Recent content by TumainiEl

  1. T

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Nisiri ila kanamaliza Taifa silence 🤐
  2. T

    Mtalii kutoka Marekani aichana makavu Tanzania kwenye Luninga

    Hayo ndio majibu ya Mam Uturuki Uturuki ndio majibu
  3. T

    Bila kuvunja ukimya, UKIMWI utalimaza Taifa

    Ilikuwa 2020 huyu mdudu anapukutisha majabali🫣 kijana kuwa makini nadhani mnanielewa
  4. T

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    Udhalikishaji mwingine ambao Iran hawezi kutuambia nivile jamaa walizima mifumo yao ya kiulinzi kiasi Waka anza tumia manual way kumdungua adui. Israel ni ma genius
  5. T

    Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Ipo haja Baraza la Usalama wa Taifa kutafakari

    Taifa letu linaelekea kwenye uchaguzi hapo mwakani. Ni rai yangu kwa bataza la usalama wa Taifa kutafakari kwa kina kuanzia mchakato mzima wa uchaguzi utakavyokuwa mpaka kupata matokeo. Vipo viashiria ipo haja kwa maamuzi magumu kufanyika pasipo kuangalia sura au jinsia ya mtu au umaarufu wake...
  6. T

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    Upo sahihi mtu anakuchapa kwenye ubalozi wako nakuuwa General wako Muhim that is meaning anajuwa vile atamalizana na wewe Iran hii vita anaenda poteza na kufa kabisa kiuchumi nahuwo ndio mpango let us keep cool
  7. T

    Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

    Yapo mambo ni magumu kuyaelewa kwa sasa
  8. T

    Je, wajuwa Iran pamoja na vitisho vyote hawezi kuigusa Israel na kama akiwagusa huwo ndiyo mwisho wao

    Iko hivi ktk maswala ya kivita sio ukubwa wa nchi au wingi wa watu ulio nao ila niuwezo wa kivita pamoja na ujasusi. Ktk kile kilicho onekana sio kitu cha kawaida Israel walishambulia sehem ya ubalozi wa Iran ktk Nchi ya Syrian. Naomba niwakumbushe ni sehem ya ubalozi sio ubalozi wote na jinsi...
  9. T

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

    Wataalam wa ma swala ya kivita wanasema hayo madude ni cha mtoto yatazimwa juu kwa juu Israel wako vizuri kwenye uwanja wa vita ndio maana wamefanya tukio wamalize kaz yaani Iran na Urusi watafurahishwa just keep cool men... Niliandika Israel ataishangaza Dunia Soo kuwa mpole
  10. T

    Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

    Naungana na wewe ktk vita itaifanya Iran kupotea kabisa ktk Ramani ni kurusha japo kaboom kamoja Israel kiufupi sio Israel tu ila mataifa yote ya west yanaham kuipoteza Iran kwa sababu ndio chanzo cha shida middle East. Mbaya zaid ndio anaye mpa kiburi Putin yaaniiii kitanukana
  11. T

    Russia mbioni kufanya shambulio kubwa katika historia

    Nilishangaa kuona ila sasa Nina amini Mungu alisema nami 15 years back. Yakwamba vita kubwa ya Dunia inakuja na leo nashuhudia jambo Hilo. Siandiki sana ila tusali jambo zito sana laweza ikumba Dunia na kuleta maafa makubwa kwa binadam. Ambayo hayajawahi tokea. Wanausalama wamagharibi...
Back
Top Bottom