Hivi ni kwamba wanataka hayo mabus yakishusa mbezi yasiende kabisa mjini? ya yaende mjini yakiwa tupu? maana kuna muda alisema wenye mabus watafute shuttle za kuwatoa magufuli stand to mjini. nikabaki najiuliza sasa si ndo unaongeza foleni zaidi? yaani badala ya bus peke yake now itakuwa msafala...
Tajiri wa Africa Dangote amesema kiwanda kitaanza kujengwa mwezi wa kumi mwaka huu. Je kwetu ujenzi utaanza lini? wakianza hata kusogeza kipande cha jiwe mniambie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.