Asante kaka kwa ushauri mzuri, lakini mimi ni mtu ambae nikimpenda mtu nampenda kweli kweli sinaga uongo katika mapenzi, naogopa kuingia katika pombe pengine nikiingia huko naweza kuingia mazima 🥹
Usaliti wa mapenzi niliofanyiwa unanifanya nazidi kudhoofika sana, kuna muda nalia pekee yangu kuona wapi nilipokosea kwanini napitia kipindi hichi kigumu katika maisha yangu
Sikuwahi kupitia kabla msongo wa mawazo niliokuwa nao hivi sasa eeh mwenyezi mungu ninusuru kwa haya ninayopitia...
Kabisa mkuu, upate bahati sana uje kupata mke ambae atakuwa wa kwako tu daima vinginevyo lazima utalia tu, hasa hawa wanawake ambao tunawakuta mjini tayari wanauwezo wa kupanga magetto yao ni balaa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.