza wapata stress nyingi kutoka watoto wa kiume kuliko watoto wa kike.Kama ni lazime uwe na mtoto wa kiume fata ushauri wa kalenda mkeo hana shida
  14. T

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Kila siku Lissu anaweka mapingamizi, ndio maana inachukua muda mrefu

    Badala ya kuwakamata waliompiga risasi nyingi mwilini mwake,mnamkamata yeye kwa kusema "no reform no election' kweli ni rafiki yako Tundu?
  15. T

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    Mwanamke kama hakupendi atafanya visa ili muachane.Tatizo LA vijana wengi wanakimbilia kamanyola kama ndiyo upendo wenyewe kwa wenzi wao.Je mnaongea vizuri na mwenzi wako na kumjali kama mboni ya jicho lako? Kamanyola ni matokeo ya upendo tena inajileta yenyewe bila shuruti bila staili.
Back
Top Bottom