Tumbo langu linajaa gesi na kunguruma,nikienda kujisadia kinachotoka ni upepo pamoja na kinyesi cha kukatakata ambacho kinaambatana na makamasi.
Baada ya kupimwa nikaambiwa kuwa nina vidonda vya tumbo na ndonda,vidonda vya tumbo ni vya muda mrefu na nilikuwa ninajitambua kuwa ni navyo.
Tatizo...
Nafuu Lowassa aliyeanza kuleta maigizo maana yatawafanya watanzania waburudike na kuwaongezea siku za kuishi kuliko Magufuli anaetaka kutuletea majanga kwa kutushawishi tuichague CCM na ahadi nyingi za hadaa ambazo CCM haijawahi kuzitekeleza tangu ilipoanza kutawala.
Kuhusu suala la kuwa na kigugumizi itabidi nifanye utafiti kwa kuongea na walimu wenye sifa kama hiyo wanipe mwanga ni vipi wanavyo weza kukabiliana na suala hilo wanapofundisha pengine ninaweza nikapata nguvu hata ya kumpeleka chuo cha ualimu kama nitashindwa kupata njia mbadala.
Binti yangu mwenye umri wa miaka18 alihitimu elimu yake ya kidato cha 4 mwaka 2014 na kupata matokeo haya:Civics C,History C,Geo D,Kiswahili B,English B,Biology D,Computer F,Math F,Com D na Book/k E.
Ninaomba ushauri wenu kwa matokeo kama haya binti yangu ana weza akaenda chuo gani/course...
Ninawashukuru wajasiria mali wote kwa ushauri wenu mulionipa,kutokana vifo vya ghafla vilivyo kuwa vinatokea kwa kuku wangu.Baada ya kuomba ushauri kwa wajasiria mali chini ya kichwa cha habari Watalamu naomba msaada kuku wanapukutika, pamoja na kwamba nimepata hasara kubwa lakini michango ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.