Recent content by Tumbusi

  1. Tumbusi

    JamiiForums Usiku wa manane

    Kunywa maji mengi...
  2. Tumbusi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pole sana mkuu.. Usikate tamaa, endelea kupambana.. Atafutaye hachoki.
  3. Tumbusi

    Hakuna tofauti kati ya mtalaka aliyezaa na mshale wa speed: Hata utembee nae speed gani kuna mahali tu mshale utarudi zero

    Ukioa mwanamke mzuri unakuwa mwanaume mwenye furaha. Ukioa mwanamke msumbufu unakuwa MWANAFALSAFA.
  4. Tumbusi

    Sijawahi kupendwa

    POINT.
  5. Tumbusi

    Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

    Japo hayanihusu, ila naomba kuuliza. Huyu shemeji yetu ameajiriwa na jeshi letu hili la JWTZ?
  6. Tumbusi

    Je unaweza kukubali jambo ili ?

    Tumia kanuni ya MAAAN, yaani Mpende Akupendae, Asiyekupenda Achana Nae. Hapo utaaona mapenzi ni matamu kama mirinda nyeusi😋
  7. Tumbusi

    Je unaweza kukubali jambo ili ?

    Mwanamke single ni concept tu!!
  8. Tumbusi

    Je unaweza kukubali jambo ili ?

    Hapo unachukua chombo bila pressure. Mambo ya kuwa sahihi ama la waachie walimwengu..
  9. Tumbusi

    Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

    Wadau, tunasema JamiiForums ni mahala pa Great Thinkers. Aliyeanzisha thread ChoiceVariable ameuzungumzia mkoa wa Mbeya kwa hoja na kuweka picha lukuki zinazoonesha baadhi ya vivutio vinavyopatikana huko. Na amefanya hivyo pasi na kudhihaki mkoa mwingine wowote. Ingependeza zaidi kama...
  10. Tumbusi

    Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

    Nafikiri muunganiko wa hali nzuri ya hewa na gharama ndogo za maisha vinafanya mwanamke yeyote yule anayeishi Mbeya, awe mwenyeji au mgeni kutokuwa "mchoyo". Hata wanyama huzaliana sana mahala penye amani na chakula kingi. Kwako ndugu Pascal Mayalla
  11. Tumbusi

    Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

    Duh!! Hii ndio raha ya fake id. Umerusha kombora la masafa marefu a.ka ICBM. Yote kwa yote pole kwa yaliyokukuta, mtafute huyo jamaa mkae myazungumze. Nimalizie kwa kusema, UNA HOJA, USIKILIZWE.
  12. Tumbusi

    Nataka kumuoa huyu mlimbwende wa JF

    Na shida ya humu kuna WANAUME wanamiliki akaunti za KIKE. Muwe makini kweli kweli, ooh!!!
  13. Tumbusi

    Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

    Beauty is in the eye of the beholder.
Back
Top Bottom