Recent content by Tundwilege

  1. T

    Uzinduzi FlyOver Ubungo - Machi 20, 2017: Je, Hotuba ya Rais Magufuli itamtumbua RC Makonda?

    Marehemu Kabwe alipotumbuliwa na mkamsifu sana huyo BASHITE, wewe ilikusaidia nini? tena bila uchunguzi
  2. T

    David Kafulila: Rais wetu Magufuli una nini na Makonda?

    Mwanae mpendwa...bado hajamaliza kazi aliyotumwa na babake...
  3. T

    Kutoka Bungeni: Fao la kujitoa halipo badala yake limeletwa fao la kutokua na ajira

    Serikali inataka kutujengea viwanda, tutapata ajira huko huko kwenye viwanda...tuwe watulivu tu maana tuliunga mkono....na ukondoo wetu ndo unatufikisha hapa tulipo!
  4. T

    Tusitumie tena "Division Zero" kwenye matokeo ya Elimu ya Sekondari...

    Hapa sio tunakaa na kubishana upumbavu, Mwanakijiji, tuambie, hizo assessment mnazoongelea, mikakati gani imewekwa ili kuhakikisha haichakachuliwi ili tu shule ifaulishe????? Na je mtoto akipata mtihani wake wa darasani "ZERO" nayo tuipe jina gani? Mimi nataka mtuambie basi kuwa duniani HAKUNA...
  5. T

    Nacte tutoeni kimasomaso

    Kwani list ya waliokosa iko kwenye link ipi? maana nacte ipo ya walioomba diploma na wakakosa, tcu nako hakuna!
  6. T

    Maalim Seif Sharif ataka msaada wa kimataifa ili Zanzibar iwe huru!

    Makamu wa rais wa kwanza Zanzibar amesema kuwa anataka serikali ya Tanganyika na Zanzibar ziwepo na ziunde Nchi moja ya Muungano ya Tanzania. Muungano hautakufa kama wanavyodai wengine! Ameyasema hayo kwenye kipindi cha dakika 45 kinachorushwa ITV siku ya jumatatu usiku.
  7. T

    Huwezi Amini Kwamba Hawa Nao ni Wasomi wa UDSM Wanasaka Degree

    Dah! kweli ndo umuhimu wa kuwa na forum kama hii, hivi wewe umeambiwa kuwa wana-UDSM wanalipia kitanda kwa siku? Usifikirie kuwa kila mtu mwenye simu nzuri chuo basi kapitia hayo maisha, wengine ni choka mbaya toka kwao so no way lazima asome tu, so long as analipiwa ada kulala sio ishu! Poleni...
  8. T

    Kwanini Dr. Slaa hapendi kuhudhuria mazishi ya wasanii wetu?

    Jamani, kaeni mjue kuwa Kitu chochote kinachohusiana na neno CHADEMA, lazima CCM wakiseme tu! Mbona hamuulizi akina DOVUTWA, LIPUMBA, nk ila ni SLAA tu?????? Jamani, JK kuhudhulia misiba ya wasanii sio hoja kabisa hiyo. Kwani anahudhuria yote? mbona ningine haudhurii?? Inamaana asiyohudhuria...
  9. T

    On Star TV: Zitto, Nchemba na Mtatiro ktk mjadala wa kutathmini ya Siasa Tanzania 2012

    na amechafua kweli hali ya hewa, yeye hajadili hoja iliyopo mezani ila anakirushia lawama kibao chadema na kusema kuwa chadema wanapanga mauaji!
  10. T

    On Star TV: Zitto, Nchemba na Mtatiro ktk mjadala wa kutathmini ya Siasa Tanzania 2012

    nafuatilia mjadala star tv sasa hivi, mwigulu nchemba amesema anaomkanda wa video unaoonesha jinsi CHADEMA wanavyopanga mauaji ya raia kwenye mikutano yake; Mimi namtaka aiweke wazi hiyo mikanda ili tuone na tutoe mawazo mgongano kwa wananchi kuwa nani hasa anaua kati ya POLISI NA CHADEMA...
  11. T

    Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

    Nimewasikia sana hawa jamaa bana! Yaani wameijadili hiyo habari toka Tanzania Daima yenye kichwa hiki;RUFAA YA LEMA: Hukumu ya kihistoria leo
  12. T

    Wanawake hupendelea zawadi gani?

    wengine wapeleke club tu, hapo watakupenda ile mbaya!
  13. T

    Wanawake hupendelea zawadi gani?

    Wanapenda zawadi ya kubembelezwa na kudekezwa tu, mengineyo ni manjonjo tu!..........hahahahaaaaaaaaaaaaa
Back
Top Bottom