Recent content by TumainiEl

  1. T

    JamiiForums Tanzania Madili na rushwa zamchosha Dangote Tanzania!

    Kilicho mkuta mtwr anaota mpaka sasa
  2. T

    JamiiForums Tanzania Madili na rushwa zamchosha Dangote Tanzania!

    No comment 😭
  3. T

    JamiiForums Tanzania Kitakachokwenda kutokea mwaka 2026 Huu ni Ufunuo kwa Ulimwengu

    Mungu anaonyesha uwenda Taifa likapata mtikisiko mkubwa hivyo kama mtanzania ombea Taifa lako ombea idara zake na miimili yake. Dalili zinaonyesha upepo mkali kutoka mashariki na magharibi ,kasikazin na kusini utalipiga Taifa maombi ndio silaha pekee kupooza upepo huu mkali utakao ng'oa nguzo...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Israel wanataka tu Roho ya Ayatollah Khamenei

    Ilikuwa 14 July 2025 leo 28.02.2026 wamemalizana naye. Utabiri umetimia
  5. T

    JamiiForums Tanzania Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

    Oct 2024 and as of 28.02.2026 Israel eliminate Ayatolah
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mungu tunaomba usiruhusu Madhara yoyote kwa Dr Nchimbi

    Sio mm ila Alie nituma. NIKO AMBAYE NIKO
  7. T

    JamiiForums Tanzania Mungu tunaomba usiruhusu Madhara yoyote kwa Dr Nchimbi

    Mungu kuna kelele nyingi za kuogofya ila wewe utabaki kuwa Mungu. Iwe ni kwa sumu iwe ni kwa risasi tunaomba Taifa letu lisiingie kwenye majonzi sababu ya Dr Mchimbi tunaomba umtunze na umfunike kama ulivyo mfunika Daniel mbele ya watesi wake. Kifo anazushiwa au kuandaliwa kisimkute wala...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Kijana huna mamlaka ya kumkosoa na kumjibu Mzee Warioba

    Naomba nisiandike sana ila huu mchezo wa vijana ndani ya chama na serikali kuwajibu wazee walio tupatia hili taifa naomba niwakumbushe hamtodumu na wala hamtofika miaka waliofika na kama na tania muda utawajibu mtapata nafasi mtakula maisha ila mtafutika na mahala penu hapatakuwepo kama mnabisha...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Inawezekanaje kuku akasababisha kifo kwa binadamu? Mtoto afariki baada ya kudonolewa na kuku, akitoka kwenye mahafali ya darasa la saba

    Kuku anauwa nyoka uwenda aliuwa nyoka akaja kumgonga kijana lazima afe kwa sababu anasumu kwa .domo wake
  10. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watanzania tusiandamane nenda ka tick 29 Oct au kaa nyumbani kwa usalama wako

    Ndugu wa Tanzania nchi yetu imetoka safari ndefu sana nchi yetu ina siri nzito na mikakati mizito kule tuna elekea. Tuna Mungu wa wa Tanzania Mungu wa Tanganyika. Naomba niwashauri kwa upendo na kwa unyenyekevu nenda kapige kura kwa amani 29.10.2025 au usiende kupiga kura baki nyumbani au nenda...
  11. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Msimuue Polepole kwa namna yoyote maana damu yake italitesa Taifa na mtaongeza uasi (ushauri)

    Hakuna mnajimu wa mchawi ataruhusu dam ya huyo kijana imwagwe atakaye toa ilo wazo na likatekelezwa mtakuja kusimulia. Hakuna ataamini tusitafute kuona kile kitatokea tuache hili lipite tumesha shauri manabii
  12. T

    JamiiForums Tanzania Birthday ya Kikwete na maoni ya wananchi

    Naliombea Taifa
  13. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Msimuue Polepole kwa namna yoyote maana damu yake italitesa Taifa na mtaongeza uasi (ushauri)

    Naziomba mamlaka na watu wamemshikilia Pole pole wasimdhuru yes wanaweza kumdhuru na hakuna wakusema neno ila damu yake italitesa Taifa itawatesa walio panga, walio shauri , walio toa tamko walio pokea mpaka watakao tekeleza hayo ndio maono Mungu ananionyesha. Mbaya zaid haitozima uwasi ila...
Back
Top Bottom