Wadau, tunasema JamiiForums ni mahala pa Great Thinkers.
Aliyeanzisha thread ChoiceVariable ameuzungumzia mkoa wa Mbeya kwa hoja na kuweka picha lukuki zinazoonesha baadhi ya vivutio vinavyopatikana huko.
Na amefanya hivyo pasi na kudhihaki mkoa mwingine wowote.
Ingependeza zaidi kama...
Nafikiri muunganiko wa hali nzuri ya hewa na gharama ndogo za maisha vinafanya mwanamke yeyote yule anayeishi Mbeya, awe mwenyeji au mgeni kutokuwa "mchoyo".
Hata wanyama huzaliana sana mahala penye amani na chakula kingi.
Kwako ndugu Pascal Mayalla
Duh!! Hii ndio raha ya fake id. Umerusha kombora la masafa marefu a.ka ICBM.
Yote kwa yote pole kwa yaliyokukuta, mtafute huyo jamaa mkae myazungumze.
Nimalizie kwa kusema, UNA HOJA, USIKILIZWE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.