Ngoja nikufundishe hesabu maana naona
ulikimbia hesabu. Let say wapiga kura Tz wapo Mil 20 (ingawani pungufu ya hapo)
Hiyo 20% ni kama wapiga kura mil 4 au 3
Kila mfanyakazi kwa Tz ana watu wasiopungua 4 wanaomsikilza na kumtegemea. Ukizidisha mil 4 × 4 ni mil
16. Kama una akili umenielewa.
Hivi Mbowe akikosa Uenyekiti ATAKUFA????? Au itakuwa mwisho wa Dunia. Kwanini wapinzani wa CDM hawataki Mbowe awe Mwenyekiti?? Anaejua plz aniambie/ anielimishe
Trust me, CCM inavyoikandamiza CDM kwa msaada wa Serikaka inakosea sana. Watu kwa asili hawapendi mtu/ kitu kibabe. Namkubali sana JPM but sio CCM. Kuna sababu nyingi za watu kuichukia CCM fanya research utagundua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.