Recent content by tumaini obedi

  1. T

    Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

    Hongera ,,sana mleta Uzi,,,ingekuwa Nchi zingine ,,, ungeitwa ikuru ,,,,,ukapewa cheti,,,,,kwa kazi hii uliyofanya....kwa ni Bongo ,,,,mmmmm,,,,watu km nyie hamutakiwi.
  2. T

    Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

    Kwa elimu hii ya kijinga utaajiliwa wapi,,?nje,,,,
  3. T

    Manispaa ya Ilemela yachangisha Tsh. 10,000 kwa kila kaya kwa ajili ya ujenzi wa madarasa

    Rejea kauli ya Mkuu wa Nchi ,,,,hakuna mwananchi atayechangishwa,,,,labda achange kwa kupenda,,,,,lkn watu wamechangishwa tena kwa vitisho....x Sent using Jamii Forums mobile app
  4. T

    CHADEMA wajue: Kuna shule za Serikali, shule za kijamii na shule binafsi hivyo kauli ya Rais Magufuli ni sahihi

    Kwa hiyo shule za binafsi ni tsh milioni ishirini,,,,,,,kweli,,,,???,,,mbona zipo za laki 400,000/, 500,000/......kauli ya mheshimiwa ni kauli ya kutenga Watanzani...Na hafai hata kidogo. Hata hivyo hii mikopo wanayopewa ni sehemu ya kodi za Watanzani wote ....x Hapa mpango wa serikali ni kuua...
  5. T

    When again will I hear Tundu Lissu, the voice of voiceless?

    Tundu Lisu,,,let God keep u long life.....ur man of people truly.
  6. T

    Rais Magufuli hawezi kuwa sahihi katika hili la mikopo chuo kikuu

    Sidhani kama uko sahihi sana, je? Unajua kuwa zipo private za laki sits,,,day,,,ambapo walio wengi wanaweza kuzimudu?,,,je? Unajua kuwa kuna wazazi wana uwezo wakutisha Na anaweza akafanya uchaguzi atakavyo lkn yuko shule ya serikali....huyu naye unamusemaje?,,,,,je? Unajua kuwa kuna watoto...
  7. T

    Rais Magufuli hawezi kuwa sahihi katika hili la mikopo chuo kikuu

    Hivi ni saidie kwanza tajili ni yupi?,Na madikini ni yupi?....harafu ndipo nitachangie zzaidi.
  8. T

    Ni kwanini asilimia kubwa ya watu wanaorudia mtihani wa kidato cha nne na sita huishia kufeli?

    Mimi nadhani serikali ninawabania kwa kiasi flani ,,,,,,wakichukulia kuwa ,uliwahi kupewa furusa hiyo,,,,,,,nimeshaona private candidate wenye uwezo wa kutisha .....lakini likija paper wanaangukia pua,,,,, Ni lahisi sana kushinda ukiwa school candidate ,,,kuliko ,,private candidate. Ingawa...
  9. T

    Shule ya Taqwa Mwanza, Karo inalipwa Januari na Julai mnawafukuzaje watoto?

    Ndugu ni kweli, huo ndio utaratibu wao, Aidha hata mwanangu anasomea hapo,,,,,,lakini Huduma wanayo toa, ni Huduma zuri sana,,,,,jamani mpaka ijumamosi watoto wanasomeshwa,,,,Taqwa kufikia mwezi wa nane wanakuwa wamecover slabi za masomo yote,,,,,Taqwa ni miongoni kwa shule bora ,,,,Na...
  10. T

    Ngurumo: Mtanzania mwenzangu, nakuletea kitu cha ncha kali kinaitwa *SAUTI KUBWA

    Bado Mimi sijaliona kabisa.....naombeni maelekezo namuna ya kulipata...
  11. T

    Mange Kimambi kuja na maandamano nje ya World Bank HQ; huu mkakati umenishtua sana

    Hata sasa tunaumia,,,,,uliona wapi ? Ktk dunia ya Leo hata kuzungumuza tunazuiliwa,,kukusanyika ..watu wakatoa maoni yao ni shd.....akiweza hili..poa....
  12. T

    Maandamano ya Aprili 26, 2018: Yanayojiri kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi

    Muda..ni SAA tatu..kwa hiyo bado hajafeli....Na asbh ndio imeanza.
  13. T

    Maandamano ya Aprili 26, 2018: Yanayojiri kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi

    Muda..ni SAA tatu..kwa hiyo bado hajafeli....Na asbh ndio imeanza.
  14. T

    Askofu Damian Denis Dallu unajitambua, hongera Askofu Wangu

    Yaani.....amemusingizia kabisa... Misa hiyo ilirushwa live na redio maria.......japo Mimi nilifungulia akiwa anamalizia mahubili yake Lkn aliponda serikali hii live ,,,,,,akasema wewe ni nani?( usiyeshaurika).akatolea mifano ya akina Musa,farao na wengineo... ni kweli aligusia tarehe...
Back
Top Bottom