Wewe kaka inaonyesha Mwakasege ni tishio sana kwako..au wewe ndio Mwamposa??? Kwanini unamfatilia mtu usiyemkubali? Naona unakazana sana kumpaka matope Mwl Mwakasege ili na wengine wamchukie...nafikiri Mwakasege anawanyima usingizi nyie kina mwamposa. Mmemshindwa rohoni sasa mnakuja...
Mkuu hongera Sana. Umenitia moyo na Mimi.
Mimi ni graduate, ninajishughulisha na biashara za uchuuzi.
Kutokana na biashara kuwa ngumu na unakuta kuna siku unakaa masaa hata mawili bila kuona mteja......nikafikiri nifanye nini kwenye huu muda unaopotea bure?
Ndipo nilipojitosa kununua cherehani...
Kama wewe ni mkristo, funga siku 3 Kwa maombi ya toba. Mungu ni mwenye rehema.
Yasiyowezekana Kwa mwanadamu kwake yanawezekana. Muombe akutoe kwenye huo mtego kisha katoe sadaka Kwa yatima au wajane then nyamaza kimya uone atakachotenda
Na Mimi nashukuru Mungu msichana wangu wa kazi wa Kwanza nilihakikisha anatunza mshahara mpaka kununua cherehani yake halafu Mimi nikamlipia Ada ya mafunzo.....ingawa aliondoka Kwa jeuri lakini baadae alirudi kuomba msamaha. Sasa yupo kijijini amekuwa single mama na kazi ya ushonaji inamsaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.