Recent content by Tuna

  1. Tuna

    JamiiForums Tanzania Dawa ya kuondoa ndevu (Hair removal)

    Wewe ni maasai?
  2. Tuna

    JamiiForums Tanzania Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Something is not right at all
  3. Tuna

    JamiiForums Tanzania Anaripoti Askofu Bagonza:“Gari la Mchungaji Wa KKKT Dayosisi ya Karagwe Lachomwa Moto

    Kwani gari la mchungaji halina ulinzi wa kiroho?
  4. Tuna

    JamiiForums Tanzania Israel launches new spy satellite with unique capabilities in the world

    Acha uongo wapi wamesema chini ya ardhi?Kingereza chenyewe cha ugoko alafu maneno mengi kama kasuku.Picha inayoweza chukua ndogo ni cm 50,rula mbili za shule ni cm 60.
  5. Tuna

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nairobi yaongoza kwa kaswende na kisonono

    Nyang'au wanapenda sana ngono zembe,sema jamaa wako juu kwa kila kitu.Hongereni sana wana Nairobi.
  6. Tuna

    JamiiForums Tanzania Kwa karipio hili la Misri ni dhahiri hali si shwari tena kwa Israel

    Kwa hiyo Misri injiuzia gesi yenyewe siyo?Fanyeni mpate hata kifungua kinywa kabla hamjaianza siku.
  7. Tuna

    JamiiForums Tanzania Video: Ngumi kwenye karamu, kila mtu na wake, ndio maana wanaume tunakufa haraka

    Mziki wa kobazi mnauona?Siku mkiingia 18 zao mavi lazima yawatoke,maana mtachezea Nakoz msione chaka la kujificha.
  8. Tuna

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Mataifa kuhamishia kikao cha General Assembly kwenda Geneva

    Marekani yaani wanaiona nchi yao kama mbinguni kenge wale,kumbe nchi yenyewe inanuka kimba tu.
  9. Tuna

    JamiiForums Tanzania 𝗪𝗮𝘁𝗮𝗳𝗶𝘁𝗶 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗝𝗮𝗽𝗮𝗻 𝘄𝗮𝗺𝗲𝗳𝗮𝗻𝗶𝗸𝗶𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗯𝗮𝗱𝗶𝗹𝗶 𝗸𝗶𝗻𝘆𝗲𝘀𝗶 𝗰𝗵𝗮 𝘁𝗲𝗺𝗯𝗼 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗸𝗮𝗿𝗮𝘁𝗮𝘀𝗶

    Mavi ya Tembo ni tiba nzuri ya degedege kwa watoto,vile vile mavi ya tembo ni dawa nzuri ya kujifukiza.Tuendelee kuyatumia mavi ya tembo kama tiba kuliko kukopi kila kitu na kutothamini baraka tulizopewa na mola.
  10. Tuna

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Mkuu amfungia mwanafunzi darasani kwa Mnyororo

    Huyo atakuwa siyo mwalimu mkuu bali ni afisa magereza
  11. Tuna

    JamiiForums Tanzania Jeshi La Israel, IDF,Sasa Hivi Latumia "Suicide Drones" Kuua Magaidi Wengi Wa Hamas Huko Gaza

    Hilo la kufika jehanam mi sijuwi labda umuulize bim mkubwa wako
Back
Top Bottom