Mkuu kama kuna dalali yeyote unaemfahamu kwa Morogoro naomba uniunganishe nae maana nimepewa kazi ya kuuza nyumba hapa hata sijui nianzie wapi kuwatafuta wateja.
nisiongee sana bwashee ila kwa ufupi tu hizo style zote ulizozitaja ninazicheza balaa, kwa mfano nikiamua kufanya hiyo moon walk style utanipenda...Yaani nateleza vizuri kurudi nyuma huyo michael jackson mwenyewe akasome...Nikisema nicheze stones ndo naua kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.