Recent content by True Lover

  1. T

    Mwanaume kuchukua mshahara wa mke

    MWENYEWE NINGEFAHAMU KABLA KUWA WANAWAKE WASOMI NI WASUMBUFU NINGEOA DARASA LA 7 TUISHI VIZURI. MAANA HAWA WASOMI UJUAJI MWINGI MNO.
  2. T

    Wapi naweza kupata vitoto vya ngurumwe Jijini Arusha?

    Wakuu habari za humu! Naombeni msaada kama kuna mtu anayejua sehemu ambayo naweza kupata vitoto vya nguruwe wa kisasa/vifaranga kwa Arusha. Nina mpango wa kuanza na idadi ya 25 halafu baada ya miezi miwili nitachukua tena 20. Bajeti yangu kwa kitoto kimoja ni elfu 50. Nimeenda pale LITI...
  3. T

    Ijue Biashara ya kunenepesha Ng'ombe yenye faida kubwa

    haina maana kukatisha watu tamaa,wewe una biashara unayoifanya ,mwenzio hawezi fanya biashara hiyohiyo watanzania wote tukafanya the same b'ness. kwa watu waliosoma b'ness analysis they understand what i mean. biashara hii ina faida maana unaweza ifanya bila uwepo wako,haikuhitaji follow up ya...
  4. T

    Ijue Biashara ya kunenepesha Ng'ombe yenye faida kubwa

    OK. IKO HIVII, MIMI NI MTUMISHI WA SERIKALI NIPO TOWN, NILICHUKUA SALARI LOAN NIKANUNUA DUME 4 WA LAKI 4 KILA 1, NA DUME 4 WA LAKI 3 KILA MOJA, NA DUME 4 WA LAKI 2 KILA MOJA. JUMLA WAKAWA DUME 12 NA GHARAMA YA MANUNUZI IKIWA 3.6M NINAWAFUGIA KIJIJINI KWETU BABATI VIJIJINI, WOTE NILIWAPA DAWA YA...
  5. T

    Ijue Biashara ya kunenepesha Ng'ombe yenye faida kubwa

    OK. IKO HIVII, MIMI NI MTUMISHI WA SERIKALI NIPO TOWN, NILICHUKUA SALARI LOAN NIKANUNUA DUME 4 WA LAKI 4 KILA 1, NA DUME 4 WA LAKI 3 KILA MOJA, NA DUME 4 WA LAKI 2 KILA MOJA. JUMLA WAKAWA DUME 12 NA GHARAMA YA MANUNUZI IKIWA 3.6M NINAWAFUGIA KIJIJINI KWETU BABATI VIJIJINI, WOTE NILIWAPA DAWA...
  6. T

    Ijue Biashara ya kunenepesha Ng'ombe yenye faida kubwa

    Mkuu hii ni biashara nzuri sana, ila uwe na ka mtaji ka kueleweka. mie naifanya mwaka wa pili sasa,nina maintain dume 20 kila mda, ina maana kila baada ya miezi 3 nauza dume 5 wakubwa then nanunua wadogo. HUWA NANUNUA KWA LAKI 3 HADI 4, THEN NAFUGA KWA MWAKA NA HUWA NAUZA LAKI 5 HADI 8 KWA KILA...
  7. T

    Vigezo gani vya kuji-register CPA foundation level ? Ni shilingi ngapi?

    INGIA WEBSITE YA NBAA MAELEKEZO YOTE YAMEWEKWA PALE
  8. T

    Msaada: Injini ya gari aina ya Rav4 inanisumbua

    Nitaiuza kwa 11m akipatikana mwenye kuhitaji
  9. T

    Ushauri: Engine ya gari inatetemeka na kuunguruma sana

    Ahsante mkuu, ntafanyia hili kazi as conclusion,then i well come back for feedback
  10. T

    Ushauri: Engine ya gari inatetemeka na kuunguruma sana

    Ahsante, gari yangu ni kili time, ngoja nimtafute fundi mzuri tuifanyie service ya maana labda itaweza cutulia. Pia naomba kufahamu, hamnaga namna ya kufanya kupunguza consuption ya gari hata ikiwa na CC kubwa?
  11. T

    Ushauri: Engine ya gari inatetemeka na kuunguruma sana

    Duh, safi sana ,nashukuru sana mkuu. natumiaga tu gari bbila kuwa na utaalamu wowote, ngoja nitaulizia wanakofanya na abaut cost kama nta mudu,ila nashukuru,umenipa pa kuanzia
  12. T

    Ushauri: Engine ya gari inatetemeka na kuunguruma sana

    ahsante mkuu kwa maelekezo mazuri, hebu naomba pia nifafanulie kdogo kuhusu hili la kwenda kupima engine kwenye computer kujua matatizo yote ili ikibidi nifanye ili kuweka injini iliyopo iwe kwenye hali nzuri niendelee kuitumia pasipo kuingia gharama kubwa ya mafuta kila siku
  13. T

    Ushauri: Engine ya gari inatetemeka na kuunguruma sana

    hahaha, CCM TENA. NOZZLE NIMESAFISHA TWO MONTHS AGO, JINJECTION KWA KWELI SIJACHEKI, OIL HUWA NA WEKA YA BP ORIJINO,
Back
Top Bottom