Recent content by tucker carlson

  1. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Ni kozi gani unatamani iongezwe vyuoni kwenye ngazi ya Bachelor's Degree?

    Wakuu salama? Labda nianze na mimi Mimi ningependa kuwepo kwa Kozi ya Usimamizi wa Maudhui na Haki Miliki za Mtandaoni (Content Monetization & Creative Rights) Bongo waundaji maudhui (Creators) ni wengi mno, lakini wengi hawajui sheria za mikataba, jinsi ya kupata hela kupitia hatimiliki zao...
  2. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Heche: Nimeongea na Mwenyekiti Lissu kaniambia hakuna kupiga magoti endelea kupeleka moto

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche, akihutubia wanachama katika mkutano wa chama hicho, amezungumzia Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu, ambaye amemwambia kuwa aendelee kupeleka moto Heche alieleza kuwa msimamo uliowekwa na uongozi wa juu ni wa kutokurudi nyuma wala kupiga magoti dhidi...
  3. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Wadau wa Utalii wapinga tena Mradi wa magari ya kamba (Cable Cars) kwenye Mlima Kilimanjaro

    Wadau wa utalii nchini Tanzania wamepinga tena mpango wa kuweka gari la kamba (cable car) kwenye Mlima Kilimanjaro. Wanaonya kuwa mradi huo utaharibu ajira, utapunguza mapato ya serikali, na utadhuru mazingira ya mlima. Hali hii imekuja siku moja baada ya Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na...
  4. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Mawakili wa Serikali wapinga Rais Samia na wenzake kuitwa mahakamani

    Mawakili wa Serikali wapinga Rais Samia na wenzake kuitwa mahakamani Wakili wa Serikali Mkuu, Nasoro Katuga, amesimama: Upande wa Jamhuri unajua ni haki ya mshitakiwa kujitetea na yeye kueleza kuwa atajitetea mwenyewe. Lakini kuna suala la mashahidi ambao mshitakiwa anataka wapewe summons...
  5. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Ahukumiwa kifungo cha mwaka 1 jela kwa 'kutukana' viongozi wa Serikali kupitia mtandao wa TikTok

    Wanajamvi, Mahakama ya Mwanzo Mbeya mjini imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja (miezi 12) jela Ramadhan Rudabuka (19) DJ na Mkazi wa Patamela wilayani Chunya kwa kosa la kusambaza maudhui yasiyofaa katika mtandao wa TIKTOK. Hukumu hiyo imetolewa mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Mbeya mjini...
  6. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Tunakemea vikali kusitisha leseni ya Gazeti la Mwanahalisi

    Wakuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekemea vikali uamuzi wa Serikali kupitia Idara ya Habari (MAELEZO) wa kulifungia na kusitisha leseni ya gazeti la MwanaHALISI kwa kipindi cha miezi sita kuanzia tarehe 19 Agosti 2026. Uamuzi huo wa serikali ulikuja kufuatia taarifa...
  7. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Mwana Mfalme Harry wa Uingereza na mkewe Meghan Markle wanapanga kurejea Uingereza

    Hela zishaisha hapo. Harry ni kama UVCCM
  8. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Afisa wa Benki Kuu: Lipa Namba ni kwa ajili ya kulipia bidhaa, kuitumia ili kutolea hela kwenye mitandao ya simu, ni kosa

    Wakuu, Katika mahojiano yaliyofanyika kwenye kipindi cha Kume Pambazuka cha Radio One, Afisa kutoka BOT Henry Joseph amesema kuna tabia iliyokithiri kwa wananchi na wafanyabiashara kutumia mfumo wa Lipa Namba kama njia ya kutolea fedha (cash-out) badala ya kuutumia kwa ajili ya kulipia bidhaa...
  9. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Askari walionikamata walikuwa na silaha nzito za kivita. ZCO Msaidizi alisema kosa langu ni kudharau amri za mahakama

    Wakuu, Akiwa anatekeleza majukumu yake ya kitaalamu katika Mahakama Kuu ya Tanzania (Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa) iliyopo Kivukoni, Dar es Salaam, wakili Peter Madeleka ameeleza jinsi alivyokamatwa na maafisa wa polisi akiwa katikati ya shughuli zake za uwakili. Kauli Yake Kuhusu...
  10. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Operations Assistant Position at UNFPA August 2026

    Asante kwa taarifa
  11. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Heche: Mahakama ya Kenya, majaji hawateuliwi na Rais. Kazi zinatangazwa Live, Rais hana mamlaka ya kukataa

    Mwanasiasa John Heche amesisitiza haja ya kufanya mabadiliko ya kikatiba nchini ili kuimarisha uhuru wa vyombo vya sheria na mahakama, akitolea mfano mfumo wa teuzi za majaji nchini Kenya ambao unalinda uhuru wa mahakama dhidi ya kuingiliwa na muhimili wa dharura au mkuu wa nchi. Akieleza jinsi...
  12. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Nina jamaa yangu tangu nimjue hajawahi kuwahi tukikutana. Hii inasababishwa na nini wakuu?

    Huruma huwa zinaniponza ngoja nifanye hivi
Back
Top Bottom