Recent content by Tuem

  1. T

    JamiiForums Tanzania Je, unajua kinachoiliza Tanzania, nchi ya Rwanda, Malaysia, China na Singapore walifanya miaka 40 iliopita na wengine miaka 15 tuu? njooni tuyaone

    You nail it! Nakazia maana Kila rais anayeanza muda wake Huwa mwema sana ila mbeleni anazidiwa inabidi na yeye ajiunge maana hakuna namna. Kuna elimu inahitajika Ili tuweze kubadilika sana kuanzia watawala, taasisi mbalimbali, Ili hata kama ni sheria itawekwa asiwepo wa kuipindisha Tutaweza...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Je, unajua kinachoiliza Tanzania, nchi ya Rwanda, Malaysia, China na Singapore walifanya miaka 40 iliopita na wengine miaka 15 tuu? njooni tuyaone

    Hata hao unaoona wanafaa wakiingia hapo madarakani kama mind set zetu hazijakaa kubadilika wala hakuna kitakachoendelea tena hali itakuwa mbaya zaidi. Sheria katiba zinatungwa zipo na zitaendelea kuwepo ila kama jamii yenyewe ni hii lazima mahubiri yapite sana daktari ajielewe, nesi ajielewe...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kijana wangu anaongea vitu havieleweki, atakuwa na tatizo gani?

    Bangi mkuu mchunguze
  4. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    So where are you taking me😂😂 ila Mary 🤔 🤔
  5. T

    JamiiForums Tanzania Je, unajua kinachoiliza Tanzania, nchi ya Rwanda, Malaysia, China na Singapore walifanya miaka 40 iliopita na wengine miaka 15 tuu? njooni tuyaone

    Mkuu umeeleza vizuri sana, hata huko kutokukuelewa kunaonyesha ni jinsi gani hatuwezi kujiongoza maana hatujielewi. Hata tuombe na kufunga tupate hio katiba mpya kama hatuko tayari kujitambua bado bure kabisa maana mambo yakiachwa yaende kama tunavyotaka sisi hali itakuwa mbaya zaidi na ndio...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Kijana niko Dar natafuta kazi

    Mungu akuonekanie upate kazi na ukisha PATA kazi Fanya Kwa bidii maana sio kwamba kazi hamna ila hamuajiriki kijana. Ukipata kazi unataka uishi kama aliekuajiri, uendeshe gari nzuri ulale nyumba nzuri uwe na dem mzuri gafla tu hizo tamaa zinakufanya unaiba. Omba Mungu kuwa mwaminifu utapata kazi
  7. T

    JamiiForums Tanzania Familia tajiri Tanzania

    Si ndio no 25 ndio anaongoza Tanzania hapo
  8. T

    JamiiForums Tanzania Walichomfanya Catherine Magige (CCM VITI MAALUM ARUSHA) Ndivyo Watachomfanya Paul Makonda. WAJUMBE SIO WATU NI MBWA🤣

    Kwa Makonda tuachie tu maana atashinda tena kwa kishindo
  9. T

    JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa sana nakufikia kuona kifo ndio suluhisho

    Mmemzika wapi au unatania jamani
  10. T

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna haja gani ya Kupost mambo yako, watoto, nguo mpya, Ujinga huo na ushamba

    Kila mtu na maisha yake unapenda kupost do it hupendi acha sasa mtu kama furaha yake inatokana na kujipost unataka asifurahie Ili iweje maisha yenyewe mafupi acha watu wafurahie provided havunji sheria let them enjoy. Sijipost na sijali mtu akipost kama ndio furaha yake wewe kuwaita washamba na...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kudeal na "black sheep" kwenye familia. Believe or not inafanya kazi kwa asilimia mia

    Mkuu umesema kweli kabisa Nina mdogo wangu anahizi Tania anakera sana
  12. T

    JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa sana nakufikia kuona kifo ndio suluhisho

    Mleta Uzi unaendeleaje! Naamini ulifuata ushauri wa wadau hapa
  13. T

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya kutodumu na wafanyakazi inatishia kunifilisi

    Wewe ni mpole naona, kamwe masikini hawapendi watu waliofanikiwa muda wote anatamani maisha yake yawe kama yakwako hivyo puuzia kata mti panda mtu akiiba tu fukuza watu ni wengi wanataka kazi
  14. T

    JamiiForums Tanzania Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Kumbe alikuwa anajisifu hivi akishatutapeli,,😭😭😭
Back
Top Bottom