Recent content by Tui

  1. T

    Hii imekaaje, watu wameanza kuwazia uchaguzi 2030

    Kwanza rudi huko ulipo.2023.Nilidhani ni typing error kwenye headline nikashangaa umerudia tena 2023 kwenye habari yenyewe.Unakimbizwa?
  2. T

    Leo nimeshuhudia mwanaume akipigwa makofi na mwanamke

    Talking through experience au una assume tu?
  3. T

    Wengi waigomea Idd el fitri ya BAKWATA, Wadaii Idd halali ilikuwa Ijumaa

    Wachana na huyo bwege.Haelewi hata hukumu imesema nini?Hukumu imesema Bakwata sio chombo cha waislamu WOTE.Haikusema sio chombo cha waislamu.Kama ambavyo TEC au KKKT sio vyombo vya wakristo WOTE. Uelewa wake kwa kupambanua masuala mbalimbali ni mdogo.Hivyo unapoteza muda kujaribu kumuelewesha.
  4. T

    Ali Kamwe: Kuna mchezaji tangu kaenda timu nyingine anajitutumua kuliko alipokuwa kwetu

    Huyu Ali Kamwe ni mpare.Mimi sishangai kwa kauli yake ya uhasidi.Hao wanauza ng'ombe kwa kesi ya kupoteza kuku.Kwa asili yake Ali Kamwe hiyo ni DNA hawezi kuepuka.Anaona tabu watu wakifanikiwa.
  5. T

    Simba inajitahidi kuipandisha ligi ya Tanzania, Yanga inajitahidi kuishusha

    Msemaji wenu si alishasema uamuzi wa mwisho ni wa Refarii?Sasa wewe no refarii?
  6. T

    Simba inajitahidi kuipandisha ligi ya Tanzania, Yanga inajitahidi kuishusha

    Huyu mlevi alizinduka usingizi akaona Selemani Mwalimu akishika mpira.!Handball ni foul zinazoamuliwa na refa na kama refa hajaona basi kibendera anatingisha kibendera chake kuonyesha handball na sio kunyoosha kama offside.Sasa linesman kwenye tukio la Suleiman Mwalimu alionyesha ishara ipi...
  7. T

    Simba inajitahidi kuipandisha ligi ya Tanzania, Yanga inajitahidi kuishusha

    Wenye pesa hawapandi basi.Wewe ulipita kwenye vijiwe vya kuuzia magazeti ukajazwa uzushi.Weka ushahidi.Hakuna hata chombo kimoja cha habari kilichoweka ushahidi wa Suleiman kushika mpira.
  8. T

    Simba inajitahidi kuipandisha ligi ya Tanzania, Yanga inajitahidi kuishusha

    Ukiweza kuleta ushahidi wa picha za TV Suleiman Mwalimu akishika mpira weka namba yako nikutumie pesa ya vocha.
  9. T

    Uchawi kwenye biashara ya Catering

    Zingatia usafi wakati wa kuandaa na kupika chakula.Wacha kuamini imani za kishirikina.Fanya utafiti yakini wa biashara yako na mahitaji ya wateja wako. Hamna cha zongo, kongo wala mongo.Ni imani tu za kijinga.
  10. T

    Kwaheri Tanganyika: Mechi zote kubwa za Simba na Yanga kuchezwa Zanzibar

    Wacha kufuata mkumbo.Tarehe 1 March 2026 Uwanja wa Taifa utatumika wa shughuli zingine hivyo imewalazimu Yanga kutafuta uwanja mbadala. Kabla ya kuchukua hatua jiridhishe kwanza usiamini uzushi.
  11. T

    Kwaheri Tanganyika: Mechi zote kubwa za Simba na Yanga kuchezwa Zanzibar

    Wacha uzushi hata msimu uliopita Simba alicheza na Azam Zanzibar na Yanga alicheza na Singida Black Stars huko huko.Timu zimepewa nafasi ya kuchagua Uwanja wanaoutaka .Hakuna cha Utanganyika wala Uzanzibar kwenye hilo.Tafuta lingine.Hiyo generalization ya mechi kubwa zote umeitoa wapi kwani...
  12. T

    Tetesi: Samia hajatambuliwa kama Rais aliyechaguliwa na wananchi, wenzie waliochaguliwa na wananchi wametambuliwa kwenye mkutano wa AU

    Kama hatambuliki yupo kwenye hicho kikao kama nani?Kwanini asiwepo Lissu au yule mropokaji mkurya?Jana Rais Samia alifanya kikao na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina Mohamed.Source Gazeti la Mwananchi.Hutaki jinyonge.
  13. T

    FT: Young Africans SC 3-0 JS Kabylie | CAF Champions League | New Amaan Complex | Feb 15, 2026

    Baba na watoto wafe kwa ugonjwa wa kuambukiza mama apone haiwezekani.Mwaka wa pili mfululizo Uto robo fainali ataisikia tu.Kuingia robo fainali sio kwa kila timu.
Back
Top Bottom