Recent content by tucker carlson

  1. tucker carlson

    Ndege ya abiria iliyokuwa inatokea Kigoma kwenda Tabora yaanguka pembeni mwa Uwanja wa Tabora wakati wa kufanya majaribio ya Uwanja huo

    Taharuki kubwa imetokea Machi 25, 2026 mkoani Tabora baada ya ndege ya abiria iliyokuwa ikitokea mkoa wa Kigoma kwenda Tabora kudaiwa kuanguka pembeni mwa uwanja wa ndege wa Tabora huku watu watano wakidaiwa kufariki dunia na majeruhi wa ajali hiyo wakiwahishwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa...
  2. tucker carlson

    Mchakato wa Katiba utamkuta Lissu akiwa Gerezani. Watamtoa ikishapatikana "Katiba Mpya"

    Wakuu, Hakuna sababu yoyote kuzidi kumuweka Lissu Gerezani Uchaguzi ushapita, maandamano yashapita na lile joto la kisiasa pia lishapita. The only reason why, Lissu yuko Gerezani ni kuhakikisha kwamba huo mchakato unafanyika lakini yeye ASISHIRIKI. Maana akiwa uraiani Katiba wanayoitaka CCM...
  3. tucker carlson

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Wakuu, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio linalotambua biashara ya utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya ubinadamu, hatua iliyopigiwa kura 123 za kuunga mkono. Katika kura hiyo, nchi tatu, Argentina, Israel na Marekani zilipinga, huku nchi 52 zikijizuia kupiga kura. Soma pia...
  4. tucker carlson

    Ismani Independence Day? State Minister William Lukuvi dies at 73

    Guys I truly believe people are going to drink heavily today. Beer, spirits, everything. After all, the “black colonizer” of Ismani constituency has finally passed away Honestly, I wouldn’t be surprised if TBL shares go up today, with all the celebrating going on. We started with...
  5. tucker carlson

    Msaada: Hawa wanao-mpost Magufuli leo huko status na huko Instagram wana akili timamu?

    Hizi alikuwa anafanya kwa kutoa hela zake za mfukoni au ni hizi PAYEE ambazo watu wanakatwa kwenye vipato vyao?
  6. tucker carlson

    Msaada: Hawa wanao-mpost Magufuli leo huko status na huko Instagram wana akili timamu?

    Wakuu Nimekutana na watu wengi huko status na Instagram wanampost Jiwe wakikumbuka kifo chake. Wengine wanamsifia wanasema sijui watamkumbuka mara sijui alikuwa ana upendo kwa taifa Yaani mtu ambaye aliharibu hii nchi na kuwa ya kichawa, alifungia media hovyo na kutesa wapinzani hadi...
  7. tucker carlson

    PostGE2025 Balozi wa Umoja wa Ulaya ajibu kauli ya "Who Are You?": Tanzania imesaini mikataba ya kimataifa. Lazima tuzungumze

    Wakuu, Balozi wa EU Christine Grau, amejibu lile swali la Who Are You kutoka kwa Rais Samia Hapa Balozi alikuwa anazungumza na The Chanzo na alivyoulizwa kuhusu wapi ambapo Umoja wa Ulaya inapata nguvu ya kuzungumza na kukemea yanayoendelea kwenye siasa za Tanzania alisema "Tanzania imesaini...
  8. tucker carlson

    Kwa yaliyofanyika Oktoba 29 ni vyema viongozi wanawake duniani wangejitenga na Samia

    Wakuu, Nimesikia Bi Msumi katengwa na viongozi wenzake huko AU Sasa mi naona hilo suala lingeendelezwa zaidi. Heads of state wote duniani ambao ni wanawake wanatakiwa kumtenga Samia Wanawake ni mama zetu, dada na mashangazi zetu. Hakuna mtu ambaye ana uchungu na maisha ya watu kama mwanamke...
  9. tucker carlson

    Kamanda Muliro: Kuhusu stori za Mafwele naona kama riwaya za kusadikika za Shabaan Robert

    Wakati kukiwa na sintofahamu ya ukweli wa alipo Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam (ZCO), Faustine Mafwele na kile kinachozungumzwa kwenye mitandao ya kijamii, Kamanda wa kanda hiyo, Jumanne Muliro ametoa kauli. Hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii, watu...
  10. tucker carlson

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Kwa anayopitia hata ingekuwa wewe mkuu ungenenepa?
  11. tucker carlson

    Naibu Waziri wa Nishati Salome Makamba: Nawaelekeza REA na TANESCO mtu akilipia leo, zisipite siku 3 hadi 4 awe amewekewa umeme

    Ndugu zangu, Kuna maelekezo hapa kutoka kwa Naibu Waziri. REA na TANESCO ujumbe uwafikie popote mlipo ====== Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) pamoja na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha kuwa wateja wote wanaolipia huduma...
  12. tucker carlson

    KERO Segesela Street nyuma ya Kitambaa Cheupe - Sinza mmejenga barabara lakini mmeacha mifuko na uchafu, Mamlaka mko wapi?

    Wakuu, Nasikitishwa sana na hiki nilichokiona hapa kwenye hii barabara ndogo ya Segesela Street hapa Sinza, ni kamtaa fulani kanaanzia hapa Mlimani City kuelekea Kitambaa Cheupe. Hii barabara ni mpya na ilikuwa inajengwa na Wachina, imejengwa kwa zege, of course ni kitu kizuri lakini baada ya...
  13. tucker carlson

    PostGE2025 Usiyoyajua kuhusu "Sheikh" aliyetishia kukata vichwa wananchi watakaondamana. Ni mwanachama wa CUF

    Huyu jamaa ndo yule alotishia kwamba watakaondamana atadeal nao Kupitia X wananchi wakiongozwa na Hilda Newton wameanza kufukua mafile yake. Jina lake halisi ni Ibrahim Bakonzi. Kupitia ukurusa wake wa Facebook watu wameona kwamba pia ndio anamiliki akaunti ya Youtube yenye maudhui ya Kiislamu...
Back
Top Bottom