Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,069
- 34,836
MOYO KUTANUKA
Huu ni ukinzani wa moyo jinsi
unavyo toa na kuingiza damu katika
mishipa ya moyo na kuelekea
sehemu zingine kwenye mwili.
Mara nyingi moyo ukipanuka
hupelekea baadhi ya sehemu
kwenye misuri ya moyo
kutokufikiwa na damu, hivyo
kusababisha tundu kwenye moyo au
kidonda cha moyo na baadaye
stroke
SABABU ZA MOYO KUTANUKA
Vifuatazo ni visababishi vya moyo
kupanuka;-
1. mafuta katika damu
2. cholesterol/ lehemu
3. sumu mwilini
4. ukosefu wa protini
5. msongo wa mawazo
6. magonjwa ya muda mrefu
7. shinikizo la juu la damu
DALILI ZA MOYO KUTANUKA
Ili utambue moyo buliokwisha
panuka ni muhimu kuzijua dalili
zifuatazo;-
mapigo ya moyo kwenda kasi
mara kadhaa
moyo kulipuka mara kwa mara
kuhisi hali ya mwili
kunyong'onyea/ kupoteza nguvu
miguu kuwa baridi au kufa ganzi
wakati mwingine vidole kufa ganzi
na kukakamaa
maumivu kwenye moyo (heart
pain)
vichomi na kifua kubana
maumivu kwenye chemba ya moyo
MADHARA YA MOYO KUTANUKA
Yafuatayo ni madhara ya moyo
uliopanuka;.-
kuvimba miguu
miguu kufa ganzi
kupalalaizi/stroke
kidonda kwenye moyo
usipotibu na kuchukua tahadhari
mapema husababisha vifo
JINSI YA KUEPUKA TATIZO HILI
1. Kuepuka ulaji wa nyama, mayai,
maziwa ambavyo huongeza mafuta
kwa wingi.
2. usile vyakula vya kusindikwa
vina chemicals na lehemu nyingi
3. epuka mafuta ya korie, ok na
yote yatokanayo na wanyama
4. tumia mafuta ya mimea kama
alizeti, karanga, nazi, mawese nk ila
kwa kiasi kidogo
5. punguza msongo wa mawazo,
fanya mazoezi kwa muda wa dakika
30 kwa siku asubuhi na jioni
6. kula mboga za majani kwa wingi
(not dead food)
7. usitumie sukari, na chumvi
isitumike kwa wingi
Tiba yake ipo kwa mwenye hayo maradhi ya Moyo kutanuka anitafute nipate kumtibia.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App
+447459370172
Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu