Nani amekuambia ukiongea lugha ya kigeni kwa kuikosea unaharibu image yako. Ni mjinga pekee anayeamini ubora wa mtu upo katika kuzungumza lugha ya kigeni kwa ufasaha.
Kilicho mkasirisha hapo ni nn?
Kupewa offer ya kufanyiwa scrub bure au vp. Itakuwa hyo sister ana matatizo binafsi na c hyo mvulana kuwa et kamkasirisha.
Angalia vizuri hii picha!
Hapa ndipo atakapozikwa aliyekuwa Bilionea na Kipenzi cha Watanzania Dr Reginald Mengi.
Shughuli ya Uchimbaji Kaburi inaendelea,Kati ya hao Vijana unaowaona kuna Bilionea unayemjua??
Kuna Mfanyabiashara Mkubwa Tanzania unayemjua?!
Kuna Superstar Mkubwa unayemjua...
Badala ya kuzipa barabara majina ya viongozi na watu maarufu ni vyema tunazipa barabara hizi majina ya wakandarasi wanaozijenga, tukiweka bango La mahali anakopatikana na namba zake. Hii itasaidia kuwa naa barabara nzuri haraka sana.
Utasikia basi limeua wanne, pikipiki imeua sita au waliokufa Muhimbili wamefika 100 kwa mwaka jana ama meli ya Nungwi imeua 60.
Na hao ni wateja wa M-PESA, Tigo pesa na Airtel money.
Hela zao zinaendaga wapi? Kuna utaratibu upi wa kuwapatia survivorship au next of kin wao?
Labour market huwa inabadilika over a time. Huenda wakati anasoma hyo program soko la ajira lilikuwepo. So acha kejeli kama huna cha kumshauri better ungepiga kimya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.