Recent content by Tumbiliwaulaya

  1. T

    JamiiForums Tanzania Waziri Simbachawene: Watanzania wanataka amani, maendeleo, siyo Katiba Mpya

    AMINI AMINI nakuambia hawa ndio watakao ililia katiba mpya kuliko mtu yeyote yule.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA anatuhumiwa kwa ugaidi, usajili wa CHADEMA usitishwe mpaka pale Mahakama itakapotoa uamuzi

    Sikuelewi baba BOGA, anesimamishwa hapo ni nani MTUMISHI au UMMA unasimamishwa. mfano wewe ukiwa mwenyekiti wa tawi wa ccm ukijampa hadharani ccm ndio inakuwa imejampa au wewe baba boga umejampa, dah wtz bado tuna kazi ngumu kufika pale.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Serikali ya awamu ya tano ilikusanya kodi Trilioni 1.3 kwa mwezi, leo awamu ya sita yakopa fedha hizohizo kutoka IMF kwa matumizi yaleyale

    UNA UNAUHAKIKA? Nakuuliza swali,aliweza vipi kulipia mishahara bila kuyumba,kulipia miradi mikubwa aliyoianzisha,elimu bure,kujenga hospitali zote mpya unazoziona leo,madawa,kuongeza mikopo ya elimu ya juu, kununua ndege keshi,na bado janga la uviko likapiga bila kutuathili sana lakini bado...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dkt. Bashiru na Makonda wamekuwa waungwana kwa kukaa kimya, lakini Harakaharaka yuko mbio sana

    HAKUNA JAMBO LINALOUA NCHI YETU KAMA UNAFIKI WA KUFUNGIA FIKRA ZETU ILI UONEKANE UNA ADABU MBELE ZA WATAWALA, WANAO FANYA HIVYO WANACHUCHUMILIA VINONO VILIVYO MEZANI PA WATAWALA WANAFIKI DHIDI YA DHAMIRI ZAO NA NCHI YAO.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya haki ya Afrika: Wagombea huru ruksa nchini Tanzania

    Uhitaji wa wananchi? wananchi wapi hao? wa CCM au wa Tanzania? Brother anaeogopa wagombea huru ni CCM sio wananchi wa Tanzania. Kati ya maamuzi tata ya mahakama ya rufani ya Tanzania na yatabaki kwenye historia ni pale ilipokwepa wajibu wake wa kuhukumu kesi na kuirudisha iamuliwe na wanasiasa...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Viongozi wanaofaa na wasiofaa kuwa Marais mbeleni

    Hiyo pombe aliyo kuwa amekunywa Mr Polepole ikiletwa sokono watu wataigombea hadi kutoana roho.
  7. T

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Salamu za rambirambi kwa IGP

    Amina
  8. T

    JamiiForums Tanzania Viongozi na wanachama 19 wa Chadema waliofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza leo wameachiwa huru kwa dhamana

    Mbona askofu alisema walikuja kanisani,wakasali kwa utulivu sawa na waumini wengi kisha wakakamatwa kwa kosa la kuvaa sae za CHADEMA!!! ni hilo tu, ila sina uhakika wa polisi kupata shahidi alie mwaminifu,simtarajii askofu kwenda kuangamiza kondoo wake!!
  9. T

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha kumpa Mbowe privilege kuwa hastahili kushtakiwa kwa ugaidi si sawa kisheria na ni kinyume na dhana ya "Equality before the law"

    Umesahau walipatanishwa na mwendake pale Chongoleani, tena mbele yaRais Museven wa Uganda! Haha 😂 brother sio kila mtu huwa anasahau!
  10. T

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha kumpa Mbowe privilege kuwa hastahili kushtakiwa kwa ugaidi si sawa kisheria na ni kinyume na dhana ya "Equality before the law"

    makosa ya makonda huyajui? vipi ule ujambazi wa Clouds Media huo tuunatosha je mengine ambayo watu wamekaa kimya,na huwa nacheka sana nikikumbuka kupimana mkojo kuliishia wapi! hahahaha bongo bwana dah
  11. T

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha kumpa Mbowe privilege kuwa hastahili kushtakiwa kwa ugaidi si sawa kisheria na ni kinyume na dhana ya "Equality before the law"

    "nor group of individuals be privileged over others" Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Spika wa Bunge la JMT, Jaji Mkuu wa JMT, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais, mnaweza kuwataja niliowaacha ''is it a group or not?'' na maanisha hiki ni kikundi au la? ok umesema '' hakuna kikundi cha watu...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Hivi kesi ya Mbowe ni ya kitaifa au kimataifa?

    Sawa kwani wasiwasi wako ni nin? si mmesema ushahidi upo tele wala hamja bambika mtu safari hii! kwanza kwa kuwa serikali inatuhumiwa na umma kubambika ingefaa for the public interest the case should be televised.
  13. T

    JamiiForums Tanzania Hivi kesi ya Mbowe ni ya kitaifa au kimataifa?

    weh, hamna bwana ulisimamishwa kupisha uchunguzi na baadae kesi bado ni mwajiriwa wa umma hadi hukumu amabyo ni sawa endapo hatapatikana na hatia anapaswa kulipwa mishahara yake yote hadi siku ya hukumu,serikari itabidi imstaafishe au kumpa majukumu mengine. kimsingi bado ni mtumishi wa umma ila...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Steve Nyerere ndiye Musiba mpya?

    Baba umesahau nikiliandika kiukweli ukweli mabeyo na vijana wake nitawaweka wapi maana hapa sabaya alikuwa amemsogelea cm chache sana kwa kuongeza ka umbali haina shida.
  15. T

    JamiiForums Tanzania Steve Nyerere ndiye Musiba mpya?

    Hahahaaaa,mwenzio alichukua hiki cheo, LIEUTENANT GENERALLY LEIGWENANI LENGAI OLE SABAYA. yeye ametwaa kipi tusije tukakose kumtaja ikawa shida hahahahahhah
Back
Top Bottom