Ninavyofaham mimi hawa watu wanaojihusisha na biashara haramu kama madawa ya kulevya na uuzaji wa pembe za ndovu huwa hawaweki hizo bidhaa au silaha wanazozitumia majumbani kwao
Pia,nikizitazama hizo silaha naona kama ni silaha halali kwaajili ya uwindani halali,hapa naona Sizonje ameamua...
Ndyo maana Trump huwa anasema sisi watu weusi siyo binadamu kamili,kilizama kivuko cha MV Nyerere lkn suala hilo lilionekana kama ni jambo dogo sana,watumishi wa umma hawajapanda madaraja kwa zaidi ya miaka mnne lkn hakuna anayepaza sauti,wastaafu wapo mitaani na hawajalipwa fedha zao lkn hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.