Recent content by Tumbo Tambarare

  1. T

    Lazaro Nyalandu akamatwa na kushikiliwa na TAKUKURU mkoani Singida

    Nenda ukakae huko huko kwa maforeigner wako. Hii ni nchi huru dogo
  2. T

    Je, Wanaume wengi hufa mapema kutokana na msongo wa mawazo (frustrations) unaosababishwa na wake zao?

    Msongo siyo sababu ya Msingi.Hebu fanya utafiti mdogo wa umri Kati ya wake na waume. Wengi wetu tunaoa wanawake tunaowazidi umri kwa zaidi ya miaka 10. Sasa kibaiolojia hapo nani anakufa mapema?
  3. T

    Style ya mapenzi ambayo binadamu ameiga kwa wanyama

    Sasa unaposema wanyama..ww siyo Mnyama?
  4. T

    Mkurugenzi TPA: Mkataba wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ungeifilisi Tanzania

    Kama umesifia hatua yake ya kuiepusha nchi na umuflisi kwa mradi nyonyaji, basi huwezi kunizuia kuamini huenda ww ulikuwa unaingiza madawa ya kulevya ama ulikuwa unafaidika na wafanyakazi hewa
  5. T

    Tofauti ya Mahiga na Kabudi kwenye Wizara ya Sheria na Katiba

    Acha wivu wa kike dogo tafuta fweza ondoka mitandaoni kwa muda. Utakuwa juha
  6. T

    Miradi mikubwa ya mabilioni bila bajeti inaweza kutufikisha mahali ikatushinda kumalizia

    Hata wakati Daraja la mto Rufiji linaanza kujengwa mlisema hivyo..ooo..wakandarasi wamegoma. Oooo mara hakuna kinachofanyika...kumbe ground work inaendekea m.m
  7. T

    Magufuli Kwenye Kikao cha kumshauri agombee urais: Nikichaguliwa, watu watalimia meno

    Hata tukilimia meno,.lakini nchi inakwenda. Ukitaka kujua nenda mikoani siyo ktk mitandao au mikoa ya kaskazini. Nenda Tabora mpaka Sumbawanga na Katavi utaona uzuri wa kulimia meno
  8. T

    Barcelona Wenzangu Hebu Tutete Kidogo

    Mbona timu yake ya Taifa ya Argentina inapigwa katika mechi za kombe la Dunia? Au huyo huwa Mesi wa kuchongwa? Barca ni nzuri sababu ya combination ya wachezaji wengi wazuri bhana.
  9. T

    Pamoja na mateso makubwa yanayoendelea leo kaenda tena kanisani

    Kwa hiyo ninyi mlitaka muendelee kupiga hela kwa kuuza madawa ya kulevya siyo? Yaani kwa maneno ya laana mnayonuizia tangia mzee Baba aanze kazi angeshapigwa na radi. Lakini wapi..kwa kuwa anawatumikia viumbe dhaifu wa Mungu ataendelea kuishi mpaka Mungu Mwenyewe atakapoamua...mnamtakia mzee...
  10. T

    Ukitaka kujua uchumi wetu umeshuka kweli ni rahisi tu

    Sasa mbona hujataja vigezo vinavyoonyesha uchumi umeshuka? Hivi mishahara ilipoongezwa wakati wa JK kulikuwa na mabadiliko gani kama si bidhaa kupanda na kusababisha maisha kuwa magumu zaidi? Acheni na watanzania wasiolipwa mishahara nao wafaidike kwa kuboreshewa miundombinu ya kuboresha maisha...
  11. T

    Miradi mikubwa inayofanywa na Magufuli haitakamilika, na ikikamilika itakufa ndani ya muda mchache kwa kushindwa kusimamiwa au kuendeshwa.

    Wewe ndugu una roho mbaya na ya kimaskini kupindukia..Badala ya kutoa mawazo ya kusustain hiyo miradi ikikamilika wewe unaomba Mungu isikiamilike na ikikamilika iwe white elephant. Kama ni raia wa kigeni ni vema urudi kwenu na kama ni kizazi cha wageni labda hawapo Duniani uliza nchi ya wazee...
  12. T

    Serikali futeni elimu ya kidato cha tano na sita, haina faida

    Wewe utajuaje mambo ya HGL AU HJK wakati hukusoma hayo masomo. Acha dharau wewe...pambana na hali yako..A level ni A level na.O level ni O level..bila kujali Combination..
  13. T

    Uhuru na Raila kuongozana China kwa maslahi ya nchi, hivi Tz Mbowe na Magufuli wanaweza?

    Hawa ni wasanii..Hii ni episode ya kutumikia mbali Ruto ktk kugombea Urais 2022. Kenyatta is very cunning..alimtumia Ruto kupata kura za wakalenjin sasa amesalitiwa na Kenyatta na urais atausikia redioni. Kenya Presidency is for Kikuyus only..
  14. T

    Hivi kwanini Rais Magufuli anashindwa kwa kila kitu anachogusa ?

    Ungeweka hii title kinyume..kwa nini anafanikiwa kwa kila jambo?
  15. T

    Kwetu sisi Bara, nini hasara ya kutokuwa na Zanzibar?

    Hao hapa ni wageni..hawana impact yoyote. Tunaongelea wazbr ambao ni watz..yaani hawa haitakuwa rahisi kuwatenga na watz bali tutakuwa nao lkn wakiwa maadui wetu wakubwa...hivyo hakuna jinsi..tuvumiliane.Tungekuwa tunaweza tungeibeba Bara yetu tukakae mahali tuwe mbali mno na Visiwa hivi lakini...
Back
Top Bottom