Recent content by Tulip1005

  1. T

    Nipo serious kwa 100%(natafuta mume wa maisha)

    Hello friends!! Nina imani kwamba mume bora hutoka kwa Mungu, na Mungu anaweza akanikutanisha nae popote pale. Nahitaki mwenza wa maisha(mumu wa maisha) mwenye vigezo vifuatavyo. 1: awe tayari kwenda kupima UKIMWI 2:umri wa miaka 27-33 3:elimu, degree moja na kuendelea 4:a true Christian 5...
  2. T

    Hivi kuna uhusiano gani kati ya 'gari' na 'mtoto wa kike?'

    Personally, I love dating a man who own a car because it's more comfortable being with him. Imagine we are out at a late night then mnaka mnawaza jinsi mtakanyorudi home( its either mchukue bajaj or a taxi) but if a man has a car its free to move around especially kama hapa dar kwenye usumbufu...
  3. T

    Wahaya tunachunguzwa sana katika mapenzi, why?

    Kuna refiki yangu aliwahi kuapaa( namnukuhu) " hata abaki mwanaume mmoja duniani, kama ni mhaya, ni bora nife bila kuolewa"
  4. T

    Anaewajua wanyamwezi anisaidie

    Jiandae kupokea wageni kila siku,tena sio wakukaa siku moja au mbili.Wanakaa miezi au miaka. Mara leo kaja mkwe, kesho shemeji. Haijatulia kidogo anakuja mwingine.hadi utakoma. But the good thing is, they are humble.
  5. T

    Dhana ya U-Handsome..............

    U-handsome ni -sura nzuri ya kiume -body nzuri
  6. T

    Chemsha bongo: Shilingi 100 iko wapi?

    Kwanza kabla ya yote haiwezekani nguo ya 10000 ikapunguzwa bei na kuwa 97000, kwasabu 97000 ni kubwa kuliko 10000
  7. T

    Haiwezekani nataka kupima DNA nimestuka!! Wanangu hawajafanana na mimi

    Nenda kapime DNA besty, kulea watoto wa wenzio itaku cost baadae
  8. T

    Day dreaming!!

    Hello JF!!am a lady 24 by age. Kuna kitu kinanishangaza sana,toka mwaka huu uanze nimekuwa natamani sana and wishing to get married.Sometimes utakuta nimekaa peke yangu naanza ku fantasize kuhusu ndoa.But kila nikiangalia sioni mtu aliye serious!! All I dream about nowdays in a "family". Yaani...
  9. T

    Akitongozwa ananiambia

    Kwa mm nijuavyo, sisi wasichana tuna katabia flani hivi( hata baadhi ya wanaume wanako pia). Utakuta mtu anamwoshe boyfriend au mume wake msg za watu wanaomtongoza au kumsimulia kuhusu watu wanaomtongoza....hii inamaanisha anataka kukuonyesha kuwa "kuna wengi ambao wanampenda na kumtamani"...
  10. T

    Kenny Rogers, Dolly Parton na Don williams nani aliyeimba nyimbo nzuri za mapenzi?

    Dolly Parton mkali sana...... ))))But you know I love you ))))Do I ever Cross your mind ))))I will always love you ))))Island in the stream ))))Jolene ))))Just because am a woman ))))Think about love ))))
  11. T

    Tujadili sote: Kuna Ukweli upi katika hili?!!

    Heeeeeee!!! Kwahiyo hata wanaume wa kibongo wenye "P" ndogo wanakuwa na akili sana!!
  12. T

    Ushoga wa wanaume, Aisee unaisha vizuri.

    Hee mi sijaelewa hiyo story.
  13. T

    Akaa Wangoni na Wapare akuu

    Ni kweli wangoni hawajatulia hata kidogo!! Full kuruka njia
Back
Top Bottom