Taharuki kubwa imetokea Machi 25, 2026 mkoani Tabora baada ya ndege ya abiria iliyokuwa ikitokea mkoa wa Kigoma kwenda Tabora kudaiwa kuanguka pembeni mwa uwanja wa ndege wa Tabora huku watu watano wakidaiwa kufariki dunia na majeruhi wa ajali hiyo wakiwahishwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa...
Wakuu,
Hakuna sababu yoyote kuzidi kumuweka Lissu Gerezani
Uchaguzi ushapita, maandamano yashapita na lile joto la kisiasa pia lishapita.
The only reason why, Lissu yuko Gerezani ni kuhakikisha kwamba huo mchakato unafanyika lakini yeye ASISHIRIKI. Maana akiwa uraiani Katiba wanayoitaka CCM...
Wakuu,
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio linalotambua biashara ya utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya ubinadamu, hatua iliyopigiwa kura 123 za kuunga mkono.
Katika kura hiyo, nchi tatu, Argentina, Israel na Marekani zilipinga, huku nchi 52 zikijizuia kupiga kura.
Soma pia...
Guys
I truly believe people are going to drink heavily today. Beer, spirits, everything. After all, the “black colonizer” of Ismani constituency has finally passed away
Honestly, I wouldn’t be surprised if TBL shares go up today, with all the celebrating going on.
We started with...
Wakuu
Nimekutana na watu wengi huko status na Instagram wanampost Jiwe wakikumbuka kifo chake.
Wengine wanamsifia wanasema sijui watamkumbuka mara sijui alikuwa ana upendo kwa taifa
Yaani mtu ambaye aliharibu hii nchi na kuwa ya kichawa, alifungia media hovyo na kutesa wapinzani hadi...
Wakuu,
Balozi wa EU Christine Grau, amejibu lile swali la Who Are You kutoka kwa Rais Samia
Hapa Balozi alikuwa anazungumza na The Chanzo na alivyoulizwa kuhusu wapi ambapo Umoja wa Ulaya inapata nguvu ya kuzungumza na kukemea yanayoendelea kwenye siasa za Tanzania alisema
"Tanzania imesaini...
Wakuu,
Nimesikia Bi Msumi katengwa na viongozi wenzake huko AU
Sasa mi naona hilo suala lingeendelezwa zaidi. Heads of state wote duniani ambao ni wanawake wanatakiwa kumtenga Samia
Wanawake ni mama zetu, dada na mashangazi zetu. Hakuna mtu ambaye ana uchungu na maisha ya watu kama mwanamke...
Wakati kukiwa na sintofahamu ya ukweli wa alipo Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam (ZCO), Faustine Mafwele na kile kinachozungumzwa kwenye mitandao ya kijamii, Kamanda wa kanda hiyo, Jumanne Muliro ametoa kauli.
Hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii, watu...
Ndugu zangu,
Kuna maelekezo hapa kutoka kwa Naibu Waziri. REA na TANESCO ujumbe uwafikie popote mlipo
======
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) pamoja na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha kuwa wateja wote wanaolipia huduma...
Wakuu,
Nasikitishwa sana na hiki nilichokiona hapa kwenye hii barabara ndogo ya Segesela Street hapa Sinza, ni kamtaa fulani kanaanzia hapa Mlimani City kuelekea Kitambaa Cheupe.
Hii barabara ni mpya na ilikuwa inajengwa na Wachina, imejengwa kwa zege, of course ni kitu kizuri lakini baada ya...
Huyu jamaa ndo yule alotishia kwamba watakaondamana atadeal nao
Kupitia X wananchi wakiongozwa na Hilda Newton wameanza kufukua mafile yake.
Jina lake halisi ni Ibrahim Bakonzi. Kupitia ukurusa wake wa Facebook watu wameona kwamba pia ndio anamiliki akaunti ya Youtube yenye maudhui ya Kiislamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.