We mtoa post hilo swala la kusema walimu ni watu waliofail nadhan hujafanya utafit wa kutosha,,ila naweza sema umekurupuka....
Kitu ambacho ungepaswa kutuonesha hapa km utanguliz ni kuelezea mtu aliyefaul ni aliyempa ufaul wa namna gan vivyo hivyo aliyefail kulingana viwango vya necta,,,,
Kwa...