Recent content by TUKUYU88

  1. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Ni Hichilema vs. Mundubile uchaguzi mkuu Zambia

    ko unataka kama anaiba aachwe tu kisa amewahi kuwa mpinzani?
  2. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    viongozi wetu wengi uwezo mdogo sana. issue ilikuwa kusema lazma mabus yapite stand ya magufuli na sio kukataza kupakia ofisini.
  3. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    uzuri tajiri huwezi mpelekesha. hapa naona kabisa haitawezekana. maana tayari matajiri wameishajenga ofisi za kisasa mjini
  4. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    yaani hiyo mwendokasi itafanya tulazimishwe kutoka majumbani ili tu mwekezaji apate faida
  5. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    labda unalazmishwa peke yako. maana mimi naambiwa either nipandie mjini kwenye ofisi zao au nikapandie magufuli. so nakuwa na machaguo zaid ya moja
  6. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    kwangu mimi malori ndo changamoto. sioni kama bus linaleta foleni et. sasa sijui kama matajiri watakubali. maana tayari wana ofisi za kisasa mjini
  7. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    Hivi ni kwamba wanataka hayo mabus yakishusa mbezi yasiende kabisa mjini? ya yaende mjini yakiwa tupu? maana kuna muda alisema wenye mabus watafute shuttle za kuwatoa magufuli stand to mjini. nikabaki najiuliza sasa si ndo unaongeza foleni zaidi? yaani badala ya bus peke yake now itakuwa msafala...
  8. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Ni Hichilema vs. Mundubile uchaguzi mkuu Zambia

    bora huko kuna TUME HURU kuliko malawi ambako mtu anapata 98% halafu anaanza kubembeleza maridhiano
  9. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Dangote kuanza ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Kenya mwezi wa kumi 2026

    Tajiri wa Africa Dangote amesema kiwanda kitaanza kujengwa mwezi wa kumi mwaka huu. Je kwetu ujenzi utaanza lini? wakianza hata kusogeza kipande cha jiwe mniambie.
  10. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Kondakta wa daladala hana maisha mazuri licha kulala na pesa nzuri

    umewahi fanya hiyo kazi ya ukonda kwanza? au una notes zake tu
  11. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa Kujenga Refinery Tanga, ni Uamuzi wa Kiume, Busara, Kishujaa, Kimkakati na Ukombozi wa Kiuchumi, Tutaweza Kuwalinda Mashujaa Hawa?.

    hivi kuna watu mawaamini hao kweli? kwamba watajenga refinery? tuwe serious kidogo basi
  12. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Uganda Kujenga Kiwanda Kikubwa Cha Kusafisha Mafuta Cha Trilioni 56 Tanga.

    hamna kitu hapo. kwa maana hiyo walisubiri dangote aseme anajenga Kenya? hapa tunadanganywa tu
  13. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Ni lazima kuna muunganiko kati ya maofisa wa kampuni na matapeli!...

    mimi ni line ta TTCL ndo napata sana message zake.
  14. TUKUYU88

    JamiiForums Tanzania Ujasiriamali: Usindikaji wa Yoghurt na Mtindi

    vipi ulifanikiwa nikutembelee?
Back
Top Bottom