Wachana na huyo bwege.Haelewi hata hukumu imesema nini?Hukumu imesema Bakwata sio chombo cha waislamu WOTE.Haikusema sio chombo cha waislamu.Kama ambavyo TEC au KKKT sio vyombo vya wakristo WOTE.
Uelewa wake kwa kupambanua masuala mbalimbali ni mdogo.Hivyo unapoteza muda kujaribu kumuelewesha.
Huyu Ali Kamwe ni mpare.Mimi sishangai kwa kauli yake ya uhasidi.Hao wanauza ng'ombe kwa kesi ya kupoteza kuku.Kwa asili yake Ali Kamwe hiyo ni DNA hawezi kuepuka.Anaona tabu watu wakifanikiwa.
Huyu mlevi alizinduka usingizi akaona Selemani Mwalimu akishika mpira.!Handball ni foul zinazoamuliwa na refa na kama refa hajaona basi kibendera anatingisha kibendera chake kuonyesha handball na sio kunyoosha kama offside.Sasa linesman kwenye tukio la Suleiman Mwalimu alionyesha ishara ipi...
Wenye pesa hawapandi basi.Wewe ulipita kwenye vijiwe vya kuuzia magazeti ukajazwa uzushi.Weka ushahidi.Hakuna hata chombo kimoja cha habari kilichoweka ushahidi wa Suleiman kushika mpira.
Zingatia usafi wakati wa kuandaa na kupika chakula.Wacha kuamini imani za kishirikina.Fanya utafiti yakini wa biashara yako na mahitaji ya wateja wako.
Hamna cha zongo, kongo wala mongo.Ni imani tu za kijinga.
Wacha kufuata mkumbo.Tarehe 1 March 2026 Uwanja wa Taifa utatumika wa shughuli zingine hivyo imewalazimu Yanga kutafuta uwanja mbadala.
Kabla ya kuchukua hatua jiridhishe kwanza usiamini uzushi.
Wacha uzushi hata msimu uliopita Simba alicheza na Azam Zanzibar na Yanga alicheza na Singida Black Stars huko huko.Timu zimepewa nafasi ya kuchagua Uwanja wanaoutaka .Hakuna cha Utanganyika wala Uzanzibar kwenye hilo.Tafuta lingine.Hiyo generalization ya mechi kubwa zote umeitoa wapi kwani...
Kama hatambuliki yupo kwenye hicho kikao kama nani?Kwanini asiwepo Lissu au yule mropokaji mkurya?Jana Rais Samia alifanya kikao na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina Mohamed.Source Gazeti la Mwananchi.Hutaki jinyonge.
Baba na watoto wafe kwa ugonjwa wa kuambukiza mama apone haiwezekani.Mwaka wa pili mfululizo Uto robo fainali ataisikia tu.Kuingia robo fainali sio kwa kila timu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.