Recent content by tungatagaga

  1. T

    Dini Ndiyo 'Software' (KIRUSI) Namba Moja InayoProgram Waafrika Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kizazi Hadi Kizazi.

    Hakuna haja ya kujibu hayo; we chukua kundi moja la wasio na dini upande wa kushoto na kundi la wakristo upande wa kulia halafu Fanya balance sheet yako.Utaona kundi moja liko juu kielimu,kiuchumi na kimaisha.Umechanganya jadi ya mataifa ya wazungu na sisi
  2. T

    Wasioamini uwepo wa Mungu wasibezwe, ila nao wasituone sisi tunaoamini kama tumechanganyikiwa

    Ukitaka kumwona Mungu kwa macho yako hutamwona na utasema hayupo.Lakini utaposikia habari zake ndani ya moyo wako utaamini bila shuruti.Soma injili ya yohana Mara nyingi utaona Mungu yupo na halazimishi watu wamwamini.
  3. T

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Mashariti yanayowekwa na vyama vya ipinzani na has a cdm,ni ya mhimu sana yakakubaliwa na ccm;kwa sababu vyama hivyo vimeumizwa sana kisiasa na hata kimwili.walienguliwa kihuni katika chaguzi mbalimbali kila MTU anajua,wamekamatwa,wamejeruhiwa nk.Hivyo pawepo na maridhiano yasiyomilikiwa na...
  4. T

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Ingawa maneno hu uumba, lakini mtu unakuwa mbunge na waziri kwa muda was miaka 30 huwezi ukakosa changamoto ya magonjwa yasiyoambukizwa kweli? Si rahisi kutowapta wabunge waliohudumu zaidi ya miaka ishirini bila kuwa na changamoto ya kiafya kama kisukari,moyo,nk;kwa sababu lifestyle...
  5. T

    Wanasayansi Wafichua Dalili za Mwisho wa Dunia!

    Shetani anatupofusha macho ya rohoni ili tuyaamini tunayoyaona kwa macho ya mwilini tu.Na kwa sababu hii,binadamu wengi hatuna imani kwamba asili yetu inatokana na Mungu baba mwenyewe.Lakini ukweli ni kwamba mwisho wa dunia umesababishwa na binadamu kumwasi Mungu.Binadamu tunapasa kuisikiliza...
  6. T

    Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    Mahakama huru ni ile inayozingatia haki pande zote mbili.Kesi inayohusu kosa moja kuchukua mwaka had I sasa ikiendelea kusikilizwa,maana yake nini?
  7. T

    Hakuna maisha mengine zaidi ya haya ya hapa dunia, ukipata wasaa wa kufurahi fanya hivyo to the maximum

    Sisi binadamu ni tofauti na wanyama sisi tunautashi wa kuamini au kutokuamini; kutoa maamuzi au kutokutoa.Kwa wanyama haiko hivyo hawakuumbwa na moyo.MTU akiamini kuna maisha baada ya kufariki aachwe na imani yake sababu anaongozwa na moyo wake
  8. T

    Tuwe wakweli: Kwa Tanzania, ni vigumu kupata mkoa uliobarikiwa kama Mbeya

    Kuna maeneo kama kule Rungwe,miti ya mbao inajiotea yenyewe ,kuna gas,na zamani ilikuwa inazalisha kahawa kwa wingi kabla ya kushambuliwa na magonjwa.Lakini. cha ajabu had I sasa wilaya INA Barbara moja tu ya lami inayokatisha kwenda malawi.Michakato inaendelea
  9. T

    Umeamua kufunga Kwa hiari yako, kwanini ukasirike sisi tukiwa tunakula?

    Dhawabu kwa Mungu hupewa wale waliofunga kwa furaha pasipokujali jirani yake anakula mlangoni pake.Endapo nafsi yake inatamani kula kwa sababu jirani anakula,Hugo hajafunga bali anashinda na njaa
  10. T

    Kama kweli wapenzi wa jinsia moja huvutiwa na jinsia zao wenyewe, Kwanini mmoja wao lazima ajifanye ana tabia za jinsia nyingine?

    Well said hawa jamaa wameingiliwa na demos au mapepo na visababishi vinaweza kuwa mmoja wa wazazi aliyeya - transmit kutoka kwa mwanamke mwenye mapepo kwenda kwa mkewe.Au anaweza kuwa aliyapata kwa njia kuwa shabiki was pono.Kwa watu wanaomwanini Mungu dawa yake ni deliverance.
  11. T

    Ndoa nzuri ni ambayo mke na mume hushinda wote kwenye utafutaji na kurudi pamoja nyumbani

    Hujazungumzia mishahara yao itawekwa kati na bajeti ya matumizi itakuwa ya pamoja. Hujazungumzia nani atapika na kulea watoto. Ndoa nzuri hazina formula kama mke atashindwa kumheshimu mumewe;na mume kumpenda mkewe
  12. T

    Hivi KKKT Kimara Korogwe mtamaliza lini ujenzi wa miradi yenu?

    Sitaki kuwalaumu viongozi wa kidini ya kikristo ila yapasa wakumbuke walitumwa kujenga roho za watu na siyo majengo ya miradi.Wawe wangalifu majengo hayatatupeleka uzimani
  13. T

    Tetesi: Waziri wa Mambo ya Ndani (Simbachawene) yasemekana aliandika barua ya kujiuzulu

    Hivi waziri hana mamlaka ya kuwajibisha askari wasiotii amri katika wizara yake? Kwa nini achague heshima kwa kuyanyamazia maovu?
  14. T

    Tumeona 2008 Waziri Mkuu akijiuzulu, je inaweza tokea Makamu wa Rais Tanzania akajiuzulu?

    Chumvi ikihariba itafaa nini tena hata ikolee?bora kutupa nje kama wenye hekima wanavyoshauri
Back
Top Bottom