Naomba mwenye uelewa anisaidie nataka kuanzisha biashara km ilivyoelezw hapo juu je n hatua gn z kufata? Je changamoto zkoje? Na faida zkoje? Kwa maana comission zkoje?
Naomba mwenye uzoefu na biashara ya uwakala wa bank na huduma nyingine za kifedha kama M-pesa nazingine naomba kujua mtaji wa kuanza nao na makadirio ya faida ambayo hupatikana kwa mwezi.
Naomba msaada sababu nina tatzo la kuongezeka kwa nguvu za kiume kupita kiasi.
Yaani nakuwa na nguvu nyingi za kiume kupita kawaida.
Please naomba msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.