Kwa sabau ya ukweli wake? Huwezi kukimbia ukweli, kuna post za kitoto hapa kuliko mtandao wowote, mpaka kichefuchefu, ila uzi huu ni wa kiutu uzima, wa wale wenye intelligence na wako intellectual.
Tanzania is sovereign country, we are not a colony no more, we have our sovereignty. Otherwise remove all sanctions against Russia for your speculations of interference in your democracy. More you interfere more we like Magufuli, get that.
Since when you even care about Africa never mind...
Utakuwa upumbavu wa hali ya juu kufanya vurugu za kisiasa, kupigana na kupoteza maisha kwa ajili ya mtu mmoja au wachache wapate wadhifa wa kula na kuishi vizuri zaidi.
Upumbavu huu umefanyika nchi nyingi, lakini mfano mzuri ni Libya ambako wanajuta kumpindua Gaddafi. Yani wao wakae makwao...
Ukitaka kutawala watu wafanye wategemezi kwako. Kutegemea mtu ni kuuza uhuru wako, inakupasa kufanya yote anayokutaka ufanye ili ulipe deni lako au kupata msaada wao.
Inasikitisha sana mpaka leo kuna waafrika wanao wategemea na kuwatukuza wazungu wenye nia moja tu, ya kututawala na kutunyonya...
Hii inathibitisha CHADEMA inataka madaraka ili ile nchi, inathibitisha nia yao ya madaraka ni pesa kwao sio kwa wananchi, hawajali hata kujenga ofisi kuu ya chama, watajali vipi kujenga nchi yetu. Tazama video hii ya mwana CHADEMA anavyochambua chama chake, sio mwana CCM ila CHADEMA.
Mbona sasa anatoa mipango yake bila wataalamu? Maamuzi kama ya kuongeza mshahara ni ya rais na ameonyesha na kuthibitisha hana elimu ya kuongoza nchi wala busara.
Angalia video hii ujifunze kuhusu matatizo ya Tanzania na mtatuzi wake, jinsi wapinzani wanavyotupotosha. Angalia kabla ya kukurupuka kujibu pumba.
------
Katambi amedai Lissu sio mtu sahihi sana kwani anamfahamu vyema. Katambi anasema Lissu ni mpotoshaji kwamba matatizo ya Tanzania...
Kwa fikra zako unafikiri Lissu atawaajiri wote? Hakuna Rais wa kutatua ajira ila wananchi wenyewe kwa kuanzisha biashara na viwanda kama Mo Dewji. Watanzania lazima waelewe Ulaya watu wamesoma kuanzisha biashara na viwanda kuajiri wengine ndiyo maana wana nafasi zaidi za kazi, hata hivyo ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.