Aisee wanawake watu wa ajabu sana yani hapa ninavyosema nipo mtu alevishwa pete juzi na mshkaji na kupostiana juu oya wanawake kweli hawafai aisee
Hebu fikiria ndo wewe unataka kuoa alafu mwanamke wako ndo ana tabia hizo, wazee ziingatia kabla ya kutaka kuoa ni mwanamke gani unaetaka kuoa...
Wandugu maisha ya pombe ni mazuri sana yani ukiwa na stress ukinywa tu kila kitu kinakaa poa sana yani unasahau kila kitu ***** binafsi nikilewa nasikia burudani sana ila zingatio usinywe kupita kiasi kunywa kidogo tu kama mimi 😁
Eejamaa eh wazima wote, hebu tufahamishane tabia za wanawake wa kinyamwezi ni zipi kwa sisi tusiojua tabia zao ili tusije kuingia mkenge kwa kumuoa mwanamke wa kinyamwezi.
• Wavumilivu sana kwenye maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.