Recent content by Tui

  1. T

    JamiiForums Tanzania Hapa ndipo unajua wamagharibi wakisema ugaidi wanamaanisha ni Uislamu

    The more you learn the more you realize how little you know.Hao wavamizi unao kwenye imagination yako?Unajua maana ya uvamizi?Baba yako angetumia condom angetuepusha na hii adha ya kubishana na wewe zumbukuku.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kijana mkoani Arusha adaiwa kumuua mwenzake alietaka kwenda kumsemea kwa wazazi wake kuwa amekunywa pombe

    Tukio hili limetokea Kirua Vunjo Mkoani Killmanjaro unawekaje kichwa cha habari kwamba tukio limetokea Mkoani Arusha?
  3. T

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Yanga yapata mbabe Ligi Kuu, YABAMIZWA na Dodoma Jiji magoli 3-2

    Kocha hafai.Unatangulia vipi kwa Dodoma Jiji halafu wasawazishe na kufunga bao la ushindi.Kocha Al Shabab hafai!
  4. T

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Yanga yapata mbabe Ligi Kuu, YABAMIZWA na Dodoma Jiji magoli 3-2

    Bikra imetolewa kwa pakiti zima la Condom.Hawa bila ya kubebwa hawana lolote.Haya comeback ya timu ndogo imewatoa kamasi.Kama sio juhudi za mshika kibendera score line ni 3-1.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Hoteli Jijini Arusha

    Ipo stendi kuu ya Arusha.Kuwepo stendi kusikutishe sana hata Natron na 7Up zote zipo Stendi.Kupanga ni kuchagua.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Wauza chips wahukumiwa Jela Miaka mitatu au Faini 6M kwa kutotoa risiti ya EFD

    Blandina Mwalutola nae ni mgeni?Wacha sheria ifuate mkondo wake.Ukivunja sheria bila kujali wewe ni mgeni au mwenyeji uchukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria.Angeachwa ungesema ameachwa kwa sababu ni mgeni?
  7. T

    JamiiForums Tanzania Ndugu yako akisoma hizo course jitahidi kumuandalia bodaboda kama backup

    Halafu cha ajabu matajiri wanaolalamika hali ngumu huku wote wakiwa na kipato kikubwa,mahekalu na magari ya kifahari.Na wote wapo JF.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo Chama akipewa uraia ndio Taifa Stars itafanya vizuri? Hii CCM imekosa maono. Hawafikirii kuboresha maisha ya Walimu wanafikiria porojo

    Kwani Waziri alisema akipewa uraia ndio lazima achezee timu ya Taifa?Damaro amepewa uraia anachezea timu ya Taifa.?Hiyo conclusion umeitoa wapi?
  9. T

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Katibu Mkuu Wa Chama Fulani Kumwaga Manyang'a

    Pale majungu na umbeya yanapogeuzwa ni harakati za kisiasa.Hizi ramli za kijinga hazijawasaidia wala hazitawasaidia.Watanzania hawahitaji umbeya bali mawazo ya kujenga Nchi.Kukosoa kwa kejeli na matusi bila siasa mbadala ni kupoteza muda tu.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Katibu Mkuu Wa Chama Fulani Kumwaga Manyang'a

    Halafu huyo panzi anamla kunguru?
  11. T

    JamiiForums Tanzania Nani anayemlazimisha Asharose Migiro kuvaa Mahijabu na Mabaibui? Ni kumkosea sana

    Mwanaume suruali anapokosa hoja hukimbilia hoja mfu!Kuvaa avae Asha Migiro kukereka ukereke wewe.Kukosa kazi na kuingilia maisha ya watu hakujawahi kumuacha mjinga yeyote anayejaribu huo ujinga.
  12. T

    JamiiForums Tanzania FT: Bayern München 0 - 1 PSG | UEFA Semi Final 2nd Leg | Allianz Arena | 6 Mei 2026

    Scoreboard ni 1-1. Au hukuangalua mpaka mwisho.
  13. T

    JamiiForums Tanzania Pole sana Mh Temba, Shetani hana Rafiki

    Kwani wewe ametekwa mama yako?Wewe msafisha mavi ya wazungu una majungu sana.Utapatikana tu uthibitishe hizo tuhuma na kuleta ushahidi.
  14. T

    JamiiForums Tanzania Pole sana Mh Temba, Shetani hana Rafiki

    Huyu muosha mavi anafikiri kuropoka JF ndio kinga.Anadhani kuwa na kijiofisi Malawi ndio kinga ya uchochezi.
  15. T

    JamiiForums Tanzania Samia kumteua Dkt. Evaline Wilbard Munisi kuwa Naibu Waziri, kaivunja katiba ya Tanzania

    Nyumbu kama kawaida yako umeingizwa mkenge ukaingia.Mara nyingine tumia ubongo kama unao.
Back
Top Bottom