Kama una wadogo zako wasio kua na ajira, ndugu zako wenye vibihashara vidogo vidogo basi jua kabisa wewe sio mbunifu na ukiacha kazi utakufa masikini. Nasema hivi kwa kua kama ungekua na mawazo na mipangilio chanya basi tulitegemea uanze kui implement kwa ndugu zako ili kupitia mitaji yao hiyo...
Mbona ni vitu tofauti kabisa aisee. Mamlaka za duniani zinatambuliwa isipokua binadamu hatakiwi kuziheshimu kiasi cha kumkufuru Mungu. Sioni tatizo la sisi askari na utukufu wa Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.