Hakuna haja ya kujibu hayo; we chukua kundi moja la wasio na dini upande wa kushoto na kundi la wakristo upande wa kulia halafu Fanya balance sheet yako.Utaona kundi moja liko juu kielimu,kiuchumi na kimaisha.Umechanganya jadi ya mataifa ya wazungu na sisi
Ukitaka kumwona Mungu kwa macho yako hutamwona na utasema hayupo.Lakini utaposikia habari zake ndani ya moyo wako utaamini bila shuruti.Soma injili ya yohana Mara nyingi utaona Mungu yupo na halazimishi watu wamwamini.
Mashariti yanayowekwa na vyama vya ipinzani na has a cdm,ni ya mhimu sana yakakubaliwa na ccm;kwa sababu vyama hivyo vimeumizwa sana kisiasa na hata kimwili.walienguliwa kihuni katika chaguzi mbalimbali kila MTU anajua,wamekamatwa,wamejeruhiwa nk.Hivyo pawepo na maridhiano yasiyomilikiwa na...
Ingawa maneno hu uumba, lakini mtu unakuwa mbunge na waziri kwa muda was miaka 30 huwezi ukakosa changamoto ya magonjwa yasiyoambukizwa kweli? Si rahisi kutowapta wabunge waliohudumu zaidi ya miaka ishirini bila kuwa na changamoto ya kiafya kama kisukari,moyo,nk;kwa sababu lifestyle...
Shetani anatupofusha macho ya rohoni ili tuyaamini tunayoyaona kwa macho ya mwilini tu.Na kwa sababu hii,binadamu wengi hatuna imani kwamba asili yetu inatokana na Mungu baba mwenyewe.Lakini ukweli ni kwamba mwisho wa dunia umesababishwa na binadamu kumwasi Mungu.Binadamu tunapasa kuisikiliza...
Sisi binadamu ni tofauti na wanyama sisi tunautashi wa kuamini au kutokuamini; kutoa maamuzi au kutokutoa.Kwa wanyama haiko hivyo hawakuumbwa na moyo.MTU akiamini kuna maisha baada ya kufariki aachwe na imani yake sababu anaongozwa na moyo wake
Kuna maeneo kama kule Rungwe,miti ya mbao inajiotea yenyewe ,kuna gas,na zamani ilikuwa inazalisha kahawa kwa wingi kabla ya kushambuliwa na magonjwa.Lakini. cha ajabu had I sasa wilaya INA Barbara moja tu ya lami inayokatisha kwenda malawi.Michakato inaendelea
Dhawabu kwa Mungu hupewa wale waliofunga kwa furaha pasipokujali jirani yake anakula mlangoni pake.Endapo nafsi yake inatamani kula kwa sababu jirani anakula,Hugo hajafunga bali anashinda na njaa
Well said hawa jamaa wameingiliwa na demos au mapepo na visababishi vinaweza kuwa mmoja wa wazazi aliyeya - transmit kutoka kwa mwanamke mwenye mapepo kwenda kwa mkewe.Au anaweza kuwa aliyapata kwa njia kuwa shabiki was pono.Kwa watu wanaomwanini Mungu dawa yake ni deliverance.
Hujazungumzia mishahara yao itawekwa kati na bajeti ya matumizi itakuwa ya pamoja.
Hujazungumzia nani atapika na kulea watoto.
Ndoa nzuri hazina formula kama mke atashindwa kumheshimu mumewe;na mume kumpenda mkewe
Sitaki kuwalaumu viongozi wa kidini ya kikristo ila yapasa wakumbuke walitumwa kujenga roho za watu na siyo majengo ya miradi.Wawe wangalifu majengo hayatatupeleka uzimani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.