MTN Nigeria imewaruhusu wataalamu kufanya ukaguzi kwenye mifumo yake kupitia mkutano wa wazi uliofanyika Lagos unaojulikana kama “Data on Trial”, uliolenga kujibu malalamiko ya wateja bando kuwahi kuisha
Wateja kutoka maeneo mbalimbali walieleza changamoto zao, wakidai mtandao ni dhaifu na...
Mahakama Kuu ya Shirikisho jijini Lagos imepiga marufuku mpango wa Bunge la Nigeria wa kutumia kiasi cha Naira bilioni 110 (takriban fedha za Nigeria) kwa ajili ya kununua magari ya kifahari na kulipana marupurupu. Mahakama imesema mpango huo ni kinyume cha sheria na ni usaliti kwa wananchi...
Waziri wa Mambo ya Nje ameeleza kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi, imeleta "mtikisiko chanya" wenye athari kubwa ulimwenguni kote, na si kwa Tanzania pekee.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri huyo alikiri na kuthibitisha uzito...
Rais wa Kenya, William Ruto, April 1 2025 alitoa msimamo mkali dhidi ya wimbi la utekaji nyara kwani alichukua hatua za awali za kusafisha idara ya usalama kwa kuvunja makundi maalum ndani ya jeshi la polisi yaliyokuwa yakihusishwa na matukio ya utekaji na mauaji ya kiholela.
"Nimevunja ile...
Tumeanza kuelewana sasa,
CCM mna sera za kiduanzi ndo maana mmeifikisha nchi hapa ilipo
Kwa hiyo usiseme miaka 60 ni umri mdogo, sema tangu uhuru sera zenu ni mbaya na chama chenu kimejaa ufisadi na majizi
Asante!
Wakuu,
Haya ndugu zangu, wale wapenzi wa Sports mmefikiwa
Sina shaka na Dauda ila hapa kwa Meena mmmh
Mbona kuna female presenters wazuri tu (mfano Salama Jabiri) ambao wangeweza kufit hapa kuliko yeye?
Huyu si alikuwa mtangazaji wa XXL? Kipindi cha kwenye entertainment sasa inakuwaje...
President Samia Suluhu Hassan has been awarded an Honorary Doctorate Degree (Honoris Causa) by RUDN University in Russia, popularly known as Patrice Lumumba University, in recognition of her contribution to excellent leadership, diplomacy, and social development.
The degree was conferred during...
Sio kigezo, 1961 Tanganyika ilikuwa sawa na South Korea na Singapore
Lakini leo angalia hizo nchi mbili ziko wapi? Korea wanawapa hadi misaada
Huwezi kusema stage ya maendeleo iko hivyo wakati kuna wengine wame-move faster. Au nyie mna utapiamlo?
Kauli ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh.Paul Makonda baada ya timu vijana ya Serengeti Boys kupoteza fainali ya AFCON U17 mbele ya Senegal.
"Asiwepo mtu yoyote wa kulaumu na kunyoosha kidole na kutafuta maneno ya kuwakebehi na kuwadhalilisha vijana hawa ambao ni mashujaa wetu...
Wakuu,
Wabunge waliosafiri kwenda Nchini Morocco wakiwashangilia Serengeti boys baada ya mchezo wa Fainali ya AFCON U-17 waliyopoteza kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Senegal
Wakuu,
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum (Fungu 53), imeomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi Bilioni 108, 024, 243 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake katika Mwaka wa Fedha 2026/2027.
Akiwasilisha hotuba ya makadirio hayo bungeni, Waziri Gwajima...
Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Prof. John Ruhangisa ameweka wazi kutoridhishwa kwake na mfumo wa sasa ambapo majaji wanateulia bila kuwepo kwa michakato ya wazi inayoshirikisha umma
Ameshauri Tanzania iige nchi nyingine ambapo majaji wanaomba kazi na kufanyiwa usaili wa wazi...
Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Prof. John Ruhangisa, ametoa onyo kali kwa vyombo vya ulinzi na usalama, akisisitiza kuwa kwa mujibu wa misingi ya Katiba, askari yeyote hatakiwi kutekeleza amri kutoka kwa bosi au kiongozi wake ikiwa amri hiyo si halali.
"Hata nilikuwa ukisoma Katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.