Na pesa za walizopokea kutoka Ujerumani milioni 900 wameambiwa warudishe.Leo Mnyika alikuwa analalamika kwamba zuio la kutofanya siasa limesababisha watakiwe kurudisha huo msaada.Kila siku wanapeleka fitina Nchi iwekewe vikwazo .Milioni 900 zimewatokea puani wanabaki kulalama.Puppets wakubwa.
Wewe unajulikana kelele nyingi hapa muda ukifika unakimbilia mvunguni.Wadanganyeni wajinga wajitokeze kufanya uhalifu mtakutana na mkono wa Serikali.Hakuna huruma ukileta vurugu na kuchochea vurugu.
Kuuliza ni ujinga.Ndio maana unauliza usingekuwa mjinga usingeuliza.Ujinga sio ugonjwa.Ukiuliza ukapewa jibu ndio unakuwa umeondoa ujinga kwa kile ulichouliza na kupewa jawabu.
Yaani wewe uvamie kituo cha Polisi ukichome,uchome miundo mbinu na vituo vya mafuta na nyumba na magari ya watu wasiokuwa na hatia uachwe?Yaani wewe ukiwa na hasira ndio unaruhusiwa kufanya uhalifu?
Marekani wacha kuchoma kituo cha Polisi ukisimamishwa ingiza mkono mfukoni utapata majibu yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.