Hivi kutoa maoni mbadala namna ya kuendesha nchi tofauti na miaka 60 iliyopita ndo mtu anakuwa kibaraka au bwenyenye?Kwani uzalendo ni kukaa kimya wakati raslimali za nchi zinawanufaisha wachache tu.Ninavyojua uzalendo ni kuipenda nchi bila shuruti kwa kuwa unanufaika nayo na huduma za msingi...
Kama akili zako ni kuwazia familia yako jinsi itakavyoishi kesho fikira zako zitakutuma kumwomba Mungu akuwezeshe.Hutafikiria tako linalogusa mitambo yako aslani.
Mifumo yoyote inahitaji collective responsibility endapo mambo yataparganyika.Swala la utekaji lilikataliwa kijadiliwa bungeni eti kwa kukosa ushahidi.Sasa najiuliza wamerikani ambao wako mbali nasi,wamepata wapi ushahidi had I kujadili mambo yetu haya? Kama mfumo umeparaganyika tuchutame kuliko...
Mmeshindwa kufuta umasikini nchini sasa mnatishia kufuta vyama vinavyopigania raslimali za nchi kutotumika vibaya;nani atawasikia? Au taarifa ya cag hajawahi kusoma?
Wapo watu nchi hii wanauchungu na Mali za Taifa.Kuna wakati miaka iliyopita baadhi ya wabunge na has a kutoka upinzani waliomba mikataba ya gesi na mafuta isomwe na kujadiliwa kwa muda wa kutosha; lakini wakapuuzwa na kupitishwa kwa muda mfupi.Matokeo yake Tanzania ina gas isiyonufaisha Taifa...
Si mpaka tushauriane kabla hajaruhusiwa kwenda ktk siasa?Na hapo ndo ntafunga ili Mungu anifunulie hatima ya ndoa yetu.Kama mke wangu anasomeka vizuri na dhamira yake inakubalika na maombi yangu ntamruhusu.Margret thacher, aliyekuwa pm wa uingereza,alikuwa mwanamke aliyeweka mipaka kati ya ndoa...
Mfumo wa katiba iliopo ndo unaipa shida utawala wa karne hii.Mzee warioba ni mtu wa character hagombani na rais anagombana na mfumo wa utawala hata composition ya kamati ya chande hakuchaleji isipokuwa yaliyomo katika report yake.Utaona kuwa mzee warioba ni mtu aliyenyooka uwaziri mkuu aliokuwa...
Mnaohamishwa kwa mitandao au simu shida huanzia hapo.Utaratibu wa kiofisi unahama na personal particulars zako data sheet na barua ya uhamisho kama ushahidi.Sasa ukienda kimwili tu nani atakutambua?mishahara ya watumishi hupitia Benki,haihusiani na uhamisho kama umewakilisha document zako za...
Report ya tume haijaunganisha Taifa.Ili muafaka upatikane,waachiwe waliotekwa wote pamoja na TAL.kisha kuwe na public hearing ya hoja zao zilizowafanya wakamatwe;kwa njia referendum wakiamua hoja zao zinamashiko,katiba nyingine na tume huru vifanyike kwa uchaguzi hapo watu watatulia
Zamani babu zetu na bibi zetu,.mmoja akifa Leo ,mwenzake anamfata mwenzie kesho kwa sababu walipendana kama mapacha.Siku hizi wamama wengi wanawashawishi watoto kuegemea kwao kuliko kwa baba na kuwaachs na msongo had I kufa kwa pressure. Jamani acheni baraka ya watoto ni yenu wote.
Huyu mzee amepata shida sana kuitoa taarifa hii kama ilivyo.Consciousness yake ilionekana wazi inakataa report.Nakataa kabisa kwamba CV bora inatoa matokeo halisi
October tunatiki maana yake ni NGUVU; mpende msipende ndivyo itakavyo kuwa. Kwa mtazamo wangu ni mbaya kuliko nrne;maana ndivyo ilivyotokea.He, kuna MTU anaweza kuifuta ccm?
Iko siku hata wapagani watakuja kupiga magoti mbele za Mungu kumwomba awarehemu.Inakuaje msomi anatengeneza silaha za kuañgamiza wenzake na yeye mwenyewe? Kama sheria hazifanyi kazi,basi ni kweli amri za Mungu ndiyo mwarobaini was shida zinazomkabili binadamu hivi sasa.Siyo elimu,UN, OAU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.