Recent content by tungatagaga

  1. T

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu taifa kuanzisha kampeni ya mapema ya kuwakataa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwenye sanduku la kura 2030

    Hivi kutoa maoni mbadala namna ya kuendesha nchi tofauti na miaka 60 iliyopita ndo mtu anakuwa kibaraka au bwenyenye?Kwani uzalendo ni kukaa kimya wakati raslimali za nchi zinawanufaisha wachache tu.Ninavyojua uzalendo ni kuipenda nchi bila shuruti kwa kuwa unanufaika nayo na huduma za msingi...
  2. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni upuuzi: Mke wa mtu anasema ananipenda Sana

    Bro inakueje mke wa ntu akwambie Leo hawezi kukuacha na ataka muda zaidi kama huna mahusiano naye? Acha mchezo wa kuzingizia wakati we we ndiyo chanzo
  3. T

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake wa Dar ni kiboko

    Kama akili zako ni kuwazia familia yako jinsi itakavyoishi kesho fikira zako zitakutuma kumwomba Mungu akuwezeshe.Hutafikiria tako linalogusa mitambo yako aslani.
  4. T

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CCM Hatimaye yachukizwa na utekaji! Yaumizwa na yaliyotokea Oktoba 29, Balozi Migiro ateta na Kikeke

    Mifumo yoyote inahitaji collective responsibility endapo mambo yataparganyika.Swala la utekaji lilikataliwa kijadiliwa bungeni eti kwa kukosa ushahidi.Sasa najiuliza wamerikani ambao wako mbali nasi,wamepata wapi ushahidi had I kujadili mambo yetu haya? Kama mfumo umeparaganyika tuchutame kuliko...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Chatanda ikemewe, imeonesha dharau kwa Mwenyekiti wa CCM

    Mmeshindwa kufuta umasikini nchini sasa mnatishia kufuta vyama vinavyopigania raslimali za nchi kutotumika vibaya;nani atawasikia? Au taarifa ya cag hajawahi kusoma?
  6. T

    JamiiForums Tanzania Magari mnanunua kutoka nje na mafuta pia, huo usomi wenu uko wapi? Mnaongelea uchumi upi huo?

    Wapo watu nchi hii wanauchungu na Mali za Taifa.Kuna wakati miaka iliyopita baadhi ya wabunge na has a kutoka upinzani waliomba mikataba ya gesi na mafuta isomwe na kujadiliwa kwa muda wa kutosha; lakini wakapuuzwa na kupitishwa kwa muda mfupi.Matokeo yake Tanzania ina gas isiyonufaisha Taifa...
  7. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jiandae sana kisaikolojia kwa lolote mkeo akianza kujihusisha na shughuli za siasa

    Si mpaka tushauriane kabla hajaruhusiwa kwenda ktk siasa?Na hapo ndo ntafunga ili Mungu anifunulie hatima ya ndoa yetu.Kama mke wangu anasomeka vizuri na dhamira yake inakubalika na maombi yangu ntamruhusu.Margret thacher, aliyekuwa pm wa uingereza,alikuwa mwanamke aliyeweka mipaka kati ya ndoa...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba ana Chuki na Rais Samia na Anataka Kumchafua yeye na serikali yake na ndio maana anaongea Vitu bila kuweka Ushahidi wa Aina yoyote ile

    Mfumo wa katiba iliopo ndo unaipa shida utawala wa karne hii.Mzee warioba ni mtu wa character hagombani na rais anagombana na mfumo wa utawala hata composition ya kamati ya chande hakuchaleji isipokuwa yaliyomo katika report yake.Utaona kuwa mzee warioba ni mtu aliyenyooka uwaziri mkuu aliokuwa...
  9. T

    JamiiForums Tanzania KERO Uzembe wa kuhamisha mishahara na changamoto ya kupanda daraja

    Mnaohamishwa kwa mitandao au simu shida huanzia hapo.Utaratibu wa kiofisi unahama na personal particulars zako data sheet na barua ya uhamisho kama ushahidi.Sasa ukienda kimwili tu nani atakutambua?mishahara ya watumishi hupitia Benki,haihusiani na uhamisho kama umewakilisha document zako za...
  10. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akikuambia tuachane, muache siku hiyo hiyo hata kama alikuwa anatania

    Mwanamke mchana tu kakutayarishia biriani na kuku Leo jioni anakutishia tuachane nawe unakubali? Acha mashara na upendo
  11. T

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwa hapa tulipofika; Ya Oktoba 29 tungeyaacha, tuendelee na mambo mengine

    Report ya tume haijaunganisha Taifa.Ili muafaka upatikane,waachiwe waliotekwa wote pamoja na TAL.kisha kuwe na public hearing ya hoja zao zilizowafanya wakamatwe;kwa njia referendum wakiamua hoja zao zinamashiko,katiba nyingine na tume huru vifanyike kwa uchaguzi hapo watu watatulia
  12. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Wengi Waliokuwa Watumishi Wakistaafu Wanakufa Mapema Kwa sababu Wanakutana na Ghasia za Mke ambazo alizokwepa akiwa kazini

    Zamani babu zetu na bibi zetu,.mmoja akifa Leo ,mwenzake anamfata mwenzie kesho kwa sababu walipendana kama mapacha.Siku hizi wamama wengi wanawashawishi watoto kuegemea kwao kuliko kwa baba na kuwaachs na msongo had I kufa kwa pressure. Jamani acheni baraka ya watoto ni yenu wote.
  13. T

    JamiiForums Tanzania Namshauri Jaji Chande akimbie nchi, akiwa nje atueleze ukweli kuhusu uchunguzi wao

    Huyu mzee amepata shida sana kuitoa taarifa hii kama ilivyo.Consciousness yake ilionekana wazi inakataa report.Nakataa kabisa kwamba CV bora inatoa matokeo halisi
  14. T

    JamiiForums Tanzania BAADA YA RIPOTI YA CHANDE, UPO UWEZEKANO WA CHADEMA KUFUTWA.

    October tunatiki maana yake ni NGUVU; mpende msipende ndivyo itakavyo kuwa. Kwa mtazamo wangu ni mbaya kuliko nrne;maana ndivyo ilivyotokea.He, kuna MTU anaweza kuifuta ccm?
  15. T

    JamiiForums Tanzania Sasa mmeleewa kuwa uzee na usomi sio heshima na hekima, heshima ni utu, hekima ni uwajibikaji.

    Iko siku hata wapagani watakuja kupiga magoti mbele za Mungu kumwomba awarehemu.Inakuaje msomi anatengeneza silaha za kuañgamiza wenzake na yeye mwenyewe? Kama sheria hazifanyi kazi,basi ni kweli amri za Mungu ndiyo mwarobaini was shida zinazomkabili binadamu hivi sasa.Siyo elimu,UN, OAU...
Back
Top Bottom