Recent content by Tumaah

  1. Tumaah

    Bodi ya mikopo elimu ya juu

    Unalosema ni kweli, Leo nimefanikiwa kujiunga, den nimekuta limeongezeka baada ya kupungua, from 7ml to 11ml..[emoji1]
  2. Tumaah

    Bodi ya mikopo elimu ya juu

    Habari nawezaje kujua status halis ya deni langu, mwenye ufaham anisaidie tafadhali. Asante
  3. Tumaah

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Habari... Kwa kifupi kuna dada mfilipino amekuwa akipost vitu vya aina tofaut tofaut fb mfano nguo,simu,viatu etc..siku moja nikamfuata inbox nikaulizia bei kwa baadhi ya nguo nilizozipenda akanitajia kwa gharama ya kwao nikabadili kwa Tshs,kiukweli haikuwa gharama kubwa sana na hapo nikavutiwa...
  4. Tumaah

    Kipi hukipendi kwa mpenzi wako/girlfriend wako

    Sure...hili jambo hata mimi linanikera sana
  5. Tumaah

    Walimu karibu wote uwezo mdogo

    We mtoa post hilo swala la kusema walimu ni watu waliofail nadhan hujafanya utafit wa kutosha,,ila naweza sema umekurupuka.... Kitu ambacho ungepaswa kutuonesha hapa km utanguliz ni kuelezea mtu aliyefaul ni aliyempa ufaul wa namna gan vivyo hivyo aliyefail kulingana viwango vya necta,,,, Kwa...
  6. Tumaah

    Bado siku 7 Kupiga Kura, unaona nini mbele?

    Naona kwa mara ya Kwanza,upinzan kuingia ikulu,,,ila kwa kupambana sana na watu wengi tutapoteza maisha... Mungu ibariki Tanzania
  7. Tumaah

    Ajali: Basi la Simiyu Express laparamia mbuyu, abiria baadhi wapoteza maisha

    Duuh hiz ajali mwaka huu ni hatar, rip kwa wote waliopoteza maisha na pole kwa majeruh Mungu awasaidie wapone haraka
  8. Tumaah

    Msaada kuhusu St. John's University

    Mwelezee uhovyo wake, na mshaur akasome chuo gan...
  9. Tumaah

    Ukweli kuhusu Habari ya Mwanafunzi aliyemzalisha mwalimu

    Dah polen sana ndo mmeshachafuka lakin.
  10. Tumaah

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Asante keen,je mchanganyiko unakuwa ktk ratio gan?
  11. Tumaah

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Ninatatizo la vindonda vya tumbo takriban miaka 6 sasa,awali nilikuwa nikitumia dawa za hospital zilikuwa zinanisaidia,ila kwasasa hazinisaidii,tafadhal kwa yeyote aliyetumia dawa ya NETRAGEN naomba anielekeze inapatikana wap mana nasikiwa imewasaidia sana watu,au kama unaushauri wowote au dawa...
  12. Tumaah

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Thank for your advice,i feel better for my madicen that am stil using. Then sorry am not 'dada' Thnx.
Back
Top Bottom