Always mimi ndo nawahi
Nimeshamwambia sana kuhusu ila hanielewi
Kama tukisema tunakutana saa 9 mtu anakuja saa kumi na nusu. Kila ukimuuliza anasema kuna foleni
Kwani sisi wengine hatuna foleni. Kuna siku nilimwambia nimefika ili awahi, ingawa nilikuwa bado sijatoka. Akasema yuko njiani...
Naomba nianze na mimi
Mimi alinipa simu yake nimuungie bando la Airtel
Nikaona text imepop up kwa juu imeandikwa "Happy Anniversary baby, Cant wait to see you tonight"
Nikameza mate nikanyamaza, sikumwambia chochote. Wiki inayofuata nikamtoa out, nikamwambia nilichokiona kwenye simu yake...
The Minister of State in the President's Office for Planning and Investment, Prof. Kitila Mkumbo, said foreign aid can no longer be used to pressure Tanzania because the country's dependence on foreign grants has fallen to less than 0.9% of the national budget.
Speaking on August 3, 2026, in...
Hivi nyie wafanyabiashara huko DM kunakuwaga na viyoyozi?
Mimi huwa nikiona 'DM for price' siendi DM maana nahisi mfanyabiashara anataka kutazama profile yangu nimevaa nini, nina followers wangapi, au nina muonekano gani ili anipangie bei kulingana na muonekano wangu.
Lakini pia nikiingia DM...
Rais Yoweri Museveni ametoa wito kwa jamii ya Banyankole kurudisha madhumuni ya asili ya kiutamaduni ya sherehe ya Okuhingira, akionya kuwa matakwa ya mahari ya juu kupita kiasi na sherehe za kitamaduni za gharama kubwa yanaziwekea familia mzigo mkubwa wa kifedha na kuchelewesha ndoa miongoni...
Rais Yoweri Museveni ametoa wito kwa jamii ya Banyankole kurudisha madhumuni ya asili ya kiutamaduni ya sherehe ya Okuhingira, akionya kuwa matakwa ya mahari ya juu kupita kiasi na sherehe za kitamaduni za gharama kubwa yanaziwekea familia mzigo mkubwa wa kifedha na kuchelewesha ndoa miongoni...
Katibu wa NEC Organaizesheni ya Chama cha Mapinduzi CCM Paul Matiko Chacha amesema kwa sasa nchini hakuna upinzani wenye nguvu kama ilivyokuwa miaka ya nyuma akitolea mfano wa upinzani wa Agustino Lyatonga Mrema(aliyewahi kuwa mgombea Urais kupitia NCCR Mageuzi) Freeman Mbowe, Dkt. Wilbroad Slaa...
Rais wa FIFA, Gianni Infantino, ametangaza kufuta rasmi mpango uliokuwa na utata mkubwa wa kuuza hisa za mashindano ya shirikisho hilo kwa wawekezaji binafsi.
Infantino alisema imedhihirika wazi kuwa mradi huo ulikuwa "umesababisha migawanyiko" ambayo "haiko tena katika maslahi" ya lengo lake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.