Recent content by Ttaba

  1. Ttaba

    Yaliyojiri Bungeni Nov 17, 2015: Job Ndugai achaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 11 la JMT

    sababu kubwa ya Medeye kukatwa kura za maoni ni kutokubaliwa na wananchi wa jimbo lake, ni politics ya kulinda jimbo, mwananchi yoyote wa jimbo lake la zamani anatambua hilo.
  2. Ttaba

    Waziri Mkuu, Mizengo Pinda achukua fomu kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Huyu ndo kiongozi yule aliesema wananchi 'wapigwe tu' Huyu ndo yule kiongozi, mtendaji mkuu wa serikali aliokua anawaangalia watuhumiwa wa escrow wakiachiliwa mmoja mmoja Leo amevunja rekodi Ama kweli Tanzania haikosi maajabu
  3. Ttaba

    Ndani ya CCM Lowassa ni janga na Lowassa ni neema

    Kibaka ni kibaka tu... Aliweza kuondoka Mrema na bado chama kilisimama..aondoke Lowassa tu..UKAWA hawawezi kumpokea #PoliticalSuicide
  4. Ttaba

    Mwandosya, Wassira, Lowassa, Amina na Makongoro Kuchukua fomu kesho

    Cha msingi ni kuja na hoja za kubadilisha maisha ya mtanzania wa kawaida.
  5. Ttaba

    Kikwete: Hata kama Mtu anayechochea Wananchi ana mapembe, tutayakata!

    kuzuka kwa vurugu hizi ni kutokana na vitu vichache tu - waziri na serikali.kwa ujumla kutotoa elimu ya kile wanachokifanya na kuwadharau wananchi wa mtwara..mentality iliyojengeka au iliyojengwa baada ya maneno ya Mulugo imesababisha uelewa wowote wa jambo hili kupotea na kusababisha wananchi...
  6. Ttaba

    Arusha haikulengwa dini...

    sio kusema ni uchochezi bali nikujiuliza swala muhimu....kwanini kanisa lishambuliwe??
  7. Ttaba

    Ninalaani vikali udhaifu wa Kiti cha Spika na aibu ya Taifa letu

    never expect anything good to come out of this parliament which is constantly steered by personal vendettas, party standups abd manifestos and purely favouratism!!
  8. Ttaba

    Bungeni: Mwigulu achafua upepo, Lissu atolewa nje ya bunge, agoma! Bunge lakatishwa kabla ya muda...

    then anakua si proffessional...this is a country we are talking about not a place for personal vendettas
  9. Ttaba

    Bungeni: Mwigulu achafua upepo, Lissu atolewa nje ya bunge, agoma! Bunge lakatishwa kabla ya muda...

    mi bado sijaelewa ivi kati ya alietukana tusi kubwa na anaeomba mwongozo nani anstahili kutolewa???
  10. Ttaba

    Kenny Rogers, Dolly Parton na Don williams nani aliyeimba nyimbo nzuri za mapenzi?

    i have been loved by the best falling again say it again love me over again crazy in love all im missing is you i've got a winner in you it must be love true love DON WILLIAMS is the best!
  11. Ttaba

    Shule bora za Serikali A-Level

    mzumbe umeacha hgl
  12. Ttaba

    Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

    ndugu na waliotoa tuhuma walete ushahidi ni mil. 140 na sio 20 na kama zimerudishwa au hazijarudishwa zote
  13. Ttaba

    Prof Lipumba: Matatizo ya Tanzania yamechangiwa na sera mbovu za Mwl Nyerere

    tunapoongelea sera ya ujamaa ni kweli ilishindwa kwamba sera zake zilikua mbovu au kuna sababu nyingine kumbuka kwenye miaka ya sabini mwanzoni nchi ilikua inaelekea kuzuri lakini vita ya kagera ilituathiri vipi, mtikisiko wa kiuchumi wa dunia ulituathiri vipi, vita baridi na anguko la urusi...
Back
Top Bottom