Recent content by TumainiEl

  1. T

    Israel wanataka tu Roho ya Ayatollah Khamenei

    Ilikuwa 14 July 2025 leo 28.02.2026 wamemalizana naye. Utabiri umetimia
  2. T

    Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

    Oct 2024 and as of 28.02.2026 Israel eliminate Ayatolah
  3. T

    Mungu tunaomba usiruhusu Mauti kwa Dr Nchimbi

    Sio mm ila Alie nituma. NIKO AMBAYE NIKO
  4. T

    Mungu tunaomba usiruhusu Mauti kwa Dr Nchimbi

    Mungu kuna kelele nyingi za kuogofya ila wewe utabaki kuwa Mungu. Iwe ni kwa sumu iwe ni kwa risasi tunaomba Taifa letu lisiingie kwenye majonzi sababu ya Dr Mchimbi tunaomba umtunze na umfunike kama ulivyo mfunika Daniel mbele ya watesi wake. Kifo anazushiwa au kuandaliwa kisimkute wala...
  5. T

    Kijana huna mamlaka ya kumkosoa na kumjibu Mzee Warioba

    Naomba nisiandike sana ila huu mchezo wa vijana ndani ya chama na serikali kuwajibu wazee walio tupatia hili taifa naomba niwakumbushe hamtodumu na wala hamtofika miaka waliofika na kama na tania muda utawajibu mtapata nafasi mtakula maisha ila mtafutika na mahala penu hapatakuwepo kama mnabisha...
  6. T

    Inawezekanaje kuku akasababisha kifo kwa binadamu? Mtoto afariki baada ya kudonolewa na kuku, akitoka kwenye mahafali ya darasa la saba

    Kuku anauwa nyoka uwenda aliuwa nyoka akaja kumgonga kijana lazima afe kwa sababu anasumu kwa .domo wake
  7. T

    GE2025 Watanzania tusiandamane nenda ka tick 29 Oct au kaa nyumbani kwa usalama wako

    Ndugu wa Tanzania nchi yetu imetoka safari ndefu sana nchi yetu ina siri nzito na mikakati mizito kule tuna elekea. Tuna Mungu wa wa Tanzania Mungu wa Tanganyika. Naomba niwashauri kwa upendo na kwa unyenyekevu nenda kapige kura kwa amani 29.10.2025 au usiende kupiga kura baki nyumbani au nenda...
  8. T

    GE2025 Msimuue Polepole kwa namna yoyote maana damu yake italitesa Taifa na mtaongeza uasi (ushauri)

    Hakuna mnajimu wa mchawi ataruhusu dam ya huyo kijana imwagwe atakaye toa ilo wazo na likatekelezwa mtakuja kusimulia. Hakuna ataamini tusitafute kuona kile kitatokea tuache hili lipite tumesha shauri manabii
  9. T

    Birthday ya Kikwete na maoni ya wananchi

    Naliombea Taifa
  10. T

    GE2025 Msimuue Polepole kwa namna yoyote maana damu yake italitesa Taifa na mtaongeza uasi (ushauri)

    Naziomba mamlaka na watu wamemshikilia Pole pole wasimdhuru yes wanaweza kumdhuru na hakuna wakusema neno ila damu yake italitesa Taifa itawatesa walio panga, walio shauri , walio toa tamko walio pokea mpaka watakao tekeleza hayo ndio maono Mungu ananionyesha. Mbaya zaid haitozima uwasi ila...
  11. T

    Mzee Kikwete kwenye hili umekosea kiapo chako na historia itahukumu

    Mzee wangu Jakaya Kikwete naomba nikwambie wewe pamoja na wengine mmelikosea taifa na kwa lolote litakuja tokea historia itahukumu. Wewe ni Rais pekee ulie baki ktk marais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Wewe ndie rais pekee unaye pokea taarifa za siri kama mstaafu. Unajuwa shida ya...
  12. T

    Nini kimetokea mpaka marais watatu wenye asili ya Ukristo wakafa ?

    Nini kimetokea mpaka taifa likapoteza marais watatu wenye asili ya ukristo je tunahitaji fungua kesi ya wazi kujibu hili swali gumu?
  13. T

    Netanyahu atukana wenzake mtindo mmoja kisa ni Hamas

    Israel revange is fear ukiona mpaka Ge4man anamsal8mia Israel jiulize kile kimewapata. Alie panga, alie fund, alie tekeleza, alie toa wazo, alie wahifadhi alie juwa hakusema wote hawa watalamba mchanga. Israel kaa mbali nayo
Back
Top Bottom