Ndiyo maana mimi binafsi nimeamua sitapiga kura katika uchaguzi wowote utakaofanyika chini ya katiba hii, tume hii na OR Tamisemi ni kupoteza muda na nguvu bure
Hakuna siri ya watu wawili au zaidi. Hata hayo unayoita ni uzushi sasa utaujagundua ni kweli ni suala la muda tu kama ilivyokuwa kwa ziara hii. Kama hili mwanzo hukuamini na lilmetokea basi na hayo unayoyaita uzushi utayajua wakati wake ukifika
Yaani ni bora usingejibu kabisa. Unatakiwa ujibu hoja kwa hoja ukishaona umeanza kutoa kashfa kwenye mijadala maana yake ni kuwa huna hoja hivyo ni bora unyamaze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.