Recent content by Tuagize

  1. Tuagize

    Waziri wa mipango na uwekezaji apongeza kiwanda cha mati super brands Ltd

    Vijana wa Kaskazini wanaharibika sana kupitia hizo pombe zao, Hazina tofauti na Madawa ya Kulevya tu
  2. Tuagize

    Nikinywa Pombe nasikia Raha

    Wandugu maisha ya pombe ni mazuri sana yani ukiwa na stress ukinywa tu kila kitu kinakaa poa sana yani unasahau kila kitu ***** binafsi nikilewa nasikia burudani sana ila zingatio usinywe kupita kiasi kunywa kidogo tu kama mimi 😁
  3. Tuagize

    Tabia za wanawake wa kinyamwezi

    😂😂😂
  4. Tuagize

    Tabia za wanawake wa kinyamwezi

    Eejamaa eh wazima wote, hebu tufahamishane tabia za wanawake wa kinyamwezi ni zipi kwa sisi tusiojua tabia zao ili tusije kuingia mkenge kwa kumuoa mwanamke wa kinyamwezi. • Wavumilivu sana kwenye maisha
  5. Tuagize

    Mganga wa Mapenzi

    Yeye na Hela zake
  6. Tuagize

    Mganga wa Mapenzi

    Kuna mama mmoja namtaka sana lakini kumpata imekuwa ngumu sana, ni mama ana heshima zake nampenda kishenzi yani na ana hela sana
  7. Tuagize

    Mganga wa Mapenzi

    Sometimes kama siamini hivi
  8. Tuagize

    Mganga wa Mapenzi

    Wakuu wazima hivi ni kweli kuna mganga wa mapenzi, au ni sound tu tunapigwa?
  9. Tuagize

    Wenye Nyumba kaeni kitaalamu: Kama mpangaji wako atakutwa na dawa za kulevya nyumba yako itataifishwa!

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema imebaini kuwa Wahusika wa biashara haramu ya dawa za kulevya hutumia mbinu ya kupanga nyumba ambazo zinageuzwa kuwa maghala ya kuhifadhia dawa za kulevya, huku wao wakishi katika maeneo mengine. Akiongea Jijini Dar es salaam...
  10. Tuagize

    Naomba mnijuze vipindi vya Crown FM pamaja na watangazaji wa hivyo vipindi

    KIPINDI WATANGAZAJI Crown Sports: Juma Ayo, Jemedari, Geofrea Jirani: Mwijaku, Riyama, Mariam Kitosi The Throne: Dulla Planet, Travellar, Momo Kasri: Salim Kikeke, Rukki, Imani Henrick
  11. Tuagize

    Don Shkuba Yupo Huru

    Aiseee kwel hatar ally mmoja yupoo kwel
  12. Tuagize

    Don Shkuba Yupo Huru

    Hiy naijua aliokota dodo kwa muhindi ila sikuwa kujua kuwa wewe ndo ulimpa hiyo idea ya kusepa
Back
Top Bottom