Recent content by Tuna

  1. Tuna

    Dawa za kuongeza nguvu za kiume zakua dili Urusi, wanaume wana msongo balaa

    Kenya kwenyewe khali ndiyo hiyo hiyo,Magenereta hayachaji Umeme.
  2. Tuna

    Russia kupeleka mbolea bure nchini Kenya

    To Hell those three People
  3. Tuna

    Marekani: Apigwa risasi baada ya kugonga mlango usio sahihi

    Hilo Zee lenyewe kama Zombi,Kubisha hodi kachezea za Kichwa,Sasa likukute labda unajisaidia kwenye ukuta wake si linakurushia Bomu.
  4. Tuna

    Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

    Si Mnapendaga Umarekani ndiyo huo sasa,Huyo ni Mtoto au Chupa ya Chai?Si bora niwe na Kikombe ntakunywea Maji kuliko kuwa Toto kama hilo,Damn
  5. Tuna

    Kutana na mwanamke aliyejifanya mwanaume kwa miaka kumi ili afanya kazi mgodi wa Tanzanite

    Heshima kwake Digala Pili Hussein au Uncle Hussein
  6. Tuna

    Rapa Drake ashinda bilioni 4 kwa kubet Adesanya ashinde UFC

    Amtie Ganji Mwana asichukulie poa
  7. Tuna

    Bodaboda kumi wafariki dunia ajali ya lori Migori, Kenya

    Wapumzike kwa Amani Marehemu wote
  8. Tuna

    Dalai Lama avuna aibu ya karne

    Mzee huyo ni Shoga tu kama Mashoga wengine
  9. Tuna

    Urusi yamhukumu baba kisa binti yake alichora katuni za kukashifu vita dhidi ya Ukraine

    Hajamfundisha Adabu Mwanawe,Mtoto akikosea wa kulaumiwa ni Mzazi.
  10. Tuna

    Urusi yamhukumu baba kisa binti yake alichora katuni za kukashifu vita dhidi ya Ukraine

    Nyundo Mbili zinamtosha kabisa,Huyo Dogo ni Mtovu wa Ababu.
  11. Tuna

    Marekani inavuna ilichopanda kufuatia kuibuka kwa wimbi la kuacha kutumia sarafu ya dola

    Mkuu mwana Uchumi tupe mistari ya kiuchumi basi
  12. Tuna

    Ninauza mbuzi

    Weka picha ya hao Mbuzi watu waone afya zao wasijejua ni Mbuzi ya kukunia nazi
  13. Tuna

    Polisi amefariki kwa kupigwa manati

    Kwa Manati hiyo siyo Polisi tu hata Mwanajeshi lazima aende Kuzimu
Back
Top Bottom