Recent content by tucker carlson

  1. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania MTN yaruhusu ukaguzi kufanyika kwenye mifumo yake ya bando ili kujibu tuhuma za kuibia wateja vifurushi vyao

    MTN Nigeria imewaruhusu wataalamu kufanya ukaguzi kwenye mifumo yake kupitia mkutano wa wazi uliofanyika Lagos unaojulikana kama “Data on Trial”, uliolenga kujibu malalamiko ya wateja bando kuwahi kuisha Wateja kutoka maeneo mbalimbali walieleza changamoto zao, wakidai mtandao ni dhaifu na...
  2. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Lagos yapiga marufuku Wabunge kutumia Naira Bilioni 110 kwa ajili ya posho na matumizi

    Mahakama Kuu ya Shirikisho jijini Lagos imepiga marufuku mpango wa Bunge la Nigeria wa kutumia kiasi cha Naira bilioni 110 (takriban fedha za Nigeria) kwa ajili ya kununua magari ya kifahari na kulipana marupurupu. Mahakama imesema mpango huo ni kinyume cha sheria na ni usaliti kwa wananchi...
  3. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Ziara ya Rais Samia Urusi imeleta 'Mtikisiko' wa Dunia

    Waziri wa Mambo ya Nje ameeleza kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi, imeleta "mtikisiko chanya" wenye athari kubwa ulimwenguni kote, na si kwa Tanzania pekee. Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri huyo alikiri na kuthibitisha uzito...
  4. tucker carlson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto: Nimevunja genge la Polisi lililokuwa linatekeleza utekaji

    Rais wa Kenya, William Ruto, April 1 2025 alitoa msimamo mkali dhidi ya wimbi la utekaji nyara kwani alichukua hatua za awali za kusafisha idara ya usalama kwa kuvunja makundi maalum ndani ya jeshi la polisi yaliyokuwa yakihusishwa na matukio ya utekaji na mauaji ya kiholela. "Nimevunja ile...
  5. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Katika kujenga na kutengeneza taifa, miaka 60 huwa ni umri mdogo sana

    Tumeanza kuelewana sasa, CCM mna sera za kiduanzi ndo maana mmeifikisha nchi hapa ilipo Kwa hiyo usiseme miaka 60 ni umri mdogo, sema tangu uhuru sera zenu ni mbaya na chama chenu kimejaa ufisadi na majizi Asante!
  6. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Tunapokaribia kwenye kombe la dunia, Shafii Dauda na Meena Ally watimkia Azam Sports

    Wakuu, Haya ndugu zangu, wale wapenzi wa Sports mmefikiwa Sina shaka na Dauda ila hapa kwa Meena mmmh Mbona kuna female presenters wazuri tu (mfano Salama Jabiri) ambao wangeweza kufit hapa kuliko yeye? Huyu si alikuwa mtangazaji wa XXL? Kipindi cha kwenye entertainment sasa inakuwaje...
  7. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania President Samia has been awarded Honorary Doctorate Degree in Russia

    Its mindblowing
  8. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania President Samia has been awarded Honorary Doctorate Degree in Russia

    President Samia Suluhu Hassan has been awarded an Honorary Doctorate Degree (Honoris Causa) by RUDN University in Russia, popularly known as Patrice Lumumba University, in recognition of her contribution to excellent leadership, diplomacy, and social development. The degree was conferred during...
  9. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Katika kujenga na kutengeneza taifa, miaka 60 huwa ni umri mdogo sana

    Sio kigezo, 1961 Tanganyika ilikuwa sawa na South Korea na Singapore Lakini leo angalia hizo nchi mbili ziko wapi? Korea wanawapa hadi misaada Huwezi kusema stage ya maendeleo iko hivyo wakati kuna wengine wame-move faster. Au nyie mna utapiamlo?
  10. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Makonda: Asitokee mtu wa kuilaumu Serengeti Boys, kaa kimya kalale

    Kauli ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh.Paul Makonda baada ya timu vijana ya Serengeti Boys kupoteza fainali ya AFCON U17 mbele ya Senegal. "Asiwepo mtu yoyote wa kulaumu na kunyoosha kidole na kutafuta maneno ya kuwakebehi na kuwadhalilisha vijana hawa ambao ni mashujaa wetu...
  11. tucker carlson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wabunge wakiwashangilia Serengeti Boys baada ya kufungwa na Senegal

    Wakuu, Wabunge waliosafiri kwenda Nchini Morocco wakiwashangilia Serengeti boys baada ya mchezo wa Fainali ya AFCON U-17 waliyopoteza kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Senegal
  12. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Wanawake yaomba kuidhinishiwa bajeti ya Bilioni 108 mwaka 2026/2027

    Wakuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum (Fungu 53), imeomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi Bilioni 108, 024, 243 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake katika Mwaka wa Fedha 2026/2027. Akiwasilisha hotuba ya makadirio hayo bungeni, Waziri Gwajima...
  13. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Jaji John Ruhangisa: Ili mahakama iwe ya wananchi, majaji wanapaswa kufanyishwa 'interview' badala ya kuteuliwa

    Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Prof. John Ruhangisa ameweka wazi kutoridhishwa kwake na mfumo wa sasa ambapo majaji wanateulia bila kuwepo kwa michakato ya wazi inayoshirikisha umma Ameshauri Tanzania iige nchi nyingine ambapo majaji wanaomba kazi na kufanyiwa usaili wa wazi...
  14. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania KERO Haya mafataki yanayopigwa karibu na Mlimani City mida ya usiku ni usumbufu mkubwa. Nimemuonea huruma sana huyu mzee

    Una akili timamu? Kila mtu akiamua kupiga hayo mafataki Dar kutakalika kweli?
  15. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Jaji John Ruhangisa: Kwenye Katiba inayopendekezwa, askari hatakiwi kutekeleza amri ambayo sio halali

    Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Prof. John Ruhangisa, ametoa onyo kali kwa vyombo vya ulinzi na usalama, akisisitiza kuwa kwa mujibu wa misingi ya Katiba, askari yeyote hatakiwi kutekeleza amri kutoka kwa bosi au kiongozi wake ikiwa amri hiyo si halali. "Hata nilikuwa ukisoma Katiba...
Back
Top Bottom