unaongea kitu ambacho huna uhakika mkuu ,unajua physics kwenue medicine wana apply sehemu gani? Hebu toa reason why haina umuhim physics kwenye medicine
Mi mwenyew kioi
Mi mwenyew kipindi nipo chuo nacte walihitaji vyet kwa ajiki ya uhakiki vilipelekwa nacte vilirudishwa baada ya mwezi mmoja ,ila hio ya kurudishiwa vyet mwakan mi naona hapo ni uwongo kabsa aseee!ni kitu ambacho hakiwezekani .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.