The more you learn the more you realize how little you know.Hao wavamizi unao kwenye imagination yako?Unajua maana ya uvamizi?Baba yako angetumia condom angetuepusha na hii adha ya kubishana na wewe zumbukuku.
Bikra imetolewa kwa pakiti zima la Condom.Hawa bila ya kubebwa hawana lolote.Haya comeback ya timu ndogo imewatoa kamasi.Kama sio juhudi za mshika kibendera score line ni 3-1.
Blandina Mwalutola nae ni mgeni?Wacha sheria ifuate mkondo wake.Ukivunja sheria bila kujali wewe ni mgeni au mwenyeji uchukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria.Angeachwa ungesema ameachwa kwa sababu ni mgeni?
Pale majungu na umbeya yanapogeuzwa ni harakati za kisiasa.Hizi ramli za kijinga hazijawasaidia wala hazitawasaidia.Watanzania hawahitaji umbeya bali mawazo ya kujenga Nchi.Kukosoa kwa kejeli na matusi bila siasa mbadala ni kupoteza muda tu.
Mwanaume suruali anapokosa hoja hukimbilia hoja mfu!Kuvaa avae Asha Migiro kukereka ukereke wewe.Kukosa kazi na kuingilia maisha ya watu hakujawahi kumuacha mjinga yeyote anayejaribu huo ujinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.