huyu mzanzibar ana tamaa sana. na hapo ana buy time ili ikikarbia uchaguzi aanze kujifanya anaanzisha mchakato wa katiba ili aendelee kukaa madarakani.
siku hizi mwenye ukimwi anaishi miaka mingi kidogo akiwa na afya njema. sema zile dawa ni sumu kali lakini ni bora kuliko asiyetumia. ARV zinaua sana sana INI.
kuna vitu mnachanganya sana. kwenye matibabu ukishindwa kutibu basi msogezee maisha ili aishi miaka mingi. ndo kinachofanyika kwenye issue ya UKIMWI. fikiria zamani kabla ya hizi dawa waathirika walikuwa wanaishi muda gani? ukilinganisha na siku hizi?
acheni kuvamia fani. kary mullis aligundua technique ya PCR. na hiyo technique inatumika kufanya vipimo vingi sana. na hiyo technique inachofanya ni kutoa copies za vinasaba. ili ziwe nying kwa ajili ya kuonekana. na vinasaba ni vidogo sana (tiny particles) huwezi ukaona kwa macho wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.