Recent content by tucker carlson

  1. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Nina jamaa yangu tangu nimjue hajawahi kuwahi tukikutana. Hii inasababishwa na nini wakuu?

    Huruma huwa zinaniponza ngoja nifanye hivi
  2. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Nina jamaa yangu tangu nimjue hajawahi kuwahi tukikutana. Hii inasababishwa na nini wakuu?

    Mnazingua sana wanangu Daaah 😅
  3. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Nina jamaa yangu tangu nimjue hajawahi kuwahi tukikutana. Hii inasababishwa na nini wakuu?

    Always mimi ndo nawahi Nimeshamwambia sana kuhusu ila hanielewi Kama tukisema tunakutana saa 9 mtu anakuja saa kumi na nusu. Kila ukimuuliza anasema kuna foleni Kwani sisi wengine hatuna foleni. Kuna siku nilimwambia nimefika ili awahi, ingawa nilikuwa bado sijatoka. Akasema yuko njiani...
  4. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Ulikuta nini kwenye simu yake na kikabadilisha kabisa jinsi unavyomuona mpenzi wako?

    Sijakagua mkuu wangu soma vizuri
  5. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Ulikuta nini kwenye simu yake na kikabadilisha kabisa jinsi unavyomuona mpenzi wako?

    Naomba nianze na mimi Mimi alinipa simu yake nimuungie bando la Airtel Nikaona text imepop up kwa juu imeandikwa "Happy Anniversary baby, Cant wait to see you tonight" Nikameza mate nikanyamaza, sikumwambia chochote. Wiki inayofuata nikamtoa out, nikamwambia nilichokiona kwenye simu yake...
  6. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Gen Z wachache sana wataweza kuelewa nini kilikuwa kinaendelea hapa

    Wakuu, Hii picha ilipigwa Tanzania miaka kama 13 nyuma Gen Z hawawezi kuelewa hapa
  7. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Minister Kitila Mkumbo: Foreign Aid can no longer be used to pressure Tanzania. We cannot collapse because we lack of 0.9% of foreign aid

    The Minister of State in the President's Office for Planning and Investment, Prof. Kitila Mkumbo, said foreign aid can no longer be used to pressure Tanzania because the country's dependence on foreign grants has fallen to less than 0.9% of the national budget. Speaking on August 3, 2026, in...
  8. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara akisema umfuate DM kwenda kujua bei huwa unaenda?

    Hivi nyie wafanyabiashara huko DM kunakuwaga na viyoyozi? Mimi huwa nikiona 'DM for price' siendi DM maana nahisi mfanyabiashara anataka kutazama profile yangu nimevaa nini, nina followers wangapi, au nina muonekano gani ili anipangie bei kulingana na muonekano wangu. Lakini pia nikiingia DM...
  9. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Museveni apinga mahari na harusi za gharama "Mimi sidai mahari kwa ajili ya watoto wangu"

    Rais Yoweri Museveni ametoa wito kwa jamii ya Banyankole kurudisha madhumuni ya asili ya kiutamaduni ya sherehe ya Okuhingira, akionya kuwa matakwa ya mahari ya juu kupita kiasi na sherehe za kitamaduni za gharama kubwa yanaziwekea familia mzigo mkubwa wa kifedha na kuchelewesha ndoa miongoni...
  10. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni apinga mahari na harusi za gharama "Mimi sidai mahari kwa ajili ya watoto wangu"

    Rais Yoweri Museveni ametoa wito kwa jamii ya Banyankole kurudisha madhumuni ya asili ya kiutamaduni ya sherehe ya Okuhingira, akionya kuwa matakwa ya mahari ya juu kupita kiasi na sherehe za kitamaduni za gharama kubwa yanaziwekea familia mzigo mkubwa wa kifedha na kuchelewesha ndoa miongoni...
  11. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania CCM wawasifia Mbowe, Mrema kwa “upinzani mkali”

    Katibu wa NEC Organaizesheni ya Chama cha Mapinduzi CCM Paul Matiko Chacha amesema kwa sasa nchini hakuna upinzani wenye nguvu kama ilivyokuwa miaka ya nyuma akitolea mfano wa upinzani wa Agustino Lyatonga Mrema(aliyewahi kuwa mgombea Urais kupitia NCCR Mageuzi) Freeman Mbowe, Dkt. Wilbroad Slaa...
  12. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Rais wa FIFA Gianni Infantino afuta mpango wa kuuza Hisa za FIFA baada ya upinzani mkali kutoka kwa Wanachama

    Rais wa FIFA, Gianni Infantino, ametangaza kufuta rasmi mpango uliokuwa na utata mkubwa wa kuuza hisa za mashindano ya shirikisho hilo kwa wawekezaji binafsi. Infantino alisema imedhihirika wazi kuwa mradi huo ulikuwa "umesababisha migawanyiko" ambayo "haiko tena katika maslahi" ya lengo lake...
Back
Top Bottom